Hahaha aljazeera the mouthpiece of MaislamistsNimeona Al Jazeera aiseee lakini wamesema hizo picha ni AI generated..,hizi bado zinabaki kuwa TETESI tu View attachment 3127802
Ni ngumu, unless kama mataifa makubwa yaamue kuingilia kati, lasivyo hizi resistance zitabadilika majina tu, na generationsWakae meza moja wayamalize, ubishi hauna faida....unapigana na mtu aliekuzidi technology utawezaje?
Huyu atapewa 128 ajuwasumbua sana wana wa MunguUtapunjika mkuu.
Dawa yakee wamalize na kizazi chake kabisa wasionekane tena hapo tunakaa kwa aman wakiishi wale watoto wanakuja kuwa ghaidi kama babayao
Inawezekana huyu Gaidi kaua wale mateka wote kwanini alikuwa anataka kukimbilia Egypt?.Sinwar was on his way escaping gaza with forged passport kwenda Egypt baada ya kuona mbinu zake za kuendelea kujificha miongoni mwa raia kama mwanamke zinagonga ukuta.
Ukitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.
Amekaa kwenye gari ake au ni wapi hapo? maana kama godoro pia.. Giadi hili nilafana na sheikh mmoja hivi Mombasa
Ina maa a wanazo prior biometric information za huyu jamaa?
Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.
SINWAR amekufa kijinga kuliko makamanda wa Hezbollah...
Pia soma
- HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran
Team wabong'oaji husema wayahudi wanaua wanawake na watoto naona mwanamke wao Yahya Sinwar leo kajaa kwenye mfumo wa myahudiNANI ANAKUMBUKA SIKU WAMEMTEUA NIKAJIBUU HUYU POYOYO ATAKUFA KIRAHISI SANA KULIKO WENZIE
WALIMPIGA KIMBOLA AKAJAAA....
Hii mikwara kila siku ni hivi hivi.Ukitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.
Sasa komandoo ndio uyo anafia vitani yani bado alikuwa anapigana sasa uyo Netanyahu anaweza kweli kushika mashine smg au ak47 ikiwa kalatasi tu anatetemeka mikono🤣🤣🤣
YAAN SIKU WAMEMTEUA HUYU NKAONA POYOYOO HATA KUJIELEZA ANAISHA MAPE.A SANA....Team wabong'oaji husema wayahudi wanaua wanawake na watoto naona mwanamke wao Yahya Sinwar leo kajaa kwenye mfumo wa myahudi