Kipi Mungu anachoweza kukifanya kikanisaidia?

Kipi Mungu anachoweza kukifanya kikanisaidia?

Kuhema,kuzungumza,kuona kutembea na kufikiri zote hizo ni kwa majaliwa ya Mwenyezi Mungu.Fikiri kidogo unafikiri ni kwa uwezo wako?
 
Tukiachana na hadithi nzuri tunazosimuliwa kuhusu nguvu za Mungu, nahitaji kufahamu ni kipi anachoweza kunisaidia maana kila kitu nafanya peke yangu.

Naamka asubuhi naenda kupambana nikipata pesa namshukuru Mungu, kwanini Mungu asinipe pesa mimi nikae? Je, hawezi? Au hataki?

Kuna kipindi niliugua sana nikaomba Mungu sikupona mpaka nilipotibiwa na wahindi. Je wahindi wanamzidi Mungu akili?

Kama ameshindwa kunipa ninachokitaka nikiwa hai, je nikifa atanipa uzima alioahidi?

SWALI: JE, NI KIPI MUNGU ANAWEZA KUNISAIDIA KIKAONEKANA?
Kukusaidia kakupa akili ya kufanya mambo yako
 
Ata Adam alipewa bustan ailime na iatunze, wewe unataka upate Hela tu ,hujui ata huo uzima ni Mungu ndo amekupa, kuhusu kutibiwa na wahindi , unamaanisha Mungu hakukutibu
Ngoja uumwe Tena best
 
Kuhema,kuzungumza,kuona kutembea na kufikiri zote hizo ni kwa majaliwa ya Mwenyezi Mungu.Fikiri kidogo unafikiri ni kwa uwezo wako?
Nahema sababu nina nguvu, sababu nakula, je nisipofanya kazi nikapata pesa ya kula yeye atanisaidiaje?
 
Ata Adam alipewa bustan ailime na iatunze, wewe unataka upate Hela tu ,hujui ata huo uzima ni Mungu ndo amekupa, kuhusu kutibiwa na wahindi , unamaanisha Mungu hakukutibu
Ngoja uumwe Tena best
Mkuu niliugua sana, nikaomba Mungu hakunisaidia, mpaka wahindi

Je kwanini asingenitibu bure kimiujiza?
 
Mkuu niliugua sana, nikaomba Mungu hakunisaidia, mpaka wahindi

Je kwanini asingenitibu bure kimiujiza?

😂😂😂
Wewe ukiwa na njaa unaomba Mungu au unatafuta chakula ule?

Unamuomba Mungu kwani yeye hajui unataka nini?
Yeye alishakupa kila kitu, yote kayaweka Duniani. Kazi kwako kuyatafuta unayoyapenda.
 
Back
Top Bottom