Kipi kilichomvutia Rais Samia kumpa Biteko Unaibu Waziri Mkuu?

Kipi kilichomvutia Rais Samia kumpa Biteko Unaibu Waziri Mkuu?

Makonda kama kweli anakubarika kwao,kwanini alikimbilia kugombea ubunge Kigamboni?
Watu kama Makonda wamepitwa na wakati,tena ni bora ale pensheni yake taratibu kwani wapo watu waliumizwa sana na mtu huyo
Makonda hawezi pitwa na wkt km wew sukuma gang yoyote hawezi pitwa na wkt amini usiamini
 
Kihistoria watu wote waliowahi kupata Unaibu Waziri Mkuu cheo ambacho si cha kikatiba bali huja tu kwa utashi wa raisi aliyepo madalakani, ukiwaona na kuwatathimini unagundua kwamba walikuwa na kitu cha ziada, ambacho kinaleta kishindo kikubwa Kwa kiwango cha kutikisa baraza zima la mawaziri.

Kwa maneno mengine waliopata kuwa na utendaji uliotukuka Kwa kiwango cha kuwa tishio hata kwa serikali nzima.

Tukija kwa Doto sikatai kwamba ni waziri mzuri lakini ni waziri mzuri kama walivyo mawaziri wengine. Ingekuwa kama ilivyokuwa zamani jpm akiwa waziri akapewa huo unaibu waziri mkuu, angalau ingeleta maana.
Hata ingekuwa siku za makonda akiwa wa moto ingebuniwa nafasi kama ile isingeleta shida.

Sasa huyu ndugu kapewa licheo kapewa liwizara pasua kichwa namna hiyo najiuliza huyu mbaba wa watu si wanamuonea tu!?
Wenzake ndiyo hawafai bora hata yeye
 
Nakumegea Siri.
Huyu DB ana uhusiano Mkubwa sana na Msoga, uhusiano wa ndani sana. Umejikita kwenye mambo mengi, maeneo ya madini, ushawishi kanda ya Ziwa,
DB amekuwa na mawasiliano na vikao vingi sana na Msoga. Shortly ni handler wao kwenye mambo mengi. 2025 ndio Makamu wa Rais. Na mengine yatatokeo pale katikati ya 2025_26.

Lkn pia ukiachana na huo UKWELI, kuna conspiracy nyingine kuwa anapenyezwa na vijana wa PK wenye ushawishi ndani ya TZ. Hili linapata nguvu kutokana na asili yake na closer contact alizonazo hasa akiwa Jimboni na Mza.
Kwa sasa ndio mawaziri wenye ushawishi sana kwa kundi la Walimu ambao ndio watakao simamia uchaguzi 2025. Kuanzia March 2024 hawa walimu wataanza kupewa seminar nyingi nyingi za kuwaweka sawa.

Ukisikia Waziri wa TAMISEMI anasema hakuna kijiji kitaenda upinzani ni kuvuja tu kwa mkakati.
PK na Msoga?? Unajisoma na kujisikiliza lakini?
 
Hii wizara ingesimamiwa na Rais mwenyewe, na ingeshindanishwa na kampuni binafsi za nishati,pia serikali ingewekeza kwenye umeme wa mvuke, jua,upepo alternative energies
 
Kihistoria watu wote waliowahi kupata Unaibu Waziri Mkuu cheo ambacho si cha kikatiba bali huja tu kwa utashi wa raisi aliyepo madalakani, ukiwaona na kuwatathimini unagundua kwamba walikuwa na kitu cha ziada, ambacho kinaleta kishindo kikubwa Kwa kiwango cha kutikisa baraza zima la mawaziri.

Kwa maneno mengine waliopata kuwa na utendaji uliotukuka Kwa kiwango cha kuwa tishio hata kwa serikali nzima.

Tukija kwa Doto sikatai kwamba ni waziri mzuri lakini ni waziri mzuri kama walivyo mawaziri wengine. Ingekuwa kama ilivyokuwa zamani jpm akiwa waziri akapewa huo unaibu waziri mkuu, angalau ingeleta maana.
Hata ingekuwa siku za makonda akiwa wa moto ingebuniwa nafasi kama ile isingeleta shida.

Sasa huyu ndugu kapewa licheo kapewa liwizara pasua kichwa namna hiyo najiuliza huyu mbaba wa watu si wanamuonea tu!?
FB_IMG_1695347876036.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi JF hakuna great thinkers. Watu mnafanya analysis bila kutumia taarifa za performance yake ktk wizara aliyoiongoza. Amekuta mchango wa sekta ya madini kwenye GDP mfano Mwaka 2017/2018 ukiwa chini ya 4%. Leo sekta hiyo inachangia 9.7% na target ikiwa ni 10% ifikapo 2025. Yaani ndani ya muda mfupi kaleta mageuzi makubwa katika ishu ya wazawa kumiliki uchumi wa nchi. Ushahidi wa hilo upo Katika takwimu za mchango wa wachimbaji wadogo mfano. Katika kipindi hicho cha mwaka 2017/2018 wachimbaji wadogo walikuwa wanachangia 8% ya hiyo contribution ambayo ilikuwa chini ya 4%. Kwa takwimu za tume ya madini za 2021/2022 wachimbaji wadogo wanachangia zaidi ya 40% ya hiyo 9.7% inayochangiwa na sekta nzima yaani wakiwemo migodi Mikubwa.
Mauzo ya madini nje ya nchi yanaingiza fedha za kigeni kwa 52% sasa na wachimbaji wadogo aliowalea huyu mwamba wamechangia zaidi ya 40 % ya mauzo hayo.
Sekta hii inafungamana na zingine kwa sasa. Kwa sasa utaona mahoteli, vituo vya mafuta, ukuaji wa miji yanapochimbwa madini na hata kilimo na biashara zingine. Masoko yamezagaa Kila kona ya nchi. Akina papa msofe wamepotea siku hizi.
Ukiacha sifa hizi ni kwamba huyu jamaa ni mpole na mnyenyekevu. Hupenda kujiridhisha na kila taarifa. Hakurupuki. Sifa Kubwa kuliko zote huwa habagui wa kumpokelea simu. Just call and he'll instantly receive your calls.
Tumwombeeni kwa Mungu na tumpe ushirikiano. Tuombe Mungu nasisi tupewe uzima, muda sio mrefu mtaona mabadiliko.
Siku hizi JF hakuna great thinkers. Watu mnafanya analysis bila kutumia taarifa za performance yake ktk wizara aliyoiongoza. Amekuta mchango wa sekta ya madini kwenye GDP mfano Mwaka 2017/2018 ukiwa chini ya 4%. Leo sekta hiyo inachangia 9.7% na target ikiwa ni 10% ifikapo 2025. Yaani ndani ya muda mfupi kaleta mageuzi makubwa katika ishu ya wazawa kumiliki uchumi wa nchi. Ushahidi wa hilo upo Katika takwimu za mchango wa wachimbaji wadogo mfano. Katika kipindi hicho cha mwaka 2017/2018 wachimbaji wadogo walikuwa wanachangia 8% ya hiyo contribution ambayo ilikuwa chini ya 4%. Kwa takwimu za tume ya madini za 2021/2022 wachimbaji wadogo wanachangia zaidi ya 40% ya hiyo 9.7% inayochangiwa na sekta nzima yaani wakiwemo migodi Mikubwa.
Mauzo ya madini nje ya nchi yanaingiza fedha za kigeni kwa 52% sasa na wachimbaji wadogo aliowalea huyu mwamba wamechangia zaidi ya 40 % ya mauzo hayo.
Sekta hii inafungamana na zingine kwa sasa. Kwa sasa utaona mahoteli, vituo vya mafuta, ukuaji wa miji yanapochimbwa madini na hata kilimo na biashara zingine. Masoko yamezagaa Kila kona ya nchi. Akina papa msofe wamepotea siku hizi.
Ukiacha sifa hizi ni kwamba huyu jamaa ni mpole na mnyenyekevu. Hupenda kujiridhisha na kila taarifa. Hakurupuki. Sifa Kubwa kuliko zote huwa habagui wa kumpokelea simu. Just call and he'll instantly receive your calls.
Tumwombeeni kwa Mungu na tumpe ushirikiano. Tuombe Mungu nasisi tupewe uzima, muda sio mrefu mtaona mabadiliko.
Ni kweli mkuu kwenye madini Kuna mageuzi makubwa lakini mbona mchango wa waziri binafsi ni mdogo sana kwenye hilo jambo? Maana sote tunajua nini kilitokea awamu ya tano ili yatokee hayo uliyosema kulikuwa na nguvu kubwa sana ya maelekezo na namna ya kufanya toka Kwa raisi mwenyewe hivyo yeye kama yeye napata tabu kumpa credit Kwa hilo.
 
Una jicho kali sana. Tangu day 1 baada ya uteuzi ule, nilisema hivyo.. ukizingatia kuwa Chadema walikuwa wameweka kambi kule Kanda ya ziwa na walikuwa wanaubadilisha upepo wa kisiasa.

Kikubwa ni kuwin influence ya watu wa Kanda ya Ziwa ambao kwao Jiwe alikuwa ni zaidi ya CCM na walikuwa wanahisi kama wametengwa na utawala wa mama.

Narudia tena mbussi una jicho kali sana.
siyo kila anayetoka Kanda ya Ziwa anakuwa na Influence kule. A total miscalculation
 
Kihistoria watu wote waliowahi kupata Unaibu Waziri Mkuu cheo ambacho si cha kikatiba bali huja tu kwa utashi wa raisi aliyepo madalakani, ukiwaona na kuwatathimini unagundua kwamba walikuwa na kitu cha ziada, ambacho kinaleta kishindo kikubwa Kwa kiwango cha kutikisa baraza zima la mawaziri.

Kwa maneno mengine waliopata kuwa na utendaji uliotukuka Kwa kiwango cha kuwa tishio hata kwa serikali nzima.

Tukija kwa Doto sikatai kwamba ni waziri mzuri lakini ni waziri mzuri kama walivyo mawaziri wengine. Ingekuwa kama ilivyokuwa zamani jpm akiwa waziri akapewa huo unaibu waziri mkuu, angalau ingeleta maana.
Hata ingekuwa siku za makonda akiwa wa moto ingebuniwa nafasi kama ile isingeleta shida.

Sasa huyu ndugu kapewa licheo kapewa liwizara pasua kichwa namna hiyo najiuliza huyu mbaba wa watu si wanamuonea tu!?
Wasukuma hawana jina la Biteko, Biteko sio msukuma na hawakirishi wasukuma walioko kanda ya ziwa lakini hata waliosambaa maeneo tofauti nchini. Mheshimiwa anampenda kwa sababu chochote akiambiwa kufanya anafanya hata kama ni kibovu ndio maana alisikika akisema "..ujio wangu wizara ya nishati sio kuja kufukuza au kubadilisha mipango iliyopo ila ni kusimamia ufanisi...."

Utasimamiaje ufanisi wa kazi kama watumishi ni wabovu na mipango iliyopo haitekeleza kwa matokeo chanya kadri ya matazamio ya watumiaji umeme?

Je, kuna tofauti gani kati ya MGAO wa UMEME na RATIBA ya kupata UMEME?

Alimkwepa Kalemani kwa sababu yule hayumbishwi na hakubali kupelekeshwa kwa manufaa ya viongozi wa juu. Kalemani alisimamia bei ya umeme ibaki TZ 27,000 na kasi ilikuwa inaenda vizuri na sababu ya bei ya chini ni kwamba kukiwa na wateja wengi wanaoilipa kipato cha TANESCO kilnakuwa kinatabirika lakini bei ya juu utakuwa na wateja wachache, matumizi makubwa huku wengine wakijiiunganishia kwa njia zisizo za uhalali hivyo kusababisha serikali kupata hasara ya mapato stahiki lakini hawalioni wanakazia ndoto za ALINACHA.

Mkumbuke, Biteko ni swahiba mkubwa wa spika aliyetimuliwa isivyo halali J Ndugai ndio maana alimteua kuongoza kamati ya uchunguzi kubaini ni namna gani serikali ilikuwa ikipoteza kipato kwenye sekta ya madini na ripoti yake ndio iliyopelekea JPM akamteua kuwa waziri wa madini.
 
Ni kweli mkuu kwenye madini Kuna mageuzi makubwa lakini mbona mchango wa waziri binafsi ni mdogo sana kwenye hilo jambo? Maana sote tunajua nini kilitokea awamu ya tano ili yatokee hayo uliyosema kulikuwa na nguvu kubwa sana ya maelekezo na namna ya kufanya toka Kwa raisi mwenyewe hivyo yeye kama yeye napata tabu kumpa credit Kwa hilo.
Unazikumbuka kamati za zungu na biteko. Ambazo baadae zilizaa marekebisho madogo ya 2017 ya sheria ya madini ya 2010?
 
Unazikumbuka kamati za zungu na biteko. Ambazo baadae zilizaa marekebisho madogo ya 2017 ya sheria ya madini ya 2010?
Sawa kwenye zile kamati biteko alikuwa Nani na kwenye zile kamati hata terms of reference walipewa na rais
 
Kihistoria watu wote waliowahi kupata Unaibu Waziri Mkuu cheo ambacho si cha kikatiba bali huja tu kwa utashi wa raisi aliyepo madalakani, ukiwaona na kuwatathimini unagundua kwamba walikuwa na kitu cha ziada, ambacho kinaleta kishindo kikubwa Kwa kiwango cha kutikisa baraza zima la mawaziri.

Kwa maneno mengine waliopata kuwa na utendaji uliotukuka Kwa kiwango cha kuwa tishio hata kwa serikali nzima.

Tukija kwa Doto sikatai kwamba ni waziri mzuri lakini ni waziri mzuri kama walivyo mawaziri wengine. Ingekuwa kama ilivyokuwa zamani jpm akiwa waziri akapewa huo unaibu waziri mkuu, angalau ingeleta maana.
Hata ingekuwa siku za makonda akiwa wa moto ingebuniwa nafasi kama ile isingeleta shida.

Sasa huyu ndugu kapewa licheo kapewa liwizara pasua kichwa namna hiyo najiuliza huyu mbaba wa watu si wanamuonea tu!?
Huyu amewekwa ili kutughilb sisi wa kanda ya ziwa lakini tunasema hivi:- HATUDANGANYIKI.
 
Anatokea kwenye big voting block, ni usukuma/unyamwezi wake tu, Chadema na Lisu,walivuruga kabisa kanda ya ziwa, kwa kuelezea madudu ya samia na ccm, tiketi pekee anayotegemea samia kuitumia kwenye uchaguzi ni uhusiano wake na Maghufuri(msukuma), inabidi aonyeshe bado analinda regacy ya maghu, sasa kwa vile kanda ya, ziwa pamechafuliwa, ikabidi atafutwe msukuma/nyamwezi ambae wasukuma wataona samia hajawatupa, ni hicho tu,
HATUDANGANYIKI
 
Kihistoria watu wote waliowahi kupata Unaibu Waziri Mkuu cheo ambacho si cha kikatiba bali huja tu kwa utashi wa raisi aliyepo madalakani, ukiwaona na kuwatathimini unagundua kwamba walikuwa na kitu cha ziada, ambacho kinaleta kishindo kikubwa Kwa kiwango cha kutikisa baraza zima la mawaziri.

Kwa maneno mengine waliopata kuwa na utendaji uliotukuka Kwa kiwango cha kuwa tishio hata kwa serikali nzima.

Tukija kwa Doto sikatai kwamba ni waziri mzuri lakini ni waziri mzuri kama walivyo mawaziri wengine. Ingekuwa kama ilivyokuwa zamani jpm akiwa waziri akapewa huo unaibu waziri mkuu, angalau ingeleta maana.
Hata ingekuwa siku za makonda akiwa wa moto ingebuniwa nafasi kama ile isingeleta shida.

Sasa huyu ndugu kapewa licheo kapewa liwizara pasua kichwa namna hiyo najiuliza huyu mbaba wa watu si wanamuonea tu!?
Ili aonekane anawapenda watu wa Kanda ya Ziwa kwa maandalizi ya uchaguzi 2024 na 2025. Hakuna la maana zaidi ya hilo, hata hivyo ameishia kuwa wa kutumwa kazi na PM.
 
Ili aonekane anawapenda watu wa Kanda ya Ziwa kwa maandalizi ya uchaguzi 2024 na 2025. Hakuna la maana zaidi ya hilo, hata hivyo ameishia kuwa wa kutumwa kazi na PM.
Kama ishu ni Kanda ya ziwa si kampiga chini mabula alafu ni kweli kwamba doto ana ushawishi huo Kanda ya ziwa?
 
Back
Top Bottom