Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Nasubiri hii hotuba ni njema Leo Hezbollah wamenifurahisha asubuhi ya Leo baada ya kushambulia makao makuu ya MOSSAD , Shinbet na Military intelligence huko Tel Aviv.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamkosagi visingizi 🤣🤣🤣🤣Yaan niupload mzigo wa GBs za kutosha kisa watu wachache humu wewe fuatilia telegram utazipata
Yawezekana kashajua ukweli kuwa dini yake imejaa upotoshaji mkubwa Sasa anataka KURUDI kwa YesuWadau hamjamboni nyote?
Kiongozi Mkuu wa Hezbollah ataongea na waandishi habari Leo jioni saa 12
Itakuwa hutuba ya kihistoria itakayotikisa Dunia yote
Tutakujuza
Live UpdateFrom the Liveblog of Sunday, August 25, 2024
Nasrallah expected to give speech at 6 p.m.
Today, 10:25 am
3
Hezbollah’s Secretary General Hassan Nasrallah is set to speak at 6 p.m., the terror group announces.
The expected speech comes following an Israeli preemptive strike on Hezbollah rocket launchers in Lebanon and the terror group’s reprisal for the assassination of top commander Fuad Shukr.
Wewe jamaaa ulizaliwa wapi?????🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wakala wa shetani huyo anatumikishwa na Iran kwa ahadi ya mito ya pombe na mabikira 72 siku atakapokufa atashangaa sana akifika kuzimu maana yeye ndo atajikuta amekuwa bikira kwa majini
Kwa hiyo magaidi wa Israel,watamsikiliza pia?Wadau hamjamboni nyote?
Kiongozi Mkuu wa Hezbollah ataongea na waandishi habari Leo jioni saa 12
Itakuwa hutuba ya kihistoria itakayotikisa Dunia yote
Tutakujuza
Live UpdateFrom the Liveblog of Sunday, August 25, 2024
Nasrallah expected to give speech at 6 p.m.
Today, 10:25 am
3
Hezbollah’s Secretary General Hassan Nasrallah is set to speak at 6 p.m., the terror group announces.
The expected speech comes following an Israeli preemptive strike on Hezbollah rocket launchers in Lebanon and the terror group’s reprisal for the assassination of top commander Fuad Shukr.
Hao israel ni magaidi.Ndio walimsulubu Yesu na kumuua.Na mpaka sasa wanamwita mtoto wa nje ya Ndoa.Ndio maana Mwalimu Nyerere,aliwatimua Tanzania.Inawezekana ikawa hizbullah wabaya ila sidhanii kama wanafikia hata theluthi ya ubaya wa wazayuni
Wazayuni watu wahovyo sana na usiwafananishe na hizbullah wazayuni wauaji
Kupanbana na shetani ni baraka.Ataongea upupu.. akiwa shimoni... what a coward.. anaitia hasara Lebanon
Ila Netanyahu hajachokwaRaia washamchoka Hana mvuto tena viongozi wake waandamizi wanakufa kama kuku huko Lebanon huku wao wakirusha mafashi fashi ambayo yamegeuka kuwa kivutio kwa waisrael badala ya threat
Baki na kichwa tu endelea na CNN na BBC mambo yetu tuachieLabda telegram ya msikitini
Habari zilishakua za zamani wewe subiri wachambuzi wenu wawasimulie Nasrallah katuheshimisha leo anasema hawezi kusujudia mtu wao wanautaka waje tuuSaa hii ni saa 2 kasoro usiku huyo madevu anazungumzia wapi au masjid?
Nyie SI ndío vibaraka wake humu ndio mnaotakiwa kutuhabarisha japo Hana jipyaHabari zilishakua za zamani wewe subiri wachambuzi wenu wawasimulie Nasrallah katuheshimisha leo anasema hawezi kusujudia mtu wao wanautaka waje tuu
Si Iran amalize huu mgogoro kwa kuwafuta waisrael maana si ana nyuklia?Uhuru sio rahisi kuupata kinachozuia Palestine kupata uhuru nikwakua israhell kapewa mabomu ya nyuklia na hana akili
Anaweza akaamua kuua wote pale Palestine pamoja na israhell yao walioiiba
Sasa kudeal na kichaa inatakiwa timing kubwaaa
post video hapaHivi wewe unawajua mazayuni kwa uongo hakuna kilichosambaratishwa hizbo wamechapa kambi 11 za mazayuni na wamerekodi video tunazo telegram hizbo taalifa zao zinapgwa pini huwezi kuzipata kwenye media za wazayun
Aisee boss wa Telegram wamemkamata ParisHivi wewe unawajua mazayuni kwa uongo hakuna kilichosambaratishwa hizbo wamechapa kambi 11 za mazayuni na wamerekodi video tunazo telegram hizbo taalifa zao zinapgwa pini huwezi kuzipata kwenye media za wazayun
Kwanini israhell yeye asitumie nyuklia kuwafuta iran au Palestine au hana nyuklia?Si Iran amalize huu mgogoro kwa kuwafuta waisrael maana si ana nyuklia?