Bro mossad waliwah kuiba mafurushi yote ya documents za mipango ya Iran kutengeneza nyuklia na yakasafirishwa kilometer 6000Hawa jamaa hata rais wa Iran utakuta wanajua nyendo zake zote....ni kama vile mossad ina watu wake kwenye vyombo vya ulinzi vya nchi zote maadui wa Israel. Precision kwenye mapigo yao si ya kispotispoti
walichokoza wenyewe, myahudi hakuachi.Peace,
Na hao ndio Wayahudi hawacheki na kima. Hiyo inaitwa double victory, imagine ndani ya masaa machache huku wamemtandika kiongozi mkuu wa Hizbollah kule wamemtandika kiongozi mkuu wa Ham-ass tena ndani ya Iran na sio Iran tu ndani ya Tehran.
Yani ni kwamba the Arabs are learning the hard way that they messed up with the wrong number. The bastards are paying a huge price Takbir
Waje hapa wasewe Israel inaua watoto na wanawake. Kwa mwendo huu Israel imeonyesha jinsi gani iko hatua 1000 mbele ya wasaka bikra
Kama hawa unanyofolewa uhai ndani ya Tehran unaweza kujiuliza wapi watajificha na hii unaambiwa ni warm up kwa kauli alizotoa Israel waarabu wategemee kufurahishwa zaidi.
View attachment 3057361
Dj wasindikize na ngoma ya "wameyatimba"
Wewe sasa ndio utumie akiliIsrael anataka Ardhi na ndivyo kila vita mnapoteza Ardhi na yake inaongezeka muwe mnatumia akili basi , shambulio la oct 7 Israel alipata taari toka Egypt ila aliacha ili iwe sababu ya kuingia huko mnajichanga kijinga sana .
MkuuHuyo kauawa na Mossad tu, kwa kombora lazima lingekua detected.
Mossad ni wazuri kwa kuua ila kwenye kufanya 'intelligence gathering ' bado wataendelea kutegemea msaada wa Marekani maana Ina vyanzo na rasilimali nyingi za kukusanya taarifa.
Ubarikiwe mkuuIsrael wanaendelea kuwatifua magaidi huko mashariki ya kati wakati huo huo Yanga wanaendelea kugawa kichapo cha mbwa koko kusini mwa jangwa la sahara.
Hamjambo wote? Muwe na siku njema.
Fact.....Iran ni taifa lenye mchanganyiko , unavyoona kweny mitandao ni tofauti .Iran kuna wanaisrael wengi tu tena wanaishi fresh wapo kweny vitengo kabisa , mengi ya mtandaoni ni kiini macho .
Uwezekano jamaa kauzwa upo kwa asilimia kubwa kabisa .
Iran mjanja sana. Anawasakizia Waarabu wenzake kwa kuwafundisha vijana wa kwao na anawapa silaha halafu mwenyewe Iran kajitulia zake anasikilizia jinsi vumbi linavyotimka huko.Shida hivi vikundi wanaleta mbadala maana mizizi yake mikubwa yaani ideology inabaki. Huko nyuma walishauliwa wengi. Hiki kikundi wanajuwa propaganda na Iran ndio shida kuu siku wakiwekwa sehemu hawa wa Iran basi amani itakuja. Iran sio wanawadhuru Israel tu ila wameleta madhara mengi kwenye nchi za kiarabu na haswa Sunni maana wao wanadhani bora kuliko wengine. Narudia shida zitaisha hizi siku nchi ya Iran kupata kichapo.
Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.Wanapambana Toka 1945 na hawajawamaliza hapo ndio unaongea nini Sasa?
hakika mkuu alafu baada ya kufa kishujaa unakwenda kukabidhiwa mabikra 72 na mito ya pombe au sio.
Alafu unapo sema bora kufa ukipigania uhuru hao hezbollah wanapigania uhuru gani ?! Wako katika taifa lao wanajitawala wenyewe sasa unaposema bora kufa ukipigania uhuru una maana gani ?!
Waislamu ni watu wa vurugu na machafuko alafu mkishugulikiwa mnajifanya ati mnapigania uhuru. Ok wale waislamu waliochoma makanisa Bukoba miaka ya 2018 baada ya Quran kuchanwa Canada walikua wanapigania uhuru gani Bukoba ?! Yani Quran imechanwa Canada ila waislamu wa Bukoba wanachoma makanisa hivi unaona hata jinsi mko wapumbavu mkuu ?
Bila Msaada wa USA hako kanchi hakawezi kituTumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.
Wewe mpaka unaona kabisa GENTAMYCINE tokea najiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 hadi leo 2024 nimeweka tu Avatar yangu hapa JamiiForums ya Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin BIBI Netanyahu hujiulizi kwanini Namkubali vilivyo huyu Mwamba na hawa Waisraeli?
Hakuna wa Kupambana na Israel duniani.
Imeisha hiyo.....!!
Usione aibu kusema YESU KRISTO WA NAZARETI aliye hai!Wewe Itakuwa ni msaka jehannam unaendelea kumwabudu mtu aliyekula na kunya
Mzee Haniyeh anamalizia bikra ya nne sasaUnachoshindwa kuelewa ni kuwa hapo Iran kuna wayahudi zaidi ya laki 8 wanaishi.
Pia nchi ya kwanza mpaka ya tatu yaani N.korea,China na Russia hazina sababu ya kuua kiongozi wa kiyahudi ila ZIKIAMUA HATA HUYO NETANYAHU ANAUAWA MCHANA KWEUPEEE.
Mkuu kuna maeneo umedanganya.Siamini kama Iran anaweza kuwa na air defense ya aina ya S400, Patriot na hizi Iron dome kulinda anga lake maana tayari ameonyesha udhaifu mwingi kwenye technolijia, kama ana uwezo huo asingeweza kutumia Helicopter ambayo ni made in USA kumbeba Rais huku akiwa na vikwazo vyakununua spare parts.
Zile drones bado sana mkuu aisee, drones zake kamikaze nyingi zimeprove failure Russia, na hata hizi tunazosema zimepenetrate air defence ya Israeli inawezekana ni ile tunasema huwezi kuwa na 100% efficiency, zipo drones za Turkey ambazo angeweza kuzinunua na kutumia wataalam wake kucopy na kupaste akafanya mass production.
Kuwa na missiles launcher sio shida, kama huna satellite zinakuwa rahisi sana kukamatwa au hata kuwa diverted kwenye targets.
Anachofanya/alichofanya Iran ni kurusha missiles nyingi kama mvua ili kuoverwhelm air defense na makombora kadhaa yaweze kufika lakini hii unaweza kuipangua kwa kuongeza number za batteries, kumbuka pia unaposhambulia nawe unashambulia hakuna kusubiliana maana uwe na uwezo wa kushambulia na muda huo huo ujilinde.
Narudia tena, Iran awe mtulivu ajenge technolojia yake kwanza kupambana na hizi superpower, uwezo wake bado sana.
Tokea enzi za Wafilisti Marekani alikuwepo?Bila Msaada wa USA hako kanchi hakawezi kitu
Siku zote kobaaz akitwangwa ni lazima katika kilio chake amtaje USA ndo ataridhika na kuamini kilio kimesikika.Bila Msaada wa USA hako kanchi hakawezi kitu
ameuliwa kwenye makazi ya wageni ya jeshi la Iran. just imagine.Ila hawa yahudi ni nyoko!
Yani kumbe wanapiga doria hadi chumbani kwa Ayatollah kabisa! Maana huyo gaidi kauawa sebuleni kwa Ayatollah kabisa.
Hapa sasa Naanza kuamini yule rais wa Iran aliepotea na ndege msituni juzi kati aliuliwa na hawa hawa yahudi.
Iranj bado sana
Wewe pia bila ya Lifti ya kutoka CCM Makao Makuu kwa Uchawa wako Kwao leo hii ungeweza kuwa na haya Maisha?Bila Msaada wa USA hako kanchi hakawezi kitu
MOSSAD wakisha amua lao. Wanakuundia Kikosi kazi kitakachokuwa kina kulia timing 24x7! Ata kama wanapigana Vita ya Dunia Kikosi kazi chako kitakuwa kina deal na wewe tu ,Akina kazi ingine na Bajeti wanayotaka watapewa tu mpaka kieleweke.Once MOSSAD marked some one for death no way out