gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Halafu roho ndiyo itatupwa ziwa la moto na ile njema itakua ikimsifu na kumuabudu Mungu huku roho hizo zikinywa divai na yesu!?...Kinachoenda ni Roho bila Mwili, Roho itafanyaje Ngono?!
uhuru wa palestina hata hiyo hujui?Haki ipi mkuu?
Huendi mbinguni.Nasema huendi mbinguni. 😆🤣Safi sana Israel 🙏🏾
Meno ya kamanda yapo kama ya ngedere..
Ataliwa kichwa ndani ya mwezi mmoja
Hata wiki haitaisha watapita naye tena
Wangemtundika msalabani kama Brian Deacon ili wakristo wamuabudu
🙃🙃🙃🙃Uzi tayari 🤣
...anawaonnaIla Mossad Wana utani Sana Hawa jamaa. Issue serious wanaifanya Kama kautani hivi.
Gaidi ni nani? Hamas ni freedom fighters siyo magaidi fungua bongo hizo
Niko hapa nagonga kitimoto na konyagi kusherehekea ushindi mkubwa wa Israel Taifa la Mungu wa kweli.
Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.
SINWAR amekufa kijinga kuliko makamanda wa Hezbollah...
Pia soma
- HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran
Ismail Haniyeh kwani ni kiongozi wa dini!??Acha mikwara mbuzi. Mbona Haniyeh kapigwa ndani ya Irana Tena eneo la Kambi ya jeshi?.
Hilo unalijua wewe,mbona hata Hassan Nasrallah alishazeeka na akauawa!?Ayatollah hakuna haja ya kumuua. Alishajifia tu
Wewe unaropoka nini!?Acha uongo. Pembeni huwa anaweka SMG kujilinda.
Lengo ni Moja kupata uhuru wa Palestina haijalishi iwe Fatah , Hamas whateverWale magaidi tu. Freedom fighters walikuwa Fatah ya Arafat. Soma Historia ya Palestina vizuri. Kuanzia Israel, Jordan na Lebanon
Unaikumbuka Oktoba Mosi Iran imeifanya nini Israel!??Hii mikwara kila siku ni hivi hivi.
Pole yako,humtaki wewe ila Iran wote wanampenda maana ni kiongozi wa dini ya dhehebu la Shia.Huyo Supreme Leader atajifia mwenyewe kwa stress huko kwenye mahandaki. Maana wairani wenyewe hawamtaki
Una ushahidi kama Rais wao aliuawa!?N
Na yule Rais wao ?
Kwahiyo wewe unadhani Hamas ndio wameisha? Hapo Palestina yote ni Hamas yeyote anapewa uongozi mapambano yanaendelea.Anateuliwa na nani?.
Mathayo 26:39Team wabong'oaji husema wayahudi wanaua wanawake na watoto naona mwanamke wao Yahya Sinwar leo kajaa kwenye mfumo wa myahudi
Mwenyezi Mungu atawalipia wapelestina