Kiongozi Mkuu wa magaidi ya Hezbollah Hassan Nasrallah kuzungumza na vyombo vya habari Duniani kote leo saa 12 jioni

Kiongozi Mkuu wa magaidi ya Hezbollah Hassan Nasrallah kuzungumza na vyombo vya habari Duniani kote leo saa 12 jioni

Kwanini israhell yeye asitumie nyuklia kuwafuta iran au Palestine au hana nyuklia?
Israel inawapenda wapalestina maana ni watoto wa mjakazi wao kwa hiyo hawawezi ua kizazi cha beki tatu wao.
 
Yule jamaa mtu na nusu aliambiwa awafungie au awachome akachomoa, mwanzoni twiter,wasap na FB wametusaliti sana wapenda haki ila ndio hivyo wakicompromise telegram tutahamia China Kuna network wanaifanyia majaribio
Au pornhub huko hawafich kitu mkuu
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kiongozi Mkuu wa Hezbollah ataongea na waandishi habari Leo jioni saa 12

Itakuwa hutuba ya kihistoria itakayotikisa Dunia yote

Tutakujuza



Live UpdateFrom the Liveblog of Sunday, August 25, 2024


Nasrallah expected to give speech at 6 p.m.

Today, 10:25 am
3

Hezbollah’s Secretary General Hassan Nasrallah is set to speak at 6 p.m., the terror group announces.

The expected speech comes following an Israeli preemptive strike on Hezbollah rocket launchers in Lebanon and the terror group’s reprisal for the assassination of top commander Fuad Shukr.
Bado hajaongea tuuu!?
Au Bomu lilimkuta akiwa kwenye hotuba?
 
Back
Top Bottom