Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie [emoji119]Naweka alarm inaniamsha
Kukusaidia kakupa akili ya kufanya mambo yakoTukiachana na hadithi nzuri tunazosimuliwa kuhusu nguvu za Mungu, nahitaji kufahamu ni kipi anachoweza kunisaidia maana kila kitu nafanya peke yangu.
Naamka asubuhi naenda kupambana nikipata pesa namshukuru Mungu, kwanini Mungu asinipe pesa mimi nikae? Je, hawezi? Au hataki?
Kuna kipindi niliugua sana nikaomba Mungu sikupona mpaka nilipotibiwa na wahindi. Je wahindi wanamzidi Mungu akili?
Kama ameshindwa kunipa ninachokitaka nikiwa hai, je nikifa atanipa uzima alioahidi?
SWALI: JE, NI KIPI MUNGU ANAWEZA KUNISAIDIA KIKAONEKANA?
NGUVU za Mungu ziko invisible ziko kiroho zaidi kuliko kimwili hazionekani lakini zipo na zinafanya kazi bila kuamini ama kutoaminiMkuu hili swala linanitatiza sana, nataka nione nguvu za Mungu
Kwahiyo kinachoendelea baada ya kuzaliwa yeye hausiki?Mkuu Maisha ndio Zawadi zote.
Ukishapewa Maisha umepewa kila kitu.
Wapi hauelewi
Yeye alipewa dhahabu na wanawake,Mfalme Suleman kumbe hakukosea kuomba hekima .
Kwahiyo kinachoendelea baada ya kuzaliwa yeye hausiki?
Nahema sababu nina nguvu, sababu nakula, je nisipofanya kazi nikapata pesa ya kula yeye atanisaidiaje?Kuhema,kuzungumza,kuona kutembea na kufikiri zote hizo ni kwa majaliwa ya Mwenyezi Mungu.Fikiri kidogo unafikiri ni kwa uwezo wako?
Hapo naanza kupata picha,Hahusiki ndio
Hapo naanza kupata picha,
Mkuu niliugua sana, nikaomba Mungu hakunisaidia, mpaka wahindiAta Adam alipewa bustan ailime na iatunze, wewe unataka upate Hela tu ,hujui ata huo uzima ni Mungu ndo amekupa, kuhusu kutibiwa na wahindi , unamaanisha Mungu hakukutibu
Ngoja uumwe Tena best
🙄🙄🙄Basi endelea kupambana kivyako vyakoYeye alipewa dhahabu na wanawake,
Mkuu niliugua sana, nikaomba Mungu hakunisaidia, mpaka wahindi
Je kwanini asingenitibu bure kimiujiza?
Kuna mstari nilisoma umeandikwa ombeni nanyi mtapewaUmechelewa Sana kulijua Hilo.
Kumuomba Mungu haimaanishi chochote kwenye Kupata au kukosa
Kuna mstari nilisoma umeandikwa ombeni nanyi mtapewa