t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
It works best both ways too, mkipata side impact au roll over watu wa dirishani ndio wanakuwa wa kwanza kupotea .Secretly hako ni kamlango ka emergency
Rejea ajali ya abood miaka ya 90 pale bwawani , iligongana na lori liliobeba kijiko, wengi waliokufa walikuwa wamekaa dirishani