GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Najua wadhamini au washika vilabu vile wanafanya jitihada kubwa sana, lakini pamoja nao nimeongea na wadau wawekezaji wetu wakubwa hapa, mmoja nimempa Yanga mmoja nimempa Simba awasaidie, kwahiyo litakapokamilika tutaitana vilabu tuambizane" - Rais @SuluhuSamia akizungumza katika uwekaji wa Jiwe la Msingi Suluhu Sports Academy Mkunguni- Kizimkazi Zanzibar
Chanzo: East Africa TV
Mwenyezi Mungu ni lini utatupa tena Zawadi Watanzania ya Watu kama Nyerere, Mkapa na Magufuli ili tupige hatua?
Chanzo: East Africa TV
Mwenyezi Mungu ni lini utatupa tena Zawadi Watanzania ya Watu kama Nyerere, Mkapa na Magufuli ili tupige hatua?