Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

kweli inawezekana kabisaaa
kwasababu yule mama ni tatizo sana na bado ana hasira kweli..... nilishamsikiaga mme wake akisema kusikitishwa na Dr ulimboka kusimamia kumtoa mkewake yupo pale banks union pemben na BOT......
 
Yule mama ana mtandao wa ajabu sana...inawezekana kabisa!
Lakini kama ni yeye ataumbuka soon!

Ataumbuka kwa mtindo wa serikali hii ya kulindana? Hata kama ni yeye nijuavyo serikali yetu itampongeza kisirisiri, amini usiamini.
 
kweli inawezekana kabisaaa
kwasababu yule mama ni tatizo sana na bado ana hasira kweli..... nilishamsikiaga mme wake akisema kusikitishwa na Dr ulimboka kusimamia kumtoa mkewake yupo pale banks union pemben na BOT......


pikeni uongo mwingine...
 
kweli inawezekana kabisaaa
kwasababu yule mama ni tatizo sana na bado ana hasira kweli..... nilishamsikiaga mme wake akisema kusikitishwa na Dr ulimboka kusimamia kumtoa mkewake yupo pale banks union pemben na BOT......
unaweza kutusaida kupata ushahidi huu, au unaongea tu kama uko chooni?
 
Siyo kwamba namtetea huyu mama ila jamani tuwe waangalifu kuwa husisha watu na maswala mazito kama haya bila ushahidi. Kumbukeni wahenga walisema "Umdhaniae siyo kumbe ndiye na umdhaniae ndiye kumbe siye". Tuweni wavumilivu na tusiwe na haraka ya kuanza kuhusisha watu pasipo ushaidi.
 
Tena huyu si kasimamishwa kazi mbona namuona anatembelea STK huku mjini au inakuwaje huko serikalini ?
 
Acha kupotosha watu, unatumiwa nini, mnataka kumtoa kafara Blandina Nyoni, hatukubali, mlishasema liwalo na liwe.
 
kuna tetesi zimeenea kwamba blandina nyoni amehusika na tukio hilo akiwa na dhamira yakulipiza kisasi kwa kuwa mgomo wa madaktari wa awamu ya kwanza ulisababisha kutimuliwa pale wizarani hivyo ameamua kutumia nafasi hii ili kumaliza machungu yake.
my take.
je wanajamvi hii inaweza kuwa na ukweli.

Only a fool can accept that
 
kuna tetesi zimeenea kwamba blandina nyoni amehusika na tukio hilo akiwa na dhamira yakulipiza kisasi kwa kuwa mgomo wa madaktari wa awamu ya kwanza ulisababisha kutimuliwa pale wizarani hivyo ameamua kutumia nafasi hii ili kumaliza machungu yake.
my take.
je wanajamvi hii inaweza kuwa na ukweli.

usipende kuwakilisha mawazo yako kupitia mlango wa nyuma why kusema tetesi we don't need it kama unauhakika weka ili wana jf wachangie
 
Tatizo hujanielewa,NCHI HII SIYO MADAKTARI TU,KUNA WATUMISHI KIBAO NA WOTE NI MUHIMU KILA MTU KWA NAFASI YAKE.NA KILA MTUMISHI AKIGOMA ANA ATHARI ZAKE KWA WANANCHI.Tatizo hii kauli ya kusema HAKUNA ALIYE MUHIMU KAMA DAKTARI NI ya kijinga.Pia kumbuka mafisadi kufocha fedha nje ya nchi hakuwezi kuhalalisha madai ya milioni 3na zaidi kwa daktari.Wanataka kugeuza fani ya udaktari kama sehemu ya kupatia utajiri?MIMI PIA NIKO NAO IDARA MOJA,nahitaji maslahi mazuri mazingira bora ya kazi lakini tudai huku tukiangalia na idara zingine na pia TUTUMIE APPROACH YA KUIBANA SERIKALI AMBAYO HAITAKUWA NA MADHALA KWA WANANCHI KAMA ILIVYO SASA.Hapo hatuibani serikali badala yake tunaumiza wananchi.WANANCHI WANAHUSIKA VIPI NA MADAI YETU MPAKA TUWAADHIBU KWA KUWANYIMA HUDUMA NA PIA KUWASABABISHIA VIFO??

Kwenye red ndio ukweli. Mtu anayeokoa maisha ya mwanadamu unamlinganisha na nani?

Kwenye blue: Ndio, wapo wengi,na serikali ina uwezo wa kuwalipa vizuri kama itazuia EPA, Meremeta, Rada na wengine.
 
Kusema Blandina kahusika ni kupotosha na kuna chuki binafsi ndani yake. Msimuonee mama huyu kwa kumzulia mambo ambayo hayamhusu.
 
Back
Top Bottom