mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Ina maana alialibika sana kiasi cha kutotambulika mpaka ikawabidi wamfanyie DNA test? Kwanini mpaka sasa Hamas wapo kimya? Naofia tunachezewa movi hapa kama za osama bin laden.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa unapenda ubishani usio na maana.Hakuna chombo chochote cha kimataifa kinachoheshimika ikiwemo TV ya waislamu ya aljazeera kilichotangaza hizo habari ni vimitandao uchwara vya youtube ndivyo vilisema hivyo
Hakukuwa na madhara yeyote
Islamized islamists wa Buza kuna salamu zenu hapaYesu ana sympathy gani ?ambazo mwenyewe walitaka kumuuwa ?? Hata Yohana mbatizaji walimuuwa mwisho wao ulikuwa upi ?? si nao walikufa ??. Yesu anasema katika waliozaliwa na mwanamke hakuna Mkuu kuliko huyu , yaani hata yeye Yesu ni mdogo kwa mujibu wa maneno yake . Kifo ni lazima kwa kila kiumbe . M;uhimu unakufa na itikadi gani ?? kama ukia na imani ya Paulo kijana umeangamia
Yesu hakufundisha ukristo wala haujui wala hakutumwa kuja kuwafundisha ukristo .Yesu alitumwa kwa wayahudi TUU, wewe humo
Kama hayakuwa na madhara vikao vya nini kila siku na kujiapiza kulipa kisasi?Walirusha makombora 200 yasiyo na madhara yoyote
Kurusha kitu gani wewe
Magaidi siku zote wanadai wanapigania dini ya haki, dini ya mnyaazi munguMagaidi wazayuni au huyu aliyetundikwa msalabani?
Kauliwa kweli kwani?Ina maana alialibika sana kiasi cha kutotambulika mpaka ikawabidi wamfanyie DNA test? Kwanini mpaka sasa Hamas wapo kimya? Naofia tunachezewa movi hapa kama za osama bin laden.
Ukimwaga uchafu kiwanja cha mtu unategemea akae kinywa?Kama hayakuwa na madhara vikao vya nini kila siku na kujiapiza kulipa kisasi?
Tatizo Kuna kikundi Cha watu kimejipa mamlaka ya kutoa hukumu hapa duniani wanajiona wao ni superior kuliko wengine wamekuwa brainwashed wanaona dini Yao ndio ya haki zingine zote ni za kishetani na hazitakiwi kuwepo hapa duniani pamoja na waumini wake.Inasikitisha, vita ni mbaya sana. Watoto wa Congo, Sudan, Afrika Magharibi, Palestina, Israel na sehemu nyingine wanateseka bila sababu yoyote.
Familia zinapoteza ndugu na jamaa. Naangaliaga namna familia zinavyopotezana. Huwa navuta picha namna gani tutatengana na kupotezana na mke na watoto wangu kwa kukimbia vita katika kipindi ambacho watoto wananihitaji sana.
Inasikitisha, dunia sio sehemu salama na hatujui wala hakuna sababu ya msingi ya kuuana kila siku.
Kwanini wameenda kuomba msaada wa ulinzi wa anga? Kwanini wanaogopa kulipa kisasi kwa sababu hii sio tabia yao ya kuchelewa kijibu mapigo kiasi hiki?Ukimwaga uchafu kiwanja cha mtu unategemea akae kinywa?
Na yule aliyevaa kichupi Brian Deacon hadi mnamuabudu ili msamehewe dhambi hausiki kwenye ugaidi? Vipi wanaochukua ardhi za watu wakina mfalme Leopald II aliyeuwa wacongo hadi milioni 10 kwa kuwashikisha biblia?Magaidi siku zote wanadai wanapigania dini ya haki, dini ya mnyaazi mungu
Kuna uwezekano mkubwa ikawa moviKauliwa kweli kwani?
Hapana siyo kwamba alihabika na pictures Zina muonyesha kabisa kuwa ni yeye. Tena mpaka Askari mmoja akamfunua mdomo kutambua meno yake ambayo yanatambulika kwa jinsi yalivyo mano u. Lakini kaka Israel IDF ni watu professional hawawezi mpeleka Netanyahu mbele ya vyombo vya habari kutangaza kitu ambacho baadae kitathibitika ni uongo ndiyo maana wakafanya kwanza DNA testIna maana alialibika sana kiasi cha kutotambulika mpaka ikawabidi wamfanyie DNA test? Kwanini mpaka sasa Hamas wapo kimya? Naofia tunachezewa movi hapa kama za osama bin laden.
Amekufa kwenye mapambano hakuwa mtu wa kukaa kwenye mahandakiKachapwa drone au ilikuwaje,duuh!