Makonda hawezi pitwa na wkt km wew sukuma gang yoyote hawezi pitwa na wkt amini usiaminiMakonda kama kweli anakubarika kwao,kwanini alikimbilia kugombea ubunge Kigamboni?
Watu kama Makonda wamepitwa na wakati,tena ni bora ale pensheni yake taratibu kwani wapo watu waliumizwa sana na mtu huyo
Wenzake ndiyo hawafai bora hata yeyeKihistoria watu wote waliowahi kupata Unaibu Waziri Mkuu cheo ambacho si cha kikatiba bali huja tu kwa utashi wa raisi aliyepo madalakani, ukiwaona na kuwatathimini unagundua kwamba walikuwa na kitu cha ziada, ambacho kinaleta kishindo kikubwa Kwa kiwango cha kutikisa baraza zima la mawaziri.
Kwa maneno mengine waliopata kuwa na utendaji uliotukuka Kwa kiwango cha kuwa tishio hata kwa serikali nzima.
Tukija kwa Doto sikatai kwamba ni waziri mzuri lakini ni waziri mzuri kama walivyo mawaziri wengine. Ingekuwa kama ilivyokuwa zamani jpm akiwa waziri akapewa huo unaibu waziri mkuu, angalau ingeleta maana.
Hata ingekuwa siku za makonda akiwa wa moto ingebuniwa nafasi kama ile isingeleta shida.
Sasa huyu ndugu kapewa licheo kapewa liwizara pasua kichwa namna hiyo najiuliza huyu mbaba wa watu si wanamuonea tu!?
PK na Msoga?? Unajisoma na kujisikiliza lakini?Nakumegea Siri.
Huyu DB ana uhusiano Mkubwa sana na Msoga, uhusiano wa ndani sana. Umejikita kwenye mambo mengi, maeneo ya madini, ushawishi kanda ya Ziwa,
DB amekuwa na mawasiliano na vikao vingi sana na Msoga. Shortly ni handler wao kwenye mambo mengi. 2025 ndio Makamu wa Rais. Na mengine yatatokeo pale katikati ya 2025_26.
Lkn pia ukiachana na huo UKWELI, kuna conspiracy nyingine kuwa anapenyezwa na vijana wa PK wenye ushawishi ndani ya TZ. Hili linapata nguvu kutokana na asili yake na closer contact alizonazo hasa akiwa Jimboni na Mza.
Kwa sasa ndio mawaziri wenye ushawishi sana kwa kundi la Walimu ambao ndio watakao simamia uchaguzi 2025. Kuanzia March 2024 hawa walimu wataanza kupewa seminar nyingi nyingi za kuwaweka sawa.
Ukisikia Waziri wa TAMISEMI anasema hakuna kijiji kitaenda upinzani ni kuvuja tu kwa mkakati.
Kihistoria watu wote waliowahi kupata Unaibu Waziri Mkuu cheo ambacho si cha kikatiba bali huja tu kwa utashi wa raisi aliyepo madalakani, ukiwaona na kuwatathimini unagundua kwamba walikuwa na kitu cha ziada, ambacho kinaleta kishindo kikubwa Kwa kiwango cha kutikisa baraza zima la mawaziri.
Kwa maneno mengine waliopata kuwa na utendaji uliotukuka Kwa kiwango cha kuwa tishio hata kwa serikali nzima.
Tukija kwa Doto sikatai kwamba ni waziri mzuri lakini ni waziri mzuri kama walivyo mawaziri wengine. Ingekuwa kama ilivyokuwa zamani jpm akiwa waziri akapewa huo unaibu waziri mkuu, angalau ingeleta maana.
Hata ingekuwa siku za makonda akiwa wa moto ingebuniwa nafasi kama ile isingeleta shida.
Sasa huyu ndugu kapewa licheo kapewa liwizara pasua kichwa namna hiyo najiuliza huyu mbaba wa watu si wanamuonea tu!?
Siku hizi JF hakuna great thinkers. Watu mnafanya analysis bila kutumia taarifa za performance yake ktk wizara aliyoiongoza. Amekuta mchango wa sekta ya madini kwenye GDP mfano Mwaka 2017/2018 ukiwa chini ya 4%. Leo sekta hiyo inachangia 9.7% na target ikiwa ni 10% ifikapo 2025. Yaani ndani ya muda mfupi kaleta mageuzi makubwa katika ishu ya wazawa kumiliki uchumi wa nchi. Ushahidi wa hilo upo Katika takwimu za mchango wa wachimbaji wadogo mfano. Katika kipindi hicho cha mwaka 2017/2018 wachimbaji wadogo walikuwa wanachangia 8% ya hiyo contribution ambayo ilikuwa chini ya 4%. Kwa takwimu za tume ya madini za 2021/2022 wachimbaji wadogo wanachangia zaidi ya 40% ya hiyo 9.7% inayochangiwa na sekta nzima yaani wakiwemo migodi Mikubwa.
Mauzo ya madini nje ya nchi yanaingiza fedha za kigeni kwa 52% sasa na wachimbaji wadogo aliowalea huyu mwamba wamechangia zaidi ya 40 % ya mauzo hayo.
Sekta hii inafungamana na zingine kwa sasa. Kwa sasa utaona mahoteli, vituo vya mafuta, ukuaji wa miji yanapochimbwa madini na hata kilimo na biashara zingine. Masoko yamezagaa Kila kona ya nchi. Akina papa msofe wamepotea siku hizi.
Ukiacha sifa hizi ni kwamba huyu jamaa ni mpole na mnyenyekevu. Hupenda kujiridhisha na kila taarifa. Hakurupuki. Sifa Kubwa kuliko zote huwa habagui wa kumpokelea simu. Just call and he'll instantly receive your calls.
Tumwombeeni kwa Mungu na tumpe ushirikiano. Tuombe Mungu nasisi tupewe uzima, muda sio mrefu mtaona mabadiliko.
Ni kweli mkuu kwenye madini Kuna mageuzi makubwa lakini mbona mchango wa waziri binafsi ni mdogo sana kwenye hilo jambo? Maana sote tunajua nini kilitokea awamu ya tano ili yatokee hayo uliyosema kulikuwa na nguvu kubwa sana ya maelekezo na namna ya kufanya toka Kwa raisi mwenyewe hivyo yeye kama yeye napata tabu kumpa credit Kwa hilo.Siku hizi JF hakuna great thinkers. Watu mnafanya analysis bila kutumia taarifa za performance yake ktk wizara aliyoiongoza. Amekuta mchango wa sekta ya madini kwenye GDP mfano Mwaka 2017/2018 ukiwa chini ya 4%. Leo sekta hiyo inachangia 9.7% na target ikiwa ni 10% ifikapo 2025. Yaani ndani ya muda mfupi kaleta mageuzi makubwa katika ishu ya wazawa kumiliki uchumi wa nchi. Ushahidi wa hilo upo Katika takwimu za mchango wa wachimbaji wadogo mfano. Katika kipindi hicho cha mwaka 2017/2018 wachimbaji wadogo walikuwa wanachangia 8% ya hiyo contribution ambayo ilikuwa chini ya 4%. Kwa takwimu za tume ya madini za 2021/2022 wachimbaji wadogo wanachangia zaidi ya 40% ya hiyo 9.7% inayochangiwa na sekta nzima yaani wakiwemo migodi Mikubwa.
Mauzo ya madini nje ya nchi yanaingiza fedha za kigeni kwa 52% sasa na wachimbaji wadogo aliowalea huyu mwamba wamechangia zaidi ya 40 % ya mauzo hayo.
Sekta hii inafungamana na zingine kwa sasa. Kwa sasa utaona mahoteli, vituo vya mafuta, ukuaji wa miji yanapochimbwa madini na hata kilimo na biashara zingine. Masoko yamezagaa Kila kona ya nchi. Akina papa msofe wamepotea siku hizi.
Ukiacha sifa hizi ni kwamba huyu jamaa ni mpole na mnyenyekevu. Hupenda kujiridhisha na kila taarifa. Hakurupuki. Sifa Kubwa kuliko zote huwa habagui wa kumpokelea simu. Just call and he'll instantly receive your calls.
Tumwombeeni kwa Mungu na tumpe ushirikiano. Tuombe Mungu nasisi tupewe uzima, muda sio mrefu mtaona mabadiliko.
Muache huyo hajitambuiBiteko sio msukuma mwezenu Ina maana Hata picha huoni?
🖕Kwa hiyo hapo unaona umefikir sanaaa
Chakubanga wewe
sahihi kabisa. Samia kaamua kujisahihishaWasukuma wana akili sana, Rais Samia ameliona hilo.
siyo kila anayetoka Kanda ya Ziwa anakuwa na Influence kule. A total miscalculationUna jicho kali sana. Tangu day 1 baada ya uteuzi ule, nilisema hivyo.. ukizingatia kuwa Chadema walikuwa wameweka kambi kule Kanda ya ziwa na walikuwa wanaubadilisha upepo wa kisiasa.
Kikubwa ni kuwin influence ya watu wa Kanda ya Ziwa ambao kwao Jiwe alikuwa ni zaidi ya CCM na walikuwa wanahisi kama wametengwa na utawala wa mama.
Narudia tena mbussi una jicho kali sana.
Wasukuma hawana jina la Biteko, Biteko sio msukuma na hawakirishi wasukuma walioko kanda ya ziwa lakini hata waliosambaa maeneo tofauti nchini. Mheshimiwa anampenda kwa sababu chochote akiambiwa kufanya anafanya hata kama ni kibovu ndio maana alisikika akisema "..ujio wangu wizara ya nishati sio kuja kufukuza au kubadilisha mipango iliyopo ila ni kusimamia ufanisi...."Kihistoria watu wote waliowahi kupata Unaibu Waziri Mkuu cheo ambacho si cha kikatiba bali huja tu kwa utashi wa raisi aliyepo madalakani, ukiwaona na kuwatathimini unagundua kwamba walikuwa na kitu cha ziada, ambacho kinaleta kishindo kikubwa Kwa kiwango cha kutikisa baraza zima la mawaziri.
Kwa maneno mengine waliopata kuwa na utendaji uliotukuka Kwa kiwango cha kuwa tishio hata kwa serikali nzima.
Tukija kwa Doto sikatai kwamba ni waziri mzuri lakini ni waziri mzuri kama walivyo mawaziri wengine. Ingekuwa kama ilivyokuwa zamani jpm akiwa waziri akapewa huo unaibu waziri mkuu, angalau ingeleta maana.
Hata ingekuwa siku za makonda akiwa wa moto ingebuniwa nafasi kama ile isingeleta shida.
Sasa huyu ndugu kapewa licheo kapewa liwizara pasua kichwa namna hiyo najiuliza huyu mbaba wa watu si wanamuonea tu!?
Unazikumbuka kamati za zungu na biteko. Ambazo baadae zilizaa marekebisho madogo ya 2017 ya sheria ya madini ya 2010?Ni kweli mkuu kwenye madini Kuna mageuzi makubwa lakini mbona mchango wa waziri binafsi ni mdogo sana kwenye hilo jambo? Maana sote tunajua nini kilitokea awamu ya tano ili yatokee hayo uliyosema kulikuwa na nguvu kubwa sana ya maelekezo na namna ya kufanya toka Kwa raisi mwenyewe hivyo yeye kama yeye napata tabu kumpa credit Kwa hilo.
Sawa kwenye zile kamati biteko alikuwa Nani na kwenye zile kamati hata terms of reference walipewa na raisUnazikumbuka kamati za zungu na biteko. Ambazo baadae zilizaa marekebisho madogo ya 2017 ya sheria ya madini ya 2010?
Huyu amewekwa ili kutughilb sisi wa kanda ya ziwa lakini tunasema hivi:- HATUDANGANYIKI.Kihistoria watu wote waliowahi kupata Unaibu Waziri Mkuu cheo ambacho si cha kikatiba bali huja tu kwa utashi wa raisi aliyepo madalakani, ukiwaona na kuwatathimini unagundua kwamba walikuwa na kitu cha ziada, ambacho kinaleta kishindo kikubwa Kwa kiwango cha kutikisa baraza zima la mawaziri.
Kwa maneno mengine waliopata kuwa na utendaji uliotukuka Kwa kiwango cha kuwa tishio hata kwa serikali nzima.
Tukija kwa Doto sikatai kwamba ni waziri mzuri lakini ni waziri mzuri kama walivyo mawaziri wengine. Ingekuwa kama ilivyokuwa zamani jpm akiwa waziri akapewa huo unaibu waziri mkuu, angalau ingeleta maana.
Hata ingekuwa siku za makonda akiwa wa moto ingebuniwa nafasi kama ile isingeleta shida.
Sasa huyu ndugu kapewa licheo kapewa liwizara pasua kichwa namna hiyo najiuliza huyu mbaba wa watu si wanamuonea tu!?
Biteko siyo Msukuma mwenzetu.Wasukuma wana akili sana, Rais Samia ameliona hilo.
HATUDANGANYIKIAnatokea kwenye big voting block, ni usukuma/unyamwezi wake tu, Chadema na Lisu,walivuruga kabisa kanda ya ziwa, kwa kuelezea madudu ya samia na ccm, tiketi pekee anayotegemea samia kuitumia kwenye uchaguzi ni uhusiano wake na Maghufuri(msukuma), inabidi aonyeshe bado analinda regacy ya maghu, sasa kwa vile kanda ya, ziwa pamechafuliwa, ikabidi atafutwe msukuma/nyamwezi ambae wasukuma wataona samia hajawatupa, ni hicho tu,
Ili aonekane anawapenda watu wa Kanda ya Ziwa kwa maandalizi ya uchaguzi 2024 na 2025. Hakuna la maana zaidi ya hilo, hata hivyo ameishia kuwa wa kutumwa kazi na PM.Kihistoria watu wote waliowahi kupata Unaibu Waziri Mkuu cheo ambacho si cha kikatiba bali huja tu kwa utashi wa raisi aliyepo madalakani, ukiwaona na kuwatathimini unagundua kwamba walikuwa na kitu cha ziada, ambacho kinaleta kishindo kikubwa Kwa kiwango cha kutikisa baraza zima la mawaziri.
Kwa maneno mengine waliopata kuwa na utendaji uliotukuka Kwa kiwango cha kuwa tishio hata kwa serikali nzima.
Tukija kwa Doto sikatai kwamba ni waziri mzuri lakini ni waziri mzuri kama walivyo mawaziri wengine. Ingekuwa kama ilivyokuwa zamani jpm akiwa waziri akapewa huo unaibu waziri mkuu, angalau ingeleta maana.
Hata ingekuwa siku za makonda akiwa wa moto ingebuniwa nafasi kama ile isingeleta shida.
Sasa huyu ndugu kapewa licheo kapewa liwizara pasua kichwa namna hiyo najiuliza huyu mbaba wa watu si wanamuonea tu!?
Kama ishu ni Kanda ya ziwa si kampiga chini mabula alafu ni kweli kwamba doto ana ushawishi huo Kanda ya ziwa?Ili aonekane anawapenda watu wa Kanda ya Ziwa kwa maandalizi ya uchaguzi 2024 na 2025. Hakuna la maana zaidi ya hilo, hata hivyo ameishia kuwa wa kutumwa kazi na PM.