Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 70
Yule kiongozi wa migomo TRL late Rwegasira yupo wapi?
Huu udikteta sasa.. Utamaliza wangapi?
alijinyonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule kiongozi wa migomo TRL late Rwegasira yupo wapi?
Huu udikteta sasa.. Utamaliza wangapi?
magamba walimnyonga.????alijinyonga
je hizo taarifa ni za kweli?
Hatua hii ya wasomi kudai maslahi haifai kuwa na ufumbuzi wa UBABE, bora kama wangekuwa wakulima ambao wanaweza hata kudanganywa. Suala ni moja tu; KILA MMOJA AFAIDI KEKI ya Nchi yake
watawakamata wangapi?????tulishachoka,lolote naliwe bana.madaktari gomeni tena gomeni sana.Hatua hii ya wasomi kudai maslahi haifai kuwa na ufumbuzi wa UBABE, bora kama wangekuwa wakulima ambao wanaweza hata kudanganywa. Suala ni moja tu; KILA MMOJA AFAIDI KEKI ya Nchi yake
kama hakuna source ni uongo!
Wenye silaha ni maaskari na usalama wa ccm,Dr Ulimboka hana biashara yoyote anayofanya imfanye atekwe,hana pesa hana kitu ni maskini tuu,sasa swali kuu ni nani aliyemteka?ni gorvement agent na ni specific na issue ya madokta full stop.
and then what next.....the doktas are still ndani ya mgomo baridi