Waliomteka ni watu wenye hasira za kufiwa na ndugu zao na kukosa huduma mahospitalini kwa ajili ya huyu mnafik pamoja na wenzake.
Sasa atahudumiwa na nani wakati madaktari wamegoma?
una uhakika!? utawala unaingiaje hapa?
Emancipate yourselves from mental slavery;
None but ourselves can free our minds.
Have no fear for atomic energy,
'Cause none of them can stop the time.
How long shall they kill our prophets,
While we stand aside and look? Ooh!
Some say it's just a part of it:
We've got to fullfil the book.
...Kwa serikali hii dhaifu na lege lege unategemea uwajibikaji wa aina gani? Nadhani hapa suala liko kwetu umma wa Tanzania kuiwajibisha serikali...Watanzania bado hatujawa na ujasiri wa Wa-Libya, Wa-Misri nk.....Pole Ully!!mkuu nimekusoma, lakini piga ua garagaza lazma serikali iwajibike kwa hili.
"liwalo na liwe" pinda asema
Habari zinazoletwa na magwanda humu ndani huwa za kutatanisha, mara "atekwa", mara yuko "polisi", mara kaokotwa "mabwepande" yuko taabani.
Hivi huwa hamjui kusema kweli?
Isitoshe, kama kweli hili la mwisho la kuwa kala kichapo mpaka kawa taabani limefanyika, basi hapo itakuwa kuna watu wenye uchungu wameupokea ushauri wangu nilioutoa jana humuhumu JF, huu hapa:
Huyo hajatekwa bali kakamatwa kwa mahojiano zaidi. Hata hivyo, reconciliation ndio aende pekee yake ? Naye alikosea kama kweli alienda pekee yake; maana hata watu wenye nia mbaya na Serikali wanaweza kuchukua hatua kama hiyo ili kuleta taharuki zaidi !!!!
sijui nikutukaneje?Hadithi za shigongo hizi.
ah kumbe wewe unawafahamu naona itakuwa vizuri utusaidia kwa uchunguziWaliomteka ni watu wenye hasira za kufiwa na ndugu zao na kukosa huduma mahospitalini kwa ajili ya huyu mnafik pamoja na wenzake.
Watanzania wenye akili timamu watasubiri ushahidi halafu ndio walamu sio kutoa hukumu utasema ulikuwepo kwenye tukio.
Naona unataka kuleta ubishi usiokuwa na kichwa wala miguu...Wewe amini unavyotaka kuamini wewe, na Watanzania wenye akili timamu ya nini kinachoendelea nchini wataamini vile wanavyotaka kuamini wao.
Sina hakika na ukweli wa habari hii!
Kwa uhusiano alionao na serikali hii, saa sita ya usiku anaenda kufanya 'reconciliation' na 'mtu' wa serikali? Tena peke yake bila viongozi wenzie? Atakuwa wa ajabu basi!