Kipi bora: Kuoga Usiku au Asubuhi?

Kipi bora: Kuoga Usiku au Asubuhi?

Ungeuliza kuhusu kupiga mswaki, napiga mswaki usiku baada ya chakula badala ya kupiga asubuhi kama wengine walivyozoea.
 
Ungeuliza kuhusu kupiga mswaki, napiga mswaki usiku baada ya chakula badala ya kupiga asubuhi kama wengine walivyozoea.
Kwahyo ww Asubuhi hukutani na mswaki kabsa!!!?
 
Mleta hoja unachanganya mambo kidogo, kuna wanaooga na wale ambao wanajimwagia maji.
Mvuto wa bafu
Mazingira mazuri na safi bafuni ndio chanzo kikuu watu kuoga mara kwa mara.
Mfano: Kuna watu bafuni kuna miundombinu yote ya kisasa kama SAUNA, jacuz, mfumo wa maji ya vuguvugu, n.k why asioge na ukizingatia bafu lipo mita 3 kutoka anapolala.
Sasa ukija uswazi ni balaa! Bafu na choo humo humo, full of bad smells.. why usilale bila kuoga?
Tena hapo unalala Manzese na kunya unakunya au kuoga Ubungo.
TAFUTA PESA KAMANDA, UTAOGA KAMA CHURA.
NA HII NDIO MAANA WAKISHUA WOTE HUWA NA HARUFU ZAO MAANA WANAOGA BUT HUKU USWAZI TUNAFAKAMIA DODOKI NA NYAVU ZA KUVULIA SAMAKI MKONONI UMESHIKA SABUNI YA GIV, AYU, MAGADI N.K
 
Tena Siku hizi ukiamka asubuh kuna upepo fulani hivi na baridi.......nakula passport ya nguvu na napulizia perfume yangu ya kupima toka mlimani city........Hapo nikiingia kwenye mwendokasi nanukia vizuri sana na watoto wa kike wote lazima wanigeukie mkaka anayenukia na perfume yake imejaa kwenye gar yote

Najua wavivu wenzangu wa kuoga hawawezi kununua perfume za kuanzia laki 5.............ila waende pale Mlimani city zipo za kupima kuanzia 50,000/=,ukipulizia hiyo na ukifika ofisini unakuwa Breathe of the Area

Nunua jagi la umeme unachemsha maji unaoga
 
Hahahahhaha sawa nitalifanyia kazi wazo lako
Wewe muoga maji ya baridi nami siogi maji ya baridi labda hayo yawe uvuguvugu kama maji ya baridi naweza ghairi kuoga
Na ukijenga kwako heater bafuni muhimu sana
 
Wote tunajua umuhimu wa kuoga na kila mtu ana ratiba yake ya kuoga ukiachana na wale wanaooga mara mbili kwa siku Kuna sisi ambao kuoga kwetu ni mara moja tu kwa siku, so ni kuchagua tu mwenyewe uoge Asubuhi au Usiku

Binafsi napenda kuoga Asubuhi mara nyingi, ni mara chache sana naweza kuoga usiku tena ikitokea siku nimeoga usiku basi kesho Asubuhi nitajisikia uvivu kuoga tena

KWANINI NAOGA ASUBUHI?

Naoga Asubuhi kwasababu naamini ndio muda sahihi wa kutoa uchafu wote ikiwemo na seli za ngozi zilizokufa and other bodily fluids

Pia nakua fresh zaidi kuianza siku mpya

KWANINI SIOGI USIKU

Mwili wa mwanadamu bado huwa unazalisha harufu mbaya usiku na hukusanya wadudu na seli za ngozi zilizokufa. hivyo kama Ukioga usiku itakulazimu kuoga tena Asubuhi kitu ambacho ni Anasa na upotevu wa Maji

Kwako kipi Bora na Sahihi? Kuoga Usiku au Asubuhi? Uzi unawahusu Wanaume tu, Wanawake Najua ni muhimu kuoga mara 2 Kila siku
View attachment 2264661
Wanawake wanapitia magumu sn,

Hivi wanawezaje kulala na mwanaume ametoka juani na majasho bila kuoga?
 
Kwahyo ww Asubuhi hukutani na mswaki kabsa!!!?
Asubuhi naamka na chai ya Tangawizi. Ila logic ni kwamba usiku ukishakula vyakula vyetu vya kitanzania na ukalala ni kwamba unafunga mdomo masaa nane au zaidi hivyo bacteria wanapata muda wa kutumia mabaki ya chakula kujishibisha na kufanya uharifu kwenye fizi/kinywa. Mchana uharibifu ni mdogo maana mdomo uko wazi muda mwingi.
Kwa hiyo nahamasisha tupige mswaki baada ya chakula cha usiku badala ya kupiga asubuhi.
 
Asubuhi naamka na chai ya Tangawizi. Ila logic ni kwamba usiku ukishakula vyakula vyetu vya kitanzania na ukalala ni kwamba unafunga mdomo masaa nane au zaidi hivyo bacteria wanapata muda wa kutumia mabaki ya chakula kujishibisha na kufanya uharifu kwenye fizi/kinywa. Mchana uharibifu ni mdogo maana mdomo uko wazi muda mwingi.
Kwa hiyo nahamasisha tupige mswaki baada ya chakula cha usiku badala ya kupiga asubuhi.
Hiyo ya Usiku upo sawa, lakin Asubuh pia ni muhimu asee iwe kabla au baada ya kunywa chai
 
Wote tunajua umuhimu wa kuoga na kila mtu ana ratiba yake ya kuoga ukiachana na wale wanaooga mara mbili kwa siku Kuna sisi ambao kuoga kwetu ni mara moja tu kwa siku, so ni kuchagua tu mwenyewe uoge Asubuhi au Usiku

Binafsi napenda kuoga Asubuhi mara nyingi, ni mara chache sana naweza kuoga usiku tena ikitokea siku nimeoga usiku basi kesho Asubuhi nitajisikia uvivu kuoga tena

KWANINI NAOGA ASUBUHI?

Naoga Asubuhi kwasababu naamini ndio muda sahihi wa kutoa uchafu wote ikiwemo na seli za ngozi zilizokufa and other bodily fluids

Pia nakua fresh zaidi kuianza siku mpya

KWANINI SIOGI USIKU

Mwili wa mwanadamu bado huwa unazalisha harufu mbaya usiku na hukusanya wadudu na seli za ngozi zilizokufa. hivyo kama Ukioga usiku itakulazimu kuoga tena Asubuhi kitu ambacho ni Anasa na upotevu wa Maji

Kwako kipi Bora na Sahihi? Kuoga Usiku au Asubuhi? Uzi unawahusu Wanaume tu, Wanawake Najua ni muhimu kuoga mara 2 Kila siku
View attachment 2264661
Ni vyema uoge asubuhi na jioni, biological wanasema kuoga mara kunaondoa askari wa mwili, inatakiwa mara moja kwa week duh ila hii ni noma
 
Wafanyakazi wa ndani waliopitia kwangu wengi wao harufu ya mwili ilikua haishi, hata aoge vipi, ajipake manukato vipi lakini harufu iko pale pale, haina tofauti na beberu la mbuzi. Na sio wao tu, watu weusi wengi wao huku nilipo wako hivyo. Sijui ni kwanini!!
Mkuu hata wakipaka deodorant bado ngoma ilikuwa inadunda..
 
Maji ya moto asubuhi ,nimenyoosha nguo na perfume yangu ya kupima.Najisikia freesh kama cucumber.'Simu moja tu tukutane benki'
[emoji3][emoji3]au sio.."simu moja tukutane benki"

Kuwa msafi na kunukia vizuri kuna kupa kujiamini.
 
Back
Top Bottom