Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hakakujihusisha na madawa ya kulevya kweli hapa juzikati aliisha kale ka mwili uwiiii!!
Km ananyonywaa akubaliii tyuuh?? Acheni nongwaa waja khaaaaah.Ruby anaponzwa na dharau,majivuno,kiburi,kujiamini kulikopitiliza,sifa na kujitenga..
Hakuna management itaweka hela kwa ruby,kana kiburi sana.
Yani ruby na baraka da prince hawatakuja sainiwa kwenye lebo yoyote ile hapa africa...
Phina huyu anayetaka kujionesha ni Vanessa wa pili? Atafeli pakubwaa, apite njia yake ntakua upande wake.Phina atafika mbali sana sababu hana nyodo kama huyu bibie Ruby na naona ana management nzuri pia
Labda role model wake. Lakini Phina anajuaPhina huyu anayetaka kujionesha ni Vanessa wa pili? Atafeli pakubwaa, apite njia yake ntakua upande wake.
Shouzzz nawee mpana hiviiii?? KhaaaahHivi hakakujihusisha na madawa ya kulevya kweli hapa juzikati aliisha kale ka mwili uwiiii!!
Ndo aige had swaggerz? Insta walimuambia ukweli haelewi, na anasema wazi kelele yee haelewiLabda role model wake. Lakini Phina anajua
😀😀😀Kipaji anacho Phina sema labda wewe huumkubali tuNdo aige had swaggerz? Insta walimuambia ukweli haelewi, na anasema wazi kelele yee haelewi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bella ft Phina–NatamaniNdo aige had swaggerz? Insta walimuambia ukweli haelewi, na anasema wazi kelele yee haelewi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Phina huyu anayetaka kujionesha ni Vanessa wa pili? Atafeli pakubwaa, apite njia yake ntakua upande wake.
yaani rubi kiburi na jeuri, anashindwa hadi kuishi na wasanii, hamna management itamtaka saiziKm ananyonywaa akubaliii tyuuh?? Acheni nongwaa waja khaaaaah.
Wimbo ni mzur sn, ruby ana sauti nzuri sn.Kuna wimbo wametoa juzi juzi hapa na Otile Brown unaitwa One Call Away, mkali sana aiseee. Namkubali sana huyu binti ila shida nafikiri ni nyota.
Hakuna mafanikio yanakuja kirahisi,amekataa kunyonywa ameamua kumnyonyesha mwanae nyumbani...Km ananyonywaa akubaliii tyuuh?? Acheni nongwaa waja khaaaaah.
Ruby, moja ya wasanii wenye vipaji vikubwa katika muziki, kuanzia sauti mpaka uwasilishaji wake lazima vitakuvutia.
👉 Nyimbo kama Jela, Yule na Forever ni moja ya hits pendwa, ambazo zimeendelea kumpa sifa au kuuonyesha ubora wake.
👉 Nimejiuliza kipi kinachomfanya asiendelee kuwika katika zama hizi za streams? Maana wenzie kama Nandy, Zuchu, Maua Sama na sasa Phina wanazidi kumuacha mbali.
Boomplay streams;
~ Nandy 50M+
~ Zuchu 50M+
~ Sama 25M+
~ Ruby 5M🙉
Je shida au tatizo ni Menejimenti mbovu, nidhamu mbovu, au kakosa vichwa vyenye madini kama kina Ruge?
View attachment 2565857
View attachment 2565858
Ruby anaponzwa na dharau,majivuno,kiburi,kujiamini kulikopitiliza,sifa na kujitenga..
Hakuna management itaweka hela kwa ruby,kana kiburi sana.
Yani ruby na baraka da prince hawatakuja sainiwa kwenye lebo yoyote ile hapa africa...