Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
- Thread starter
-
- #121
Mimi nimesema ni watu gani kwani?Masudi kipanya ni mnafiki na mchonganishi tuu....wewe kwanza mtoa mada na huyo Masoud wako mna uhakika gani walio wapigia simu ni watu mnaotaka tuamini? Masoud aache kuchafua watu
Nimesema inasemekana boss, mbona povu jingi?Una ushahidi gani. Kwanini tusifikirie kama ni kiki. Mana Kipanya Heri awe anachora arguments zake na maswali yake yako so childish and biased hadi kichefu kichefu ni as if kajua watz wengi wasiosoma wanapenda vimada vya kama vile vya shule ya secondary na Mwalimu mkuu. Anayeonyesha kumpinga Mwalimu mkuu basi anakuwa kiongozi. Stupidity.
Ilitakiwa itokee hivi ili akili zitukae sawa. Hata ongoza milele ila kumbukumbu zake zitaishi mpaka vizazi vijavyo na zitakua referenceWatanzania tulidanganywa JIWE hakustahili kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi!
inaongea kituKatuni ni njema sana.
Masudi Kipanya Kamchonganisha nani na nani?Masudi kipanya ni mnafiki na mchonganishi tuu....wewe kwanza mtoa mada na huyo Masoud wako mna uhakika gani walio wapigia simu ni watu mnaotaka tuamini? Masoud aache kuchafua watu
Angekuwepo yule mnyiramba angesema Masudi kajipigia mwenyeweJiwe ndiyo kampigia kwa namba yake ya magumashi.
Kwa hiyo serikali au ccm ina timu ya ndondi??Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Ushauri wa kipuuziHuyu Kipanya japo anapenda kazi yake ila kwa sasa namshauri angechora Wasanii tu.
Hata akipotea hamtakuwa na Msaada kwake zaidi zaidi mtakuja tu #HASHTAG FreeKipanya.Ushauri wa kipuuzi
Labda green guardKwani CCM ina timu ya masumbwi?
Itakua ni wachawi waliotumwa na chama tawalaKwani waliompigia simu ni CCM? Ni watu waungwana tu wanaomtakia mema msanii huyo.
Yeye kama msanii kazi yake ni kuchora katuni kutokana na mambo yanayotokea kwenye jamii. Sasa wewe ni nani mpaka umpangie kitu cha kuchora?!Tunamshauri tu msanii aepuke matatizo yasiyo ya lazima. Mnamshangilia sasa, kuumia ataumia mwenyewe wala hamtakuwepo. Kwa nini mnamdanganya mtu. Si ukae kimya tu. Lazima uchangie? Msimjibie acheni ajibu mwenyewe. Kama wenzako wanakwazika yeye kula hata nyama, Mtume Paulo alisema "Sitakula nyama kamwe". Namfahamu Kipanya. Ni msanii mzuri, mshereheshaji mzuri ni mwezeshaji mzuri wa masuala ya kijamii. Bora angeiweka sanaa yake ku-address masuala mengi ya kijamii na maendeleo. Aiweke kuelimisha jamii juu ya mambo mengi tu yenye tija kuliko mapambano ya kisiasa. Kuna maeneo mengi ya kuiweka sanaa yake hiyo adimu. Kwa mfano anaweza kuwafikia vijana walio na vidonda katika nafsi zao na kutumia sanaa ya uchoraji kuwaletea uponyaji (psycho-social healing). Hiyo imefanyika Ethiopia, Uganda na mahali pengine. Kupambana kisiasa kwa Msanii wetu si mahala pake. Tunamshauri aipeleke mahali panapofaa zaidi. Sio kwenye siasa. Sanaa za kisiasa awaachie wasanii wa kisiasa. Yeye amekwisha jitambulisha na jamii yetu kuwa ni msanii wa kimaendeleo.
Huu ushauri wako ni wa kipuuzi kajipange tenaKila kipawa kinahitaji ushauri, malezi na maongozi. Ulimwengu umekuwa na watu wengi wazuri ambao vipawa vyao vilikosa malezi na mashauri na vikaishia njiani. .
Vipi alikuchafua huko nyuma kwenye shimo la taka nini?Masudi kipanya ni mnafiki na mchonganishi tuu....wewe kwanza mtoa mada na huyo Masoud wako mna uhakika gani walio wapigia simu ni watu mnaotaka tuamini? Masoud aache kuchafua watu
Wewe una msaada gani zaidi ya kujaza server za JF.Hata akipotea hamtakuwa na Msaada kwake zaidi zaidi mtakuja tu #HASHTAG FreeKipanya.
Pumbavu.