Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Wakae meza moja wayamalize, ubishi hauna faida....unapigana na mtu aliekuzidi technology utawezaje?
Ni ngumu, unless kama mataifa makubwa yaamue kuingilia kati, lasivyo hizi resistance zitabadilika majina tu, na generations
 
yule pumbavuu anaeleta story za hamas yuko wapi mpaka wanamletea habari zake wenzie
 
Aisee
 

Attachments

  • Screenshot_20241017_202932_Instagram.jpg
    Screenshot_20241017_202932_Instagram.jpg
    152.8 KB · Views: 2
Ukitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.

Huyo Supreme Leader atajifia mwenyewe kwa stress huko kwenye mahandaki. Maana wairani wenyewe hawamtaki
 


Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.

SINWAR amekufa kijinga kuliko makamanda wa Hezbollah...

Pia soma
- HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran
Ina maa a wanazo prior biometric information za huyu jamaa?
 
Hiv habari za mkuu wa majesh kuliwa kichwa na drone ya hizbolar ziliishia wapi?Naona jamaa anadunda , hawa jamaa Mungu wao ni wa kweli asee.
 
Ukitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.
Hii mikwara kila siku ni hivi hivi.
 
Sasa komandoo ndio uyo anafia vitani yani bado alikuwa anapigana sasa uyo Netanyahu anaweza kweli kushika mashine smg au ak47 ikiwa kalatasi tu anatetemeka mikono🤣🤣🤣

Acha kupotosha alikuwa anatoroka.
 
Team wabong'oaji husema wayahudi wanaua wanawake na watoto naona mwanamke wao Yahya Sinwar leo kajaa kwenye mfumo wa myahudi
YAAN SIKU WAMEMTEUA HUYU NKAONA POYOYOO HATA KUJIELEZA ANAISHA MAPE.A SANA....
 
Back
Top Bottom