Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Mkuu nakisikia alipigwa bomu matakoni, Kwa akili yako unadhani kuna wakumshinda israel kwenye uwanja wa mapambano, ukumbuke walianza na wanae wa kiume watatu, yaani hawataki masalia ya magaidi jews ni watu hatari sana
Baada ya wanae wa kiume wakapiga na dada yake. Ila ukihesabu na ndugu zake wa karibu (extended family) ndugu wa Ismail Haniyeh waliokufa wanafika 60 kabla ya yeye kulamba udongo leo
 
Baada ya wanae wa kiume wakapiga na dada yake. Ila ukihesabu na ndugu zake wa karibu (extended family) ndugu wa Ismail Haniyeh waliokufa wanafika 60 kabla ya yeye kulamba udongo leo
Waliouwa watabaki ? Si sote marejeo ni kwa yeye aliyetuumba. Muhimu ni kurejea kwake ikawa umemwabudu kiumbe aliyekula na kunya Kama binadamu wengine hilo la kumshirikisha kaahidi hatosamehe
 
Bora kuoa wanawake wengi kuliko kuoana kama mnavyofanya kanisani wajinsia moja
Wewe tayari ushapata na kama bado unangojea nini?🤔
Sheikh Hemed Bin Jumaa mbona alikuwa anaishi na kijana wa kiume nyumbani kwake hadi umauti unamkuta
 
Mkuu, gaps ndio zinakufanya uwe dhaifu na kupigika kirahisi, kama tunakubaliana ndani ya Iran kuna pro-israeli na ndio wanawezesha high profile kuwa eliminated unafikiri unawezaje kuwa salama kijeshi maana hao hao informers ndio wanaweza hata kujua stock ya ammunition yako na namna inafanya production nk.

Vita yeyote inaanzia kwenye ujasusi, ukifeli kwenye ujasusi maana yake hata vitani unaweza kufail vibaya, ndio maana kuna wakati gharama za ujasusi zinaweza kuwa kubwa kuliko vita yenyewe maana ujasusi pia unaweza kuepusha vita kwa kuimaliza kabla haijaanza.
Mkuu Nangu Nyau mambo unayajuwa. Uko deep
 
Kuuawa kwa viongozi haikuanza leo.
Na wala haitazuia Iran na axis of resistance kufanya kazi.
Subirini kisasi kulipwa.
Kwa hiyo na wewe Kosugi lwa vile una sigida usoni unajiona Mwarabu? Nonsense
 
Ndivyo ulivyoambiwa na Roho Mtakatifu wako?
Yaani ingekuwa bora sana uache hayo matusi yako ili siku hiyo inayokaribia kwa haraka sana ambapo islam will go back to being a strange thing ( Sahihi Muslim 146) tukukaribishe upate wokovu kupitia jina la Yesu.
Screenshot_20240731-153643_Chrome.jpg
 
Yaani ingekuwa bora sana uache hayo matusi yako ili siku hiyo inayokaribia kwa haraka sana ambapo islam will go back to being a strange thing ( Sahihi Muslim 146) tukukaribishe upate wokovu kupitia jina la Yesu.
View attachment 3057665

Ukiulizwa hao waliohadithia hiyo hadithi huwezi kuwajua Kama ulivyokuwa humjui huyo aliyekuambia umwabudu mtu aliyetawazishwa mavi na kuvishwa pampers
 
Ukiulizwa hao waliohadithia hiyo hadithi huwezi kuwajua Kama ulivyokuwa humjui huyo aliyekuambia umwanbudu mtu aliyetaewazishwa mavi na kuvishwa pampers
Ndiyo umepotea hivyo, na siku inakaribia utakapo aibika na huo uislam wako na hatimaye utaishia kujilipua tu
 
Waliouwa watabaki ? Si sote marejeo ni kwa yeye aliyetuumba. Muhimu ni kurejea kwake ikawa umemwabudu kiumbe aliyekula na kunya Kama binadamu wengine hilo la kumshirikisha kaahidi hatosamehe
“Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.” (Mwanzo 1:26–27).

Unashangaa nini kunya?z
 
Ndiyo umepotea hivyo, na siku inakaribia utakapo aibika na huo uislam wako na hatimaye utaishia kujilipua tu

Siku zinakuishia wewe unayeabudu mtu aliyekula na kunya Kama wewe wakati Hakuna mahali alikuambia umuabudu
 
Gazeti la serikali wamelaumu kuwa kama Israel wameweza kupiga kwenye eneo la jeshi la Iran lenye ulinzi mkali na kumuua kiongozi wa hamas ni fedheha kwa usalama wa nchi na viongozi wao...
Hakuna ndege wala rada iliyoweza kugundua kama kuna hatari ndani ya Iran
Walienda kununua yale mavyuma ya urusi wakidhani watakuwa Salama.
 
“Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.” (Mwanzo 1:26–27).

Unashangaa nini kunya?z
Huyo anayesema hayo ni Nani?
 
Unamtukana Yesu Kristo namna hii, huogopi?
Namtukana wapi? Kwani hakuzaliwa kutoka kwenye uchi wa mwanamke? Hakuwa mtoto aliyekula na kunya na kutawazishwa mavi ? Hakuwa akicheza na watoto wenzake? Hakuna mahali Hao watoto walisema tukicheza na mungu
 
Namtukana wapi? Kwani hakuzaliwa kutoka kwenye uchi wa mwanamke? Hakuwa mtoto aliyekula na kunya na kutawazishwa mavi ? Hakuwa akicheza na watoto wenzake? Hakuna mahali Hao watoto walisema tukicheza na mungu
Umemtukana bhana tena kwa kejeli, endelea kumtukana ujifurahishe nafsi yako.
 
Back
Top Bottom