Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

ukweli lazima mr ulimboka atausema akipona na najua serikali kwa hili itaaibika coz lazima atakuwa amesikia maneno waliokuwa wanayaongea wakiwa wanataka kumuua eeeh yesu mtu huyu apone kwa jina la yesu na tujue ukweli wote ameeen
 
Try to think out of the box also. Remember Matiku from UDSM???

When you have to analyse issues you have to do it critically, meaning that you have to look at both possibilities. So far your possibilities are one sided bro!!!

Huyu atakua kurugenzi ya mawasiliano ikulu
 
Mnaomsikitikia huyo fedhuli mmoja, mnajuwa ni wagonjwa wangapi wanaoathirika na upumbavu wake? au wale sio binaadam? binaadam ni huyo kibaraka pekee?

Nasema astahili yake, mtoto akichezea wembe mwachie, na bado.
 
Sasa serikali imechoka akazi kama ndo utaratibu huuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Huyu Bw. tangu mwanzo nili dought uwezo wake na leo hisia zangu zimethibitika. Kwa mtu yeyote makini na mpiganaji wa kweli hawezi kufanya kosa kubwa kama hilo la kutoka usiku peke yake kwenda kuonana na mtu asiyemjua. He deserves to surfer his stupidity.
acha utoto mtu unaemjua na kila siku mwawasiliana akikupigia simu hutotoka we vipiiii
 
sirikali..is this guy a threat to the national security??????
 
ukweli lazima mr ulimboka atausema akipona na najua serikali kwa hili itaaibika coz lazima atakuwa amesikia maneno waliokuwa wanayaongea wakiwa wanataka kumuua eeeh yesu mtu huyu apone kwa jina la yesu na tujue ukweli wote ameeen
Woga wangu ni kwamba wanaweza kumuua akiwa Muhimbili jamani mateso makubwa
 
wana JF, je inawezekana kuanzisha michango hapa kwa ajili ya matibabu ya huyu dr Ulimboka na ikiwezaka nje ya nchi. kama masanja aliweza kufanikisha michango kwa ajili ya Sajuki, kwa nini JF yenye wanachama zaidi ya 80,000 washindwe?
Kila member wa JF achangie kiasi kidogo cha 1000/ tu. Nani anaweza kuratibu hii kitu?????????????//

Na wale wagonjwa wetu Muhimbili utawachangia wewe? toa upuuzi wako huu.
 
wana JF, je inawezekana kuanzisha michango hapa kwa ajili ya matibabu ya huyu dr Ulimboka na ikiwezaka nje ya nchi. kama masanja aliweza kufanikisha michango kwa ajili ya Sajuki, kwa nini JF yenye wanachama zaidi ya 80,000 washindwe?
Kila member wa JF achangie kiasi kidogo cha 1000/ tu. Nani anaweza kuratibu hii kitu?????????????//


aB6A+v2OXS9zWzL6fAAAAAElFTkSuQmCC
....................loading.............channel scrambled.......
 
Sasa mbona hao jamaa kwa kitendo hicho ndio wanaibua ajenda mpya sasa!!!!!!!!!
yaani tindu lissu aliposema hii ni silly season, silly government,silly leadership ndio hii yaani hawa wapuuzi hawajui hata kusoma alama za nyakati sasa hii inamaanisha nini ni kwamba kweli walitaka kumuua kiwia, wanahusika na vifo vyote vya chaguzi kule igunga na arumeru hii aikubaliki ccm sasa hivi inatubaka haitutawali tuiondoe haraka wanashindwa kutatua matatizo ya wananchi wanatumia mbavu shame on them
 
Dah! Pole sana Dr Ulimboka! I pray that whoever is responsible for this, is arrested and punished accordingly!
Mkuu nani atam-arrest JK na shemeji yake Mwema? Maombi yako hayatafanya kazi yoyote.
 
Have no fear for atomic energy,

'Cause none of them can stop the time.

"they say what we know, is not what they teach us.......
we keep on surviving from the power of the most high .....
Ambush in the night , planned by..."
 
Woga wangu ni kwamba wanaweza kumuua akiwa Muhimbili jamani mateso makubwa
i believe and i will pray hatakufa huyu dr nakwambia kwa jina la yesu na tutajua mengi sana kupitia yeye
 
nilikuwa najiuliza sana kwa nini siku ghadafi alivokamatwa walimvua nguo wakamuingiza vijiti matakoni!!! sasa nimepata jibu....ipo siku itafika tu na itafahamika tu....hata charles Taylor alijifanya mbabe lakini mwisho wake kila mtu ameona...JK poda zitakuisha hizo we leta mzaha tu
 
Back
Top Bottom