Tetesi: Kiongozi mwandamizi wa Hamas auawa katika shambulizi la leo katika kambi ya Al-Islam Nuseirat -Gaza

Sijaona Taarifa hiyo ya Jeshi la America na mahali Israeli alipokiri hayo.
Nakubali kwamba inawezekana kabisa wapo Waplestina wanafiki ila ww ulisema Waarabu - Je, kila mwarabu ni Mpalestina?
We utaona wapi hukuona Wayahudi walivyo taka mpigilia msumari kwenye msalaba utaona haya.

 

Mbona alishatangaziwa kuuawa zaidi ya mara mbili ??
 
Ni aibu mno aisee They have been liquidated in [emoji1134][emoji631] joint special military force massacre in Nuseirat camp-GazaView attachment 3012352
 
This is what [emoji631] they're really doing in Israel ...
 
Hii ndio michezo yenu tunayoifahamu violence kila kona kama kitabu chenu kitukufu kinavyohimiza
Myahudi aendelee kuwahisha wale wazee wa bikra 72 kwa mudi wakatafune vizuri huku wengine wakiendelea kutafuta sababu za nauli ya kwenda kula bikra kwa mudi kweli islam ni deen ya amani
 
Mtoa mada mwendawazimu ni wewe unaye muona Netanyahu mzima wa akili.

Afu Mohamed Al Dheif hata akifa ndio kitu gani wako wengine nyuma yake, afu hio naona ni ndoto kama mnaota vile πŸ˜„
Acheni ujinga nyie waisrael wa4 wameondoka na wapelestina 210. Endeleeni vichwa vyenu vigumu yaani mataisha kabisa
 
Yaani dini ianze miaka 1400 iliopita iwe ya kweli kuliko dini ilioanza miaka 2000
Nenda kawadanganye wenzako wa masjid shamfi marif

Wapi Yesu alisema Ukristo ni dini , usilete povu toa aya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…