TheGreatAssethi
Member
- Sep 22, 2020
- 85
- 28
Pole sana ndugu lakini nataka niwaambie tu mwisho wa ubaya ni aibu kiukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simlisema kodi zote kanunua ndege kumbe na vituo vya afya kajenga?Magufuli hizo pesa anatoa wapi?, ifike wakati watu muwe na uelewa Mtu anayekusanya Kodi ili kuhakikisha huduma zinasambazwa kila kona...., kufanya kwake chochote sio msaada wala huruma bali ni wajibu....
Hoja aache kusema uongo. Usichoelewa nn hapo? Angeponea wapi leo kama hakuna kilichofanyika. Tuache kumezwa na siasa za uongo kisa tu uchu wa madarakaHoja nyingine bhana, Kwani Zitto hakatwi kodi?
Mpe wewe sasaImekaa kinafiki[emoji849]
Accident or no accident JPM will retain his position as the commander in chief of the armed forces
Wewe uliyetoboa upo wapi ... ... .JF khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeMeko hatoboi awamu hii. Hatumtaki raid asiyejua kutofautisha "r" na "l" kwenye matamshi yake.
Si linadai kuwa ni lipenzi la Mungu mbona halipendwi zaidi likachukuliwa lituache tunaishi kwa amani? Ingekuwa kweli liko huko ingekuwa furaha ilioje?Lenye pacemaker nasikia liko mochuary
Hata hospitali za wakoloni bado ziko ikiwa ni pamoja na Muhimbili iliyojengwa kabla ya kuzaliwa Magufuli na iliyobadilishwa jina tu. Zahanati na Vituo vya Afya vimejengwa kwa nguvu za wananchi wa maeneo husika.Kituo gani cha afya wakati kasema hakuna alichofanya Magufuli kwa Kigoma? Haya mambo mengine huwatokea wanadamu ili tu kuwakumbusha wajibu wao kwa M/Mungu. (Kushuhudia wenzio uongo).
Kuna kipindi huwa natamani niwajue watu wenye akili kama zako ili niwafuate mahali mlipoItakua miccm hio na loho zao za kolosho