Kipi Mungu anachoweza kukifanya kikanisaidia?

Kipi Mungu anachoweza kukifanya kikanisaidia?

Ndio nimepata hii habari leo kutoka kwa Robert Heriel

Kumbe kazi yetu ni kupanga na kuishi sio kuomba tena
Jukumu lako ni Kumshukuru tu Mungu,maana kakupa kila kitu,ni wewe tu kutumia..lakini unajikuta unaomba simply kwa sababu ya kutokujua ama kutokana na Ignorance yetu.
 
Tukiachana na hadithi nzuri tunazosimuliwa kuhusu nguvu za Mungu, nahitaji kufahamu ni kipi anachoweza kunisaidia maana kila kitu nafanya peke yangu.

Naamka asubuhi naenda kupambana nikipata pesa namshukuru Mungu, kwanini Mungu asinipe pesa mimi nikae? Je, hawezi? Au hataki?

Kuna kipindi niliugua sana nikaomba Mungu sikupona mpaka nilipotibiwa na wahindi. Je wahindi wanamzidi Mungu akili?

Kama ameshindwa kunipa ninachokitaka nikiwa hai, je nikifa atanipa uzima alioahidi?

SWALI: JE, NI KIPI MUNGU ANAWEZA KUNISAIDIA KIKAONEKANA?
Ukatubu sasa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jukumu lako ni Kumshukuru tu Mungu,maana kakupa kila kitu,ni wewe tu kutumia..lakini unajikuta unaomba simply kwa sababu ya kutokujua ama kutokana na Ignorance yetu.
Hii ina make sense
 
Swali zuri sana. Kwa uelewa wangu na kwa ufupi; Mwenyezi MUNGU ni mkuu mno. Halinganishwi na chochote wala yeyote. Yaani hata kwa binadamu, yeye ni mkuu mno japokuwa binadamu tumeumbwa kwa upendeleo kuliko viumbe wengine (wote), na sio ajabu ndio maana tunapata utashi wa kuhoji kama hivi.
Nirudi kwenye jibu, ni kuwa; ukuu wa MUNGU ni mkuu kuzidi mahitaji ya kawaida ya mwanadamu. Mfano: wewe una mtoto unaempenda sana na kujitahidi kumtimizia kila aina ya mahitaji yake. Lakini huwezi kamwe kumtimizia kila hitaji lake la sivyo hatakuwa mtoto bali mdoli. Kamwe huwezi kulala badala yake, huwezi kuchukua uchovu kwa badala yake (uchovu wake uuchukue wewe), huwezi kuanza kujifunza kutambaa, kutembea, kuanguka, kuhisi njaa, kiu, badala yake, hali kadhalika kuugua homa, kunya au kukojoa kwa niaba yake. Ni lazima hivyo vyote avifanye yeye mwenyewe ILI awe binadamu aliyekamilika (atake au asitake).
Vivyo hivyo kwa upande wa MUNGU BABA, yeye huanzia pale tunaposhindwa kwa uwezo wetu wa kibinadamu. Kumbuka binadamu tuna akili sana. Bongo zetu upo complex sana. Ni jinsi gani tu tunavyozitumia (katika nyanja nyingi) ndivyo tunavyofanikiwa ku-achieve mambo mengi zaidi. Mfano: fikiria majiji makubwa nje ya Africa, wazia maghorofa, vyombo vya usafiri, na teknolojia walizo nazo. Vyote vimeundwa kwa akili za wanadamu- tunao fanana nao kibaiolojia kuanzia Kingdom hadi Specie. Hata hizo dawa za Wahindi, zilitokana na tatizo kuwakumba wao sawasawa na lilivyokukumba wewe na si ajabu kwao mtu/watu walifariki, ndipo na wao wakapata maarifa ya kukabiliana na hilo tatizo kwa kutengeneza dawa ambayo ikaja pia kukusaidia.

Hivyo basi Imani huja pale ubinadamu unapokwama kabisa.. na msaada wa MUNGU huibuka kwa namna ya pekee ambayo haielezeki kibinadamu. Baadhi yetu husema, "ana bahati/nyota/machale, n.k" ila mara nyingi ni msaada wa Mwenyezi MUNGU unaofanya kazi. Msaada huu huja kwa wakati wake, hautegemei maombi yako, kufunga kwako, wala sadaka zako.. hivyo vyote tunavifanya na ni muhimu ili kutuweka kuwa karibu zaidi na MUNGU na sio guarantee ya kutuletea msaada wa MUNGU.

Barikiwa sana kwa swali zuri.
 
Swali zuri sana. Kwa uelewa wangu na kwa ufupi; Mwenyezi MUNGU ni mkuu mno. Halinganishwi na chochote wala yeyote. Yaani hata kwa binadamu, yeye ni mkuu mno japokuwa binadamu tumeumbwa kwa upendeleo kuliko viumbe wengine (wote), na sio ajabu ndio maana tunapata utashi wa kuhoji kama hivi.
Nirudi kwenye jibu, ni kuwa; ukuu wa MUNGU ni mkuu kuzidi mahitaji ya kawaida ya mwanadamu. Mfano: wewe una mtoto unaempenda sana na kujitahidi kumtimizia kila aina ya mahitaji yake. Lakini huwezi kamwe kumtimizia kila hitaji lake la sivyo hatakuwa mtoto bali mdoli. Kamwe huwezi kulala badala yake, huwezi kuchukua uchovu kwa badala yake (uchovu wake uuchukue wewe), huwezi kuanza kujifunza kutambaa, kutembea, kuanguka, kuhisi njaa, kiu, badala yake, hali kadhalika kuugua homa, kunya au kukojoa kwa niaba yake. Ni lazima hivyo vyote avifanye yeye mwenyewe ILI awe binadamu aliyekamilika (atake au asitake).
Vivyo hivyo kwa upande wa MUNGU BABA, yeye huanzia pale tunaposhindwa kwa uwezo wetu wa kibinadamu. Kumbuka binadamu tuna akili sana. Bongo zetu upo complex sana. Ni jinsi gani tu tunavyozitumia (katika nyanja nyingi) ndivyo tunavyofanikiwa ku-achieve mambo mengi zaidi. Mfano: fikiria majiji makubwa nje ya Africa, wazia maghorofa, vyombo vya usafiri, na teknolojia walizo nazo. Vyote vimeundwa kwa akili za wanadamu- tunao fanana nao kibaiolojia kuanzia Kingdom hadi Specie. Hata hizo dawa za Wahindi, zilitokana na tatizo kuwakumba wao sawasawa na lilivyokukumba wewe na si ajabu kwao mtu/watu walifariki, ndipo na wao wakapata maarifa ya kukabiliana na hilo tatizo kwa kutengeneza dawa ambayo ikaja pia kukusaidia.

Hivyo basi Imani huja pale ubinadamu unapokwama kabisa.. na msaada wa MUNGU huibuka kwa namna ya pekee ambayo haielezeki kibinadamu. Baadhi yetu husema, "ana bahati/nyota/machale, n.k" ila mara nyingi ni msaada wa Mwenyezi MUNGU unaofanya kazi. Msaada huu huja kwa wakati wake, hautegemei maombi yako, kufunga kwako, wala sadaka zako.. hivyo vyote tunavifanya na ni muhimu ili kutuweka kuwa karibu zaidi na MUNGU na sio guarantee ya kutuletea msaada wa MUNGU.

Barikiwa sana kwa swali zuri.
Ni sawa mkuu, kutokana na mawazo ya wadau nimegundua yeye anafanya kazi atakavyo sio mimi nitakavyo

Pia kila matokeo yanatokana na machaguo
 
Hata kuny@ kwako ni kazi yake wenzio wanahamu ya kuny@ lakini hawawezi hadi wakamuliwe kinyesi.
Mleta mada kuwa na heshima kwa Mwenyezi Mungu,yeye sio mumeo/mkeo useme unamtania.
Mimi sitanii na sijamdharau mtu
 
Tukiachana na hadithi nzuri tunazosimuliwa kuhusu nguvu za Mungu, nahitaji kufahamu ni kipi anachoweza kunisaidia maana kila kitu nafanya peke yangu.

Naamka asubuhi naenda kupambana nikipata pesa namshukuru Mungu, kwanini Mungu asinipe pesa mimi nikae? Je, hawezi? Au hataki?

Kuna kipindi niliugua sana nikaomba Mungu sikupona mpaka nilipotibiwa na wahindi. Je wahindi wanamzidi Mungu akili?

Kama ameshindwa kunipa ninachokitaka nikiwa hai, je nikifa atanipa uzima alioahidi?

SWALI: JE, NI KIPI MUNGU ANAWEZA KUNISAIDIA KIKAONEKANA?
Ili akusaidie, inabidi awepo kwanza.

Unaweza kuthibitisha yupo kwanza?

Kama hayupo, hawezi kukusaidia.
 
Back
Top Bottom