Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Hamas ipo kwenye damu za wapalestina ile ni ideology huwezi kuuwa ideology. Kila mtu Gaza na West Bank ni freedom fighters.Yanaendelea wapi? Kamanda Sinwar alikuwa anatoroka ndio kakutana na maiti. Kilichobakia ni kuwafagia wote waliobaki bila kujali wamejificha hospitalini au shuleni lipua wote ili Gaza ikombolewe.
Haikileta madhara yoyote. Ni sawa na walipiga matoysUnaikumbuka Oktoba Mosi Iran imeifanya nini Israel!??
Kwahiyo wewe unadhani Hamas ndio wameisha? Hapo Palestina yote ni Hamas yeyote anapewa uongozi mapambano yanaendelea.
Marekani kapeleka thaad kulinda anga ya israel,kwani si mifumo ya ulinzi wa anga ilikuwepo israel!?Haikileta madhara yoyote. Ni sawa na walipiga matoys
Makafiri hata walipotaka kumuuwa Yesu walifirahi Kama wewe , hata kama atakuwa kafa , wewe Huo ukristo wako wa Paulo upoupo huna uhakika nao mbele ni kiza , huna zaidi ya kuendeshwa na shetani mauti yakikufika anakuwacha mkono uangamie peke yako
Sinwar amekaa gerezani Israel karibu miaka 20 anajua Kiebrania vizuri sanaIna maa a wanazo prior biometric information za huyu jamaa?
Kwahiyo?— 🇮🇱/🇵🇸 NEW: Hamas leader Yahya Sinwar was found above ground, wearing a combat vest and with an AK by his side, together with two of his bodyguards
He was not hiding in a tunnel, nor was he hiding amongst civilians or Israeli hostages. He was besides his own fighters, right at the line of confrontation with the IDF.
After all these months, he was not killed by an airstrike or a targeted assassination; an Israeli soldier found his body by complete coincidence, after firing mortars at Hamas fighter in the area.
@Middle_East_Spectator
Taarifa zilijaa kote kambi za jeshi ikiwemo Nevatim airbase ililipuliwa wewe unasema hakuna madhara.Haikileta madhara yoyote. Ni sawa na walipiga matoys
Hivi kumbe Gaza bado wapalestina na Hamas wanapambana tu, Israeli wanashindwaje kumalizana na kamtaa ambako hata wilaya ya Kinondoni ni kubwa.
yahya sinwar ni shujaa,amekufa akipigana,akipigania haki ya nchi yake palestina,usimkejeli na hayo ya bikra hayana maana yoyote,wewe hujui chochote kuhusu mateso ya wapalestina,ipo siku haki yao itapatikana
Wanafumuana tu vita Haina machoWanakaeibishwa. Ila wakifumuliwa ubongo wasilaumu
Hapo shuleni ndo battle ground?Wanaosema alikua akijificha waumbuka mwamba alikua front kabisa akipambana vitani kama Mtume wetu Alivyopambana live katika battle
Yahya Sinwar was a resister, not a terrorist Yahya Sinwar was defending his land against the most despicable people in the history.Hamna kitu. Huyo ni gaidi. Wapiganaji wa uhuru ni PLO/ Fatah. Hawa akina Sinwar ndio kikwazo Cha kupatikana kwa taifa la Palestina. Ngoja wasafishwe halafu Gaza iwe Chini ya UN
Kwahiyo kafa au hajafa?Unajinasibu eti kauwawa muda huu as a breaking news alafu bandiko lako linasema kafa asubuhi
Mbona ni wewe tu wa kwanza kulisemea hili, ungesema tu asubuhi
Viongozi wengi wa Hamas kabla ya Sinwar wameuawa na Israel ila bado Hamas haikufutika wala mzozo haukumalizika.Amepata malipo yake. Aliuwa watu kihuni Octoba 7 naye kaipata Leo.