Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Huyo hata ukimuelewesha hawezi kukuelewa maana yupo koromitdje hajui habari za usafiri wa dar
In God we Trust
Mbona hipo toka tulipopata rami, mtu anafika umbali wa km 80 kwa dk 45 na hiyo ni public transport, lkn wa Dar km 40 anafika baada ya masaa 3 hadi 4
In God we Trust