Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Hata ATC bado inasubiria vurugu ziishe south itaenda tu,tuvumilie tu utakamilika mradi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PumbavuHuna utaalam na masuala ya ujenzi unaleta habari ya kufikirika
Ukipita maeneo ya zakhem kuna kazi ya kumwaga barabara ya zege
Tatizo kubwa ni mvua tu,ina ikisimama itabidi wafanye kazi saa24 kuendana na muda
Mmejawa mihemkoNi muda sasa tokea Mkandarasi alipomaliza kuondoa udongo wa zamani na kuweka udongo mpya na kushindilia barabara hiyo lakini tokea waliposimama ni muda sasa.
Awali kulisikika kelele au maneno kwamba wamesimama kwa sababu ya mvua lakini wachunguzi wa mambo tumegundua sio mvua kwa maana tokea walipoanza ni muda mrefu na kuna kipindi mvua zilikata na mpaka hivi sasa mvua zimepungua sana na wakati mwingine hakuna.
Pia cha kujiuliza mbona miradi mingine ya barabara za sehemu zingine zinaendelea? Mbona Mradi wa treni nao unaendelea? Je huko hakuna mvua?
Material. Kwakweli nikipita pale Zakhem naona material yote yapo nondo zipo kokoto zipo cement zipo.Swali langu ni kipi kinachelewesha mradi kukamilika? Ni nani anachelewesha? Sasa cha kushangaza baadhi ya sehemu zingine zimenaanza au zimeshaharibika kutokana na magari bodaboda kupita maji kujaa.
Ushauri wangu kwa Mkandarasi siku nyingine ukipata mradi jitaidi kujenga kipande kutokana na mpunga uliotolewa na serikali Mfano kulikuwa kuna haja gani ya kushindilia baadhi ya sehemu kutoka Mbagala mpaka Kariakoo.
Kwanini usinge anza na kipande mfano kutoka Mbagala mpaka pale Msikitini ili kwa kipindi hicho mnachosubiria mpunga utoke watu waanze kutumia kipande hicho kupunguza foleni.
Kuna daladala kwan
Kwa style hii ndio maana TCRA wameweka utaratibu wa laini moja kila mtandao naona ume doubleHata ATC bado inasubiria vurugu ziishe south itaenda tu,tuvumilie tu utakamilika mradi
Ume doubleHata ATC bado inasubiria vurugu ziishe south itaenda tu,tuvumilie tu utakamilika mradi
Ume doubleHata ATC bado inasubiria vurugu ziishe south itaenda tu,tuvumilie tu utakamilika mradi
Mbona hipo toka tulipopata rami, mtu anafika umbali wa km 80 kwa dk 45 na hiyo ni public transport, lkn wa Dar km 40 anafika baada ya masaa 3 hadi 4Mwendokasi wa nn mbagala...bora waulete kanda ya ziwa
SijakusomaMbona hipo toka tulipopata rami, mtu anafika umbali wa km 80 kwa dk 45 na hiyo ni public transport, lkn wa Dar km 40 anafika baada ya masaa 3 hadi 4
Wanasubiri Go Ahead toka kwa ZittoBank ya dunia wanasemaje
Mkuu upo sawa kweli??Watato wa kike waende shule
In God we Trust
Mkuu upo sawa kweli??
Mbona watoto wa kike wanakwenda shule??
Sijakusoma
tayari umeshabadili kauli.Nipo sawa, mlipo kuwa mnajiapiza kuwa mtoto wa kike akipata mimba hatoruhusiwa kurudi shule mlimaanisha nini?
In God we Trust