Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Hawa jamaa hata rais wa Iran utakuta wanajua nyendo zake zote....ni kama vile mossad ina watu wake kwenye vyombo vya ulinzi vya nchi zote maadui wa Israel. Precision kwenye mapigo yao si ya kispotispoti
Bro mossad waliwah kuiba mafurushi yote ya documents za mipango ya Iran kutengeneza nyuklia na yakasafirishwa kilometer 6000
 
Peace,

Na hao ndio Wayahudi hawacheki na kima. Hiyo inaitwa double victory, imagine ndani ya masaa machache huku wamemtandika kiongozi mkuu wa Hizbollah kule wamemtandika kiongozi mkuu wa Ham-ass tena ndani ya Iran na sio Iran tu ndani ya Tehran.

Yani ni kwamba the Arabs are learning the hard way that they messed up with the wrong number. The bastards are paying a huge price Takbir

Waje hapa wasewe Israel inaua watoto na wanawake. Kwa mwendo huu Israel imeonyesha jinsi gani iko hatua 1000 mbele ya wasaka bikra

Kama hawa unanyofolewa uhai ndani ya Tehran unaweza kujiuliza wapi watajificha na hii unaambiwa ni warm up kwa kauli alizotoa Israel waarabu wategemee kufurahishwa zaidi.
View attachment 3057361

Dj wasindikize na ngoma ya "wameyatimba"
walichokoza wenyewe, myahudi hakuachi.
 
Israel anataka Ardhi na ndivyo kila vita mnapoteza Ardhi na yake inaongezeka muwe mnatumia akili basi , shambulio la oct 7 Israel alipata taari toka Egypt ila aliacha ili iwe sababu ya kuingia huko mnajichanga kijinga sana .
Wewe sasa ndio utumie akili
 
Huyo kauawa na Mossad tu, kwa kombora lazima lingekua detected.

Mossad ni wazuri kwa kuua ila kwenye kufanya 'intelligence gathering ' bado wataendelea kutegemea msaada wa Marekani maana Ina vyanzo na rasilimali nyingi za kukusanya taarifa.
Mkuu
Kwa hiyo huyo gaidi kauawa na Mosad bila kufanya intelligence?
 
Iran ni taifa lenye mchanganyiko , unavyoona kweny mitandao ni tofauti .Iran kuna wanaisrael wengi tu tena wanaishi fresh wapo kweny vitengo kabisa , mengi ya mtandaoni ni kiini macho .

Uwezekano jamaa kauzwa upo kwa asilimia kubwa kabisa .
Fact.....

Huyu kauzwa tu, hata wale wanasayansi wa nyuklia waliuzwa ndio maana waliuawa....wasaliti wa kutosha wapo kwenye 'system' ya Iran.
 
Shida hivi vikundi wanaleta mbadala maana mizizi yake mikubwa yaani ideology inabaki. Huko nyuma walishauliwa wengi. Hiki kikundi wanajuwa propaganda na Iran ndio shida kuu siku wakiwekwa sehemu hawa wa Iran basi amani itakuja. Iran sio wanawadhuru Israel tu ila wameleta madhara mengi kwenye nchi za kiarabu na haswa Sunni maana wao wanadhani bora kuliko wengine. Narudia shida zitaisha hizi siku nchi ya Iran kupata kichapo.
Iran mjanja sana. Anawasakizia Waarabu wenzake kwa kuwafundisha vijana wa kwao na anawapa silaha halafu mwenyewe Iran kajitulia zake anasikilizia jinsi vumbi linavyotimka huko.
 
Wanapambana Toka 1945 na hawajawamaliza hapo ndio unaongea nini Sasa?
Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.

Wewe mpaka unaona kabisa GENTAMYCINE tokea najiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 hadi leo 2024 nimeweka tu Avatar yangu hapa JamiiForums ya Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin BIBI Netanyahu hujiulizi kwanini Namkubali vilivyo huyu Mwamba na hawa Waisraeli?

Hakuna wa Kupambana na Israel duniani.

Imeisha hiyo.....!!
 
Ila hawa yahudi ni nyoko!

Yani kumbe wanapiga doria hadi chumbani kwa Ayatollah kabisa! Maana huyo gaidi kauawa sebuleni kwa Ayatollah kabisa.

Hapa sasa Naanza kuamini yule rais wa Iran aliepotea na ndege msituni juzi kati aliuliwa na hawa hawa yahudi.

Iranj bado sana
 
hakika mkuu alafu baada ya kufa kishujaa unakwenda kukabidhiwa mabikra 72 na mito ya pombe au sio.

Alafu unapo sema bora kufa ukipigania uhuru hao hezbollah wanapigania uhuru gani ?! Wako katika taifa lao wanajitawala wenyewe sasa unaposema bora kufa ukipigania uhuru una maana gani ?!

Waislamu ni watu wa vurugu na machafuko alafu mkishugulikiwa mnajifanya ati mnapigania uhuru. Ok wale waislamu waliochoma makanisa Bukoba miaka ya 2018 baada ya Quran kuchanwa Canada walikua wanapigania uhuru gani Bukoba ?! Yani Quran imechanwa Canada ila waislamu wa Bukoba wanachoma makanisa hivi unaona hata jinsi mko wapumbavu mkuu ?

Wapi nimeongelea uislam ndugu? Wapi nimesema miye ni mwislam? Kulikoni kuwa na mawazo finyu hivyo?

"Supporting Palestinians is a duty, whatever the sacrifices are."

Hapo ni replica ya statements za wapenda haki wote bila kujali walipo, isipokuwa kwa yale yasiyojitambua tu.

Kwamba ulipo wewe labda hata ni kamanda na kuwa hapo kabda uko unasubiria katiba mpya.

"Mtakomaa sana makamanda. Mtakunja ngumi na kuzungusha sana hadi vibiongo viwatoke."

imhotep nduguyo mwingine huyo hapo.

Nasikitika kusema:

"Bure kabisa!"
 
Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.

Wewe mpaka unaona kabisa GENTAMYCINE tokea najiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 hadi leo 2024 nimeweka tu Avatar yangu hapa JamiiForums ya Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin BIBI Netanyahu hujiulizi kwanini Namkubali vilivyo huyu Mwamba na hawa Waisraeli?

Hakuna wa Kupambana na Israel duniani.

Imeisha hiyo.....!!
Bila Msaada wa USA hako kanchi hakawezi kitu
 
Wewe Itakuwa ni msaka jehannam unaendelea kumwabudu mtu aliyekula na kunya
Usione aibu kusema YESU KRISTO WA NAZARETI aliye hai!
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa hapo Iran kuna wayahudi zaidi ya laki 8 wanaishi.
Pia nchi ya kwanza mpaka ya tatu yaani N.korea,China na Russia hazina sababu ya kuua kiongozi wa kiyahudi ila ZIKIAMUA HATA HUYO NETANYAHU ANAUAWA MCHANA KWEUPEEE.
Mzee Haniyeh anamalizia bikra ya nne sasa
 

Attachments

  • 20240731_103548.jpg
    20240731_103548.jpg
    179.8 KB · Views: 3
Siamini kama Iran anaweza kuwa na air defense ya aina ya S400, Patriot na hizi Iron dome kulinda anga lake maana tayari ameonyesha udhaifu mwingi kwenye technolijia, kama ana uwezo huo asingeweza kutumia Helicopter ambayo ni made in USA kumbeba Rais huku akiwa na vikwazo vyakununua spare parts.

Zile drones bado sana mkuu aisee, drones zake kamikaze nyingi zimeprove failure Russia, na hata hizi tunazosema zimepenetrate air defence ya Israeli inawezekana ni ile tunasema huwezi kuwa na 100% efficiency, zipo drones za Turkey ambazo angeweza kuzinunua na kutumia wataalam wake kucopy na kupaste akafanya mass production.

Kuwa na missiles launcher sio shida, kama huna satellite zinakuwa rahisi sana kukamatwa au hata kuwa diverted kwenye targets.
Anachofanya/alichofanya Iran ni kurusha missiles nyingi kama mvua ili kuoverwhelm air defense na makombora kadhaa yaweze kufika lakini hii unaweza kuipangua kwa kuongeza number za batteries, kumbuka pia unaposhambulia nawe unashambulia hakuna kusubiliana maana uwe na uwezo wa kushambulia na muda huo huo ujilinde.

Narudia tena, Iran awe mtulivu ajenge technolojia yake kwanza kupambana na hizi superpower, uwezo wake bado sana.
Mkuu kuna maeneo umedanganya.
-Kamikaze drone za Iran hazikufeli Russia,zimeprove kuwa na ufanisi na zishapelekwa zingine zinatumika.
Drone iloshambulia Tel Aviv kwa kutumiwa na Houthi haikuwa detected mpaka ikafanya shambulio it means iron dome ilifeli kuigundua,na hiyo ni Iranian made.
Drone zote ambazo anatumia Hizbollah Lebanon kumshambulia Israel ni Iranian made.Na hazikuwahi kufeli zote zimeshambulia Galilaya kwa ufanisi na kuleta damage.
-Makombora anayotumia Hizbollah ambayo ni guided ballistic missiles ambayo yalionesha kukwepa air defence system na kushambulia Northern Israel kikamilifu na yalirushwa guided missiles 680 tokea October yote yalipenya succesfully na hakuna hata moja Iron dome waliweza kulidungua.Na yote hayo ni Iranian made.
-Iran ana varieties of missiles ambazo zina uwezo tofauti tofauti nenda kafuatilie mkuu,yale makombora alotumia Iran dhidi ya Israel hayakua guided missiles,Na cha kushangaza ni light unguided missiles licha ya mataifa manne kumsaidia Israel kuya intercept bado makombora 7 yakapenya.Jiulize kama Iran angetumia kombora lenye usanifu kama lile alilopiga kwenye kambi ya USA Iraq 2018 lingetokea nini.

Tukirudi kule kuhusu teknolojia ya ndege,mkuu teknolojia ya drone na aircraft hazifanani.
Huwezi ukafananisha uundaji wa drone na helikopta au ndege kamili.
Iran ana teknolojia kubwa katika uundaji wa kamikaze drone ila uundaji wa aircraft bado haijajipambanua.

Kuhusu ADS kazifuatilie BAVAR-373 na Khordak air defence systems.
Ndizo zilidungua drones za upelelezi za USA.
Pia usisahau kipindi cha Obama 2013 kuna drone za USA zilishushwa pasi na kulipuliwa ndani ya anga la Iran,je hiyo ni tech ndogo mkuu.
Shambulio la Haniyeh lilifanyika ndani sio nje ya mipaka ya anga.
 
Ila hawa yahudi ni nyoko!

Yani kumbe wanapiga doria hadi chumbani kwa Ayatollah kabisa! Maana huyo gaidi kauawa sebuleni kwa Ayatollah kabisa.

Hapa sasa Naanza kuamini yule rais wa Iran aliepotea na ndege msituni juzi kati aliuliwa na hawa hawa yahudi.

Iranj bado sana
ameuliwa kwenye makazi ya wageni ya jeshi la Iran. just imagine.
 
MOSSAD wakisha amua lao. Wanakuundia Kikosi kazi kitakachokuwa kina kulia timing 24x7! Ata kama wanapigana Vita ya Dunia Kikosi kazi chako kitakuwa kina deal na wewe tu ,Akina kazi ingine na Bajeti wanayotaka watapewa tu mpaka kieleweke.Once MOSSAD marked some one for death no way out
Screenshot_20230908-180902.png
 
Back
Top Bottom