Kipi kimeukumba mradi wa barabara ya mabasi ya mwendokasi Mbagala?

Hata ATC bado inasubiria vurugu ziishe south itaenda tu,tuvumilie tu utakamilika mradi
 
Hata ATC bado inasubiria vurugu ziishe south itaenda tu,tuvumilie tu utakamilika mradi
 
Hata ATC bado inasubiria vurugu ziishe south itaenda tu,tuvumilie tu utakamilika mradi
 
Hata ATC bado inasubiria vurugu ziishe south itaenda tu,tuvumilie tu utakamilika mradi
 
Ni kweli ujenzi umesimama ila nahisi ni masuala ya mikataba.Matokeo yake hata sehemu ambazo walikuwa wamejenga zimeanza kubomoka.Hizi infrastructures siyo za "Fulani" kama wengi wanavyowaza, ni zetu mimi na wewe.
 
Mmejawa mihemko
Mara yamwisho umepita lini!!
Kazi inaendelea kama kawaida
 
Hata ATC bado inasubiria vurugu ziishe south itaenda tu,tuvumilie tu utakamilika mradi
Kwa style hii ndio maana TCRA wameweka utaratibu wa laini moja kila mtandao naona ume double
 
Mwendokasi wa nn mbagala...bora waulete kanda ya ziwa
Mbona hipo toka tulipopata rami, mtu anafika umbali wa km 80 kwa dk 45 na hiyo ni public transport, lkn wa Dar km 40 anafika baada ya masaa 3 hadi 4
 
Nipo sawa, mlipo kuwa mnajiapiza kuwa mtoto wa kike akipata mimba hatoruhusiwa kurudi shule mlimaanisha nini?
Mkuu upo sawa kweli??

Mbona watoto wa kike wanakwenda shule??

In God we Trust
 
Nipo sawa, mlipo kuwa mnajiapiza kuwa mtoto wa kike akipata mimba hatoruhusiwa kurudi shule mlimaanisha nini?

In God we Trust
tayari umeshabadili kauli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…