Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atahamishiwa hospitali ya AAR
ni afadhali ningekuwa mfanya maamuzi ningekuwa natoa maamuzi ya msingi wala isingefikia huku ilikofofikia leo
hii tunaongelea masuala ya watu kutekwa.kwani madai ya madaktari yote yapo ndani ya uwezo wa serikali.
Unataka kusema serikali haina uwezo wa kununa scanner au vifaa?kuwapa madr green cards za bima,mbona wanawapa
mpaka mahouse girl wao?,hawawezi kuongeza posho ya wabunge na madiwani zinatoka wapi au kwa sababu ni
wanasiasa watapiga kelele juu ya uovu wao?,
pesa zinazotumika kukimbiza mwenge nchi nzima mbona ni nyingi,
je tuna sababu ya kukimbiza moto kwa mabilioni ya pesa badala ya kuwalipa madaktari...........!!!!!!!.think twice!!
Khaaa serikali yetu inaufinyu wa mawazo na kwahili wameongeza matatizo na sio kutatua wala kupunguza tatizo. Watanzania tuamuke na tusimame kidete ktk hili!
JINSI YA KUMSINGA (massage) na KUMSUGUA (scrub) MWENZA WAKO KWA KUTUMIA VITU ASILIA.
Binadamu wote lazima tuchoke wakati fulani na kupata maumivu ya viungo vya miili yetu.Basi si kila siku tuwe tunakimbizana kwenye massage spas,siku moja moja unatakiwa umsugue na kumsinga mwenzio nyumba.
Oga vizuri kabla ya kuanza, shughuli hii inaweza fanywa kitandani au kwenye mkeka. Unaanza kuusugua mwili wote kwanza kwa kutumia unga wa liwa ulichanganywa na maji ya rose pamoja na machicha ya nazi au unga wa manjano uliochanganywa na maji ya rose pamoja na machicha ya nazi. Sugua mwili mpaka uhisi uchafu na nongo zote zimeisha.Baada ya hapo unaoga nakurudi kwa ajili ya kusingwa.Unachukua mafuta ya mzaituni,ya nazi au ya ufuta unampaka mwili mzima na kuanza kumsinga(kummassage) taratibu na kwa upendo alafu unachukua unga wa karafuu na kuunyunyuzia mwilini sana sana sehem za mgongoni na kiunoni(unga huu usiguse sehem za siri,unawasha).Utaendelea kumsinga mpaka utakaporidhika unamuacha akae na ule unga kama dakika 15 hivi,akipitiwa na usingizi muache apumzike akiwa macho*akaoge au ukamuogeshe alafu kitakacho fuata I.T.V hatutaki kujua..........
Kusugua na kusinga mwili inasaidia kuondoa uchafu mwilini,kupunguza maumivu makali mwilini,inakufanya upate pumziko na kuondoa usongo wa mawazo , kutaiwezesha mishipa ya damu kuwa katika hali nzuri na hivyo kurahisisha msukumo wa damu katika mwili wako.Pia huleta furaha kwa wale wawili wapendanao.
MAHITAJI NI KAMA YA FUATAYO
MACHICHA YA NAZI
UNGA WA KARAFUU
UNGA WA LIWA
*MAFUTA YA KARAFUU
*UNGA WA MANJANO
*MAFUTA YA MZAITUNI
MAJI YA MAUA WARIDI
Nyongeza: kwenye swala la mafuta unaweza tumia mafuta ya nazi,ya ufuta au yoyote yale ambayo hayataleta mchubuko wakati wa kusinga. Kusugua na kusinga inaweza chukua dakika 45 mpaka 60 na baada ya hapo pumzika kiasi kisha unaweza kwenda kuoga. Wataalam wanashauri baada ya kuoga utembee kidogo ili kuuweka mwili sawa kabla ya kwenda kulala.
Mafuta ya karafuu unaweza yatumia peke yake*kuchua sehemu zenye maumivu makali*kama kiunoni,shingoni,mgongo na miguu.
KWA ATAKAE HITAJI UNGA WA LIWA,MANJANO NA KARAFUU, MAJI YA ROSE NA AINA MBALIMBALI ZA MAFUTA YA KUSINGA KARIBU SANA DUKANI KWANGU*EmC's CHOICE SINZA MAPAMBANO 0654450200
Evelyne Michael at 4:49 AM
Share
0 comments:
Post a Comment
Home
View web version
About Me
Evelyne Michael
I am a Zigua from Tanga,Tanzania.The first born in a family of five children.I am a holder of Bacherol of Law Degree and a Postgraduate Diploma in Human Reso
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
ukikaidi amri ya mahakama unapelekwa mabwe pande na kupigwa?Uonevu kuvunja amri ya mahakama?
mtu yeyote anaweza kukupa kichapo halafu akasema yeye ni CCM. Hizi ndio mbinu zinazotumika na wapinzani, CDM wameweza kuuwa wenzao itakuja kuwa huyu doctor?ulimboka kasema ni CCM
serekali wala haihusiki na hilo tukio, hili jambo limesha kuwa la kisiasa na njia moja nzuri ya kuichafua serikali ni kufanya vitendo kama hivi, hii itakuwa ni CHADEMA.
Umeongea vema jemedari wangu,kwangu mimi sina sababu ya kumumunya maneno,hii ni njama ya serikali.Lakini kama serikali yetu imefikia hatua ya kutatua migogoro kwa njia hiyo,na wananchi ambao tumeipa serikali madaraka tumekaa kimya,natamani nisingezaliwa tz,watu wamekosa moyo wa uthubutu. Kwani lazima tufike 2015.Nyie viongozi wa upinzani hasa cdm ambao ndio jicho letu,sikio letu na midomo yetu,kwanini msituambie wananchi nini cha kufanya kabla ya 2015.Amani ambayo ccm imekuwa ikitumia miaka nenda rudi kuwahadaa wananchi iko wapi. nasikitikaUjumbe amenitumia Daktari yupo pale MOINimechukizwa sana na habari za kutekwa, kupigwa na kuumizwa vibaya kwa Dr Ulimboka, Kiongozi wa Madaktari Nchini. Mambo kama haya tumezoea kuyasikia kwenye nchi za kidikteta na kuongozwa kiimla ambapo watawala badala ya kutumia njia ya kidemokrasia na kisheria kushughulikia wanaoamini ni maadui zao katika utawala, hutumia wahuni katika Taasisi za usalama kuteka raia, kuwatesa, kuwafunga na hata kuwaua.
‘Kaka Zitto,hali ya Dr.Ulimboka yuko unconscious,multiple ribs fracture na kwenye mikono pia amevunjika pamoja na taya,yuko icu wanamstabilise kwanza kwasababu hapumui vizuri,the situation here is really bad,I agree with you this is outright outrageous'
Sitaki kuamini kwamba Tanzania imefikia huko. Nimezungumza na baadhi ya madaktari walio karibu na Dokta Ulimboka na kujulishwa kwamba majeruhi huyu wa vitendo vya hovyo kabisa kutokea hapa nchini alikamatwa jana usiku mnamo saa sita na watu wasiojulikana na kupelekwa katika msitu wa MagwePande na kujeruhiwa vibaya. Habari hizi bado hazijathibitishwa na vyanzo huru lakini ndio zilizopo hadi hivi sasa.
Serikali kama mlinzi wa usalama kwa raia inaWAJIBU kueleza tena kwa haraka ni nini kimetokea kwa kijana huyu msomi na kiongozi wa wataalamu wenzake. Serikali INAWAJIBIKA kueleza katika nyakati kama hizi ambapo kuna mgogoro kati yake na madaktari imekuwa wapi kuhakikisha usalama wa viongozi wa madaktari ili kuepusha watu wanaoitwa 'agente provocateure' kuweza kuhatarisha hali ya amani ya nchi na hata kupelekea kuweka hali ya vitisho kwa madaktari wetu.
Serikali INAWAJIBIKA kueleza kama sasa imeamua kutumia njia za kihuni kumaliza matatizo na wananchi wake.
Nimemuomba Waziri kivuli wa Afya wa CHADEMA kufuatilia suala hili kwa kwa karibu sana ili kuhakikisha kwamba ukweli wote na ukweli mtupu unafahamika. Kamwe hatuwezi kuacha Mtanzania yeyote aonewe, anyanyaswe au akandamizwe eti kwa sababu ya kudai haki yake na za wenzake. ‘An injury to one, injuries to all'
Naomba madaktari wamwangalie kwa karibu daktari mwenzao ili aweze kupata nafuu. Ulinzi uimarishwe ili kuhakikisha usalama wake.