Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Hiyo ya mwisho hiyoUshamba..
hawaijui mikoa/maeneo ya njiani..
wanapenda kulakula hovyo..
Wanaumwa UTI au FISTULA..
kutapika kwenye gari..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ya mwisho hiyoUshamba..
hawaijui mikoa/maeneo ya njiani..
wanapenda kulakula hovyo..
Wanaumwa UTI au FISTULA..
kutapika kwenye gari..
Mwanaume unatema tema nini mate?, Kwani una mimba?Bila siti ya dirishani sipandi gari yako.
-Uhuru wa kufungua na kufunga dirisha, -kuangalia mandhari ya nje live bila chenga,
-Kula upepo
-Kutema mate au kutupa kitu chochote
- kununua vitu. N.k
Swali juu ya swali?We unafikiri kwa nini?
Pole, kuna vingi sana vinakupitaKwenye Usafiri wowote sijawahi kupenda Siti ya Dirishani...
Siyo gari,Boat au Ndege...
Kukaa Dirishani nitizame nje huwa naogopa..
Mkuu vp unahii allergyHiyo ya mwisho hiyo
Hao wazee wa kubwia ugoro,mate mda woteMwanaume unatema tema nini mate?, Kwani una mimba?
Awapi, huwa nashangazwa na wanaotapika eti kisa harufu ya petroliMkuu vp unahii allergy
Wanajf kwa uongo dah eti ndege ***** ndegejoniKwenye Usafiri wowote sijawahi kupenda Siti ya Dirishani...
Siyo gari,Boat au Ndege...
Kukaa Dirishani nitizame nje huwa naogopa..
Kwani nimetaja jinsia ya kutema mate?? Halafu unataka kusema we hujawahi kutema mate??Mwanaume unatema tema nini mate?, Kwani una mimba?
Naona kwa ukali sana! sema ngoja nikuambie au basi, tunaelewa sisi wenyewe tunaotumia cha bibi, yani full u cobra yani shwaaaaaaMwanaume unatema tema nini mate?, Kwani una mimba?
Ili waone miti ikirudi nyumaNdugu zangu, kwanini wasafiri wengi hupendelea zaidi kukaa dirishani iwe kwenye basi ndege hata meli wakati wa safari?
Kuna watu wakikosa siti dirishani wapo tayari kuairisha safari.
View attachment 2623130