Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapigane wao tuombe sisi🤔🤔Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa, kiongozi mkuu wa Hamas ameuwawa huko Tehran wakati akijiandaa kuhudhuria uapisho wa Rais mpya wa nchi hiyo ...
![]()
Israel war on Gaza updates: Fears of escalation grow after Haniyeh killing
These were the updates on Israel’s war on Gaza for Wednesday, July 31.www.aljazeera.com
Hofu imetanda ya uwezekano wa vita kamili kati ya Hezbolah na Israel kutokea, kwani hapo jana pia Kamanda mkuu wa Hezb nae kauwawa katika shambulio la kulipa kisasi kufuatia mauaji yaliyofanywa n kundi hilo huko kwenye milima ya Golan.
Tuongeze maombi.
Kwani kuna kiumbe kisicho maiti? Kila nafsi itaonja maitiHuyu nae ni maiti inayotembea
Kakojowe ukalaleIsrael inafahamu Magaidi dunia nzima yanaishi wapi ni swala la muda tu watayaua yote.
Usiogope kama wewe siyo gaidi wala hawana muda na wewe. Ila ukijichanganya tu, huko huko buza hawakuachi.Kakojowe ukalale
Mitandao inadanganya sana ukikaa na Raia wa Dubai wanakuambia ukweli asilimia tatizo watanzania hawafikirii mbali tunafikiria kupiga hela katika muda mfupi tulio nao maana tunajua cheo ni dhamana.Dubai ni sehemu ya UAE na makao yao ya nchi yako Abu Dhabi. Mwaka 2008 kwenye mgogoro wa fedha duniani Dubai waliathirika kifedha hadi wakakaribia kushindwa kumaliza ujenzi wa Burj Khalifa. Mfalme Zayed wa Abu Dhabi ndiye aliwa bail out
Sasa kina Hamas si wanajivunia Allah muweza wa yote kuliko technology kila kitu wakifanya Allah akbar. Kulikoni Allah? Kumbe Allah si chochote mbele ya Israel mbele ya marekani. Anachojua ni kiarabu tu. Bure kabisa.SASA ulitaka niuachie uwe wazi kama wako baada ya kuingiziwa mipini? Najiliwaza nini wakati Hali naiona? Una teknolojia kubwa za dunia yote,taifa teule la Mungu ukipumua Tu adui anapotea unapigana vita na hamas kilundi cha wahuni wachache wasio na lolote kijeshi Kwa muda WA mwaka? Kweli? Mkiwa mnashiba divai muwe mnaziweka na akili zenu huru
Asee chalii yangu wa nguvu Stuxnet mnyakyusa mwenyewe, mbona umesahau wayahudi wa Tanzania kwenye hiyo listi teule?Ukisoma Biblia kuna yale maakabila 12 ya wana wa Idrael yaliyofurushwa na Mfalme Nebuchadnezzar miaka 600 BCE na kupelekwa utumwani Babylon (Iraq ya sasa)
Miaka michache baadaye Cyrus the Great mfame wa Uajemi (Iran ya sasa) akamshinda Mfalme wa Babylon na kuunganisha dola ile na ya Uajemi. Hivyo kwenye miaka 530 BCE akawaruhusu wana wa Israel warudi Jerusalem wakajenge upya hekalu.
Makabila yaliyorudi ni mawili tu; kabila la Yuda na la Benjamin. Makabila mengine 10 yanagesabiwa kama "10 lost tribes".
Hizi "10 lost tribes" yasemekana wengine ni wa Iran, Pashtun wa Afghanistan, Ibo wa Nigeria etc.
Sishangai kwa hiyo kuona Wayahudi wengi Iran
Usinihusushe na kabila la wanyakyusa, shika adabu yakoAsee chalii yangu wa nguvu Stuxnet mnyakyusa mwenyewe, mbona umesahau wayahudi wa Tanzania kwenye hiyo listi teule?
Accumen Mo darcity
Umeandika kinyonge sana mkuuKwenye intelijensia iran wanatakiwa wajitathmini
Hii ni failure kubwa na haijaanza leo nahaitaisha leo
Iran na israel ni race mojaAsee chalii yangu wa nguvu Stuxnet mnyakyusa mwenyewe, mbona umesahau wayahudi wa Tanzania kwenye hiyo listi teule?
Accumen Mo darcity
Mungu Alisha onya kwenye Torati.Sasa kina Hamas si wanajivunia Allah muweza wa yote kuliko technology kila kitu wakifanya Allah akbar. Kulikoni Allah? Kumbe Allah si chochote mbele ya Israel mbele ya marekani. Anachojua ni kiarabu tu. Bure kabisa.
Endelea kubana marinda na mkundu huku ukiandamwa na uchungu mkuu.
Imam Hussein FOREVER
Jagina
Ni kikundi cha wahuni wachache Kwa mujibu WA Netanyauwe unajua hamas wapo wangapi?
Imam Hussein ameingiaje hapaSasa kina Hamas si wanajivunia Allah muweza wa yote kuliko technology kila kitu wakifanya Allah akbar. Kulikoni Allah? Kumbe Allah si chochote mbele ya Israel mbele ya marekani. Anachojua ni kiarabu tu. Bure kabisa.
Endelea kubana marinda na mkundu huku ukiandamwa na uchungu mkuu.
Imam Hussein FOREVER
Jagina
Huwa siongei na mandezi,kama unataka majadiliano njoo kwa adabu kima wewe.Wewe ni bogaz kweli ,na udini wako ballistic missile Iran alirusha 200 Israel zikadakwa zote, safari hii mtakiona cha moto
Wa Matombo au atakuwa wa Mkuyuni huyuYaani wewe jamaa wa mvuha umejua watoto wa Netanyahu wako wapi? Ujinga mtupu