hii ni habari ya kweli na imetoka kutangazwa sasa hivi na radio clouds fm.... Serikali dhaifu, madakitari kuweni kitu kimoja mgomo kama kawa hadi kieleweke.
Acha kutumika kisiasa wewe'ww unasema hawana vifaa mbona huyo ulimboka wampeleka Moi under emergency case na vifaa hivyo hivyo ndio wanamtibia navyo? kama hakuna vifaa kwa nn wasinge mpeleka nje au hospitali binafsi ? fumbuka bongo , hapa yaonyesha haya madai yao ya vifaa ni janja yao tu, wako kimaslahi zaidi . Mie nasema ni bora tuwafukuze wote tujue hatuna madaktari kama walivyo fanya kenya , kuliko kuwa na madaktari kanjanja
Nikweli kabisa naungana na wewe pia. Ila umeruka moja.
SERIKALI
Inawezekana kabisa watumishi wa serikali (wanausalama/polisi) wakayafanya haya hata kama hawajaagizwa hilo. Tumekuwa tukishuudia watu wa usalama wakifanya mambo kinyume cha haki za binadamu/Katiba yetu na bado hakuna mkono unaoweza kuwagusa. Ni mapema sana kuhukumu kwasasa, tuombe Mungu Dr.Ulimboka apate nafuu upesi ili asaidie kupatikana kwa taarifa kamili kuhusiana na tukio hili.
Nadhani hawa watu waliomfanyia hivi walifikiri ameshakufa ndio maana wakamwacha. Wakijua kwamba bado yuko hai kuna uwezekano mkubwa watarudi ili kumalizia asije akawataja atakapopona. Kuna uhitaji mkubwa sana wa kuhakikisha anapatiwa ulinzi wa uhakika. Haya ndio yaliyosabisha kiongozi wa serikali ya wanafunzi miaka ya hapo nyuma, Harun Kimaro, atoroke nchi na kukimbilia Zimbabwe baada ya kupata taarifa uhai wake ulikuwa hatarini toka watu wa vyombo vya "usalama" vya serikali.
yametuchosha maisha haya . Kuna tofauti gani na wakimbizi. bwana yesu urudi.