Kuna kila dalili serikali itakuwa imehusika moja kwa moja, na imefanya hivyo kwa kufikiria yafuatayo
Kutumia Uzoefu wao wa Huko Nyuma
Serikali imewahi kufanya vitendo kama hivyo siku za nyuma kulipowahi kuwa na migomo ya Wanafunzi. Waliwahi kumteka Raisi wa wanafunzi wa chuo kikuu UDSM Bwana Bazigiza na katibu wake, na kumpa mateso kwa siku 21 wakaja kumwachia siku ya graduation baada ya wanafunzi wengine kutangaza wasingeshiriki kwenye sherehe hizo mpaka Rais wao aonekane. Hawana wasiwasi kuwa wananchi wanaweza kufanya chochote dhidi ya matendo kama hayo kwa sababu hawajawahi kufanya hivyo hata mara moja
:
Lazma watu wafe for the greater good so kaa kimya na usikilizie
You are so naive my friend, you don't have to be genius to see this, even STEVE WONDER can see government hand
all over the place.
Sheria itumike. Serikali imefata sheria, kwenye mgogoro inatakiwa uende kwenye vyombo vya sheria, vyombo vya sheria vimesitisha mgomo na vimetowa amri, bado unaleta ukaidi?
Sasa ataijuwa Serikali ni nini, ingawa yeye kwa gonjwa linalomsumbuwa anaona kuwa hana cha kupoteza, lakini hii itakuwa ni fundisho kwa wengine wajuwe kutumia sheria na kuheshimu mahakama.
We punguani nlichosoma mimi kinahitaji akili mara kumi ya akili inayohitajika huko medicine(what i earn in a month ..hao Madoctor inawihataji 1 year and a Half kufikia)...
Kuwa Doctor hakukufanyi usiwe kilaza ..hawa madoctor si wanawafanyia watu opresheni za kichwa wakati walitakiwa wafanye opresheni za miguu ?...
Pia katika mgomo uliopita waliwakejeli wananchi badala ya kuwahudumia wakakata roho mbele yao! sasa hawa madoctor kama sio vilaza ni nani ? for your record ,na wewe ni kilazaaaaaaaaaaaa
hali ya Dr.Ulimboka yuko unconscious,multiple ribs fracture na kwenye mikono pia amevunjika pamoja na taya,yuko icu wanamstabilise kwanza kwa sababu hapumui vizuri,