Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Na mi najiuliza si wanasemaga Iran ni balaa yahudi hamuwezi sasa inakuwaje tena mja wa allah hani anauwawa tena ndani ya Iran jameniπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜† wairani walikuwa wapi kumlinda πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜†
Halafu hii ni makusudi kabisa,yaani ameuwawa ndani ya Iran ,hii inaonyesha mayahudi yanafatilia nyendo zao kimya kimya bila wao kujua,waarabu wakubali tu myahudi hawamuwezi kabisa lakini bado wanajitutumua wakiamini ipo siku moja watashinda
 
Halafu hii ni makusudi kabisa,yaani ameuwawa ndani ya Iran ,hii inaonyesha mayahudi yanafatilia nyendo zao kimya kimya bila wao kujua,waarabu wakubali tu myahudi hawamuwezi kabisa lakini bado wanajitutumuabwakiamini ipo siku moja watashinda
Myahudi kisasi chake huwa si cha kitoto utamdhuru leo utafurahi sana na utakimbia kimbia wee ila ipo siku atalipa
Ndo maana ya jino kwa jino
 
Gazeti la serikali wamelaumu kuwa kama Israel wameweza kupiga kwenye eneo la jeshi la Iran lenye ulinzi mkali na kumuua kiongozi wa hamas ni fedheha kwa usalama wa nchi na viongozi wao...
Hakuna ndege wala rada iliyoweza kugundua kama kuna hatari ndani ya Iran
 
Viongozi wanakufa lakini wakija wale vilaza utasikia wanakufa watoto na wanawake.

Anyway hakuna asie tamani mabikira 72
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119].mabikraaaa
 
Sio watu ni nini?
 

Magaidi wa kiislamu wa Hamas kwa sasa wasubiri miaka 70 ndio wafikiriwe kupewa hata mita 10 za ardhi.
 
Iran na mataifa mengine ya jirani na Israel zinapigana vita kizamani sana.
Mataifa ya ghuba yanapaswa kuwekeza kwenye ujasusi kabla haijafikiria chochote.
Zenyewe zinadhani kumiliki drones, na makombora ya masafa marefu inatosha.
Dunia ya leo kama huna mbinu za kijasusi unafeli pakubwa.

Nchi za ghuba wana pesa lakini hawataki kusoma ili kujifunza namna bora ya kujilinda
Israel ni kitaifa kidogo sana lakini wamewekeza sana kwenye ujasusi, hivyo wanafanikisha mipango yao mingi.
Iran pamoja na raslimali nyingi walizonazo bado wanapigana vita kwa vitisho vya mdomo.
Acha wapigike ili wajifunze.
 
Kumbe nyie wenyewe hampatani?

Salamaleko
πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Iran security system is overrated.
 
Inawezekana MOSSAD walishapandikiza watu wao ndani ya Security Agency ya Iran, hao watu hawatabiriki kabisa. Inahitaji akili kubwa sana kula nao sahani moja.
 
Kweli mkuu, taarifa za kiintelejensia ndizo ninazompa adua yako Upper hand
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…