Serikali , TISS siyo wajinga kumteka Ulimboka na kumfanya hicho na kumuchia. Wamefanya mengi bila hata kujilikana. Wangetaka kumteka na kumpiga wangefanya hivyo wakati mgomo haupo.
MAT ina viongozi / kamati , kwa hiyo siyo rahisi kwa Ulimboka kwenda peke yake kwenye mkutano wowote ule.
Lazima tuseme ukweli kuwa wanaopata madhara ni wananchi .
Kama kuna mtu kapoteza mpenzi wake, mzazi wake atakuwa na hasira gani?
MAT ina viongozi / kamati , kwa hiyo siyo rahisi kwa Ulimboka kwenda peke yake kwenye mkutano wowote ule.
Lazima tuseme ukweli kuwa wanaopata madhara ni wananchi .
Kama kuna mtu kapoteza mpenzi wake, mzazi wake atakuwa na hasira gani?