It works best both ways too, mkipata side impact au roll over watu wa dirishani ndio wanakuwa wa kwanza kupotea .Secretly hako ni kamlango ka emergency
Ha ha ha! UmeelewekaNaona kwa ukali sana! sema ngoja nikuambie au basi, tunaelewa sisi wenyewe tunaotumia cha bibi, yani full u cobra yani shwaaaaaa
Mimi ni mmoja wapo,kabla sijakata tiketi nasisitiza siti ya pembeni naniione ndo nitoe nauliNdugu zangu, kwanini wasafiri wengi hupendelea zaidi kukaa dirishani iwe kwenye basi ndege hata meli wakati wa safari?
Kuna watu wakikosa siti dirishani wapo tayari kuairisha safari.
View attachment 2623130
Ndiyo Ndegejoni...Wanajf kwa uongo dah eti ndege ***** ndegejoni
Ahsante...Ni sawa tu..Pole, kuna vingi sana vinakupita
Halafu hajali wala nini๐
Binafsi nikisafiri sipendi kukaa na watu, nakaa VIP na kama ikitokea nakaa na watu nakaa dirishani ili nipumue vizuri (fresh air) kwani sipendi harufu ya mdomo ya watu na kikwapa ambayo hapa Tanzania ni fashion kunuka sehemu za siri, makwapa na mdomo.Ndugu zangu, kwanini wasafiri wengi hupendelea zaidi kukaa dirishani iwe kwenye basi ndege hata meli wakati wa safari?
Kuna watu wakikosa siti dirishani wapo tayari kuairisha safari.
View attachment 2623130
wewe ni mchafu sana..Kutema mate au kutupa kitu chochote
Tupo tanzania apaSwali juu ya swali?
Umewadharau members kwamba huwa hawakwei mapipa?๐๐๐Wanajf kwa uongo dah eti ndege ***** ndegejoni