Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Bila siti ya dirishani sipandi gari yako.Ndugu zangu, kwanini wasafiri wengi hupendelea zaidi kukaa dirishani iwe kwenye basi ndege hata meli wakati wa safari?
Kuna watu wakikosa siti dirishani wapo tayari kuairisha safari.
View attachment 2623130
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA
mimi huyo kabisa in action
Zaman abiria wengi walikuwa wana shida ya kutapika sasa ikawa ni deal mnoo ili ikifika wakat wa kutapika iwe simple. Una fungua tu kioo una tapikaNdugu zangu, kwanini wasafiri wengi hupendelea zaidi kukaa dirishani iwe kwenye basi ndege hata meli wakati wa safari?
Kuna watu wakikosa siti dirishani wapo tayari kuairisha safari.
View attachment 2623130
Just In case [emoji3578]Secretly hako ni kamlango ka emergency
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA
natumai mtoa mada kapata jibu la swaliMwanao huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]