Makonda hawezi pitwa na wkt km wew sukuma gang yoyote hawezi pitwa na wkt amini usiaminiMakonda kama kweli anakubarika kwao,kwanini alikimbilia kugombea ubunge Kigamboni?
Watu kama Makonda wamepitwa na wakati,tena ni bora ale pensheni yake taratibu kwani wapo watu waliumizwa sana na mtu huyo