Kipi Mungu anachoweza kukifanya kikanisaidia?

Kipi Mungu anachoweza kukifanya kikanisaidia?

Tukiachana na hadithi nzuri tunazosimuliwa kuhusu nguvu za Mungu, nahitaji kufahamu ni kipi anachoweza kunisaidia maana kila kitu nafanya peke yangu.

Naamka asubuhi naenda kupambana nikipata pesa namshukuru Mungu, kwanini Mungu asinipe pesa mimi nikae? Je, hawezi? Au hataki?

Kuna kipindi niliugua sana nikaomba Mungu sikupona mpaka nilipotibiwa na wahindi. Je wahindi wanamzidi Mungu akili?

Kama ameshindwa kunipa ninachokitaka nikiwa hai, je nikifa atanipa uzima alioahidi?

SWALI: JE, NI KIPI MUNGU ANAWEZA KUNISAIDIA KIKAONEKANA?
Unampangia kwa hiyo? Chochote utakacho kwa mapenzi yake atakusaidia
 
Mkuu unapingana na maandiko?

Maandiko yapi?
Mimi nakuambia uhalisia wa mambo siongei miujiza hapa. Wengi wanapenda maandiko ya kimiujiza.

Mwanadamu amepewa uwezo wa kufanya kazi na Kutumia Akili na sio kutenda miujiza.
Kuomba Mungu ni kutafuta miujiza, yaani Jambo lililokushinda

Sasa Jambo lililokushinda wewe mwingine halimshindi, mfano Mimi labda sina pesa alafu wewe unazo, siwezi muomba Mungu kitu ambacho ninaweza kukipata Kwa binadamu mwingine.
Labda ndio maana ukaambiwa ombeni nanyi mtapewa lakini ni kuomba binadamu wenzako vile ambacho hauna.

Mfano mwingine ni wewe mwenyewe, ulisema ulikuwa unaumwa Sana nusura tuchangishe rambirambi. Lakini wakatokea Wahindi wakatoa Dawa.
Sasa ulitaka Mungu akusaidie Jambo ambalo Wahindi wanaliweza?😂😂😂

Kwa mfano, waafrika hatuwezi kuomba Mungu atupe teknolojia ya magari, au simu Wakati wapo watu weupe(wazungu na Wachina) wenye uwezo wa hizo teknolojia.

Hivyo tunachoweza kukifanya ni kuwaomba Watu hao watufundishe nasi tuweze kutengeneza hiyo teknolojia. Kama hawataki basi tunaouwezo WA kuzuia baadhi ya malighafi tulizonazo ambazo wanazihitahi Kutoka kwetu.

Mambo yako Hivyo.

Kuomba Mungu sio rahisi kama hivyo. Ni utovu WA adabu tuu.
 
Maandiko yapi?
Mimi nakuambia uhalisia wa mambo siongei miujiza hapa. Wengi wanapenda maandiko ya kimiujiza.

Mwanadamu amepewa uwezo wa kufanya kazi na Kutumia Akili na sio kutenda miujiza.
Kuomba Mungu ni kutafuta miujiza, yaani Jambo lililokushinda

Sasa Jambo lililokushinda wewe mwingine halimshindi, mfano Mimi labda sina pesa alafu wewe unazo, siwezi muomba Mungu kitu ambacho ninaweza kukipata Kwa binadamu mwingine.
Labda ndio maana ukaambiwa ombeni nanyi mtapewa lakini ni kuomba binadamu wenzako vile ambacho hauna.

Mfano mwingine ni wewe mwenyewe, ulisema ulikuwa unaumwa Sana nusura tuchangishe rambirambi. Lakini wakatokea Wahindi wakatoa Dawa.
Sasa ulitaka Mungu akusaidie Jambo ambalo Wahindi wanaliweza?😂😂😂

Kwa mfano, waafrika hatuwezi kuomba Mungu atupe teknolojia ya magari, au simu Wakati wapo watu weupe(wazungu na Wachina) wenye uwezo wa hizo teknolojia.

Hivyo tunachoweza kukifanya ni kuwaomba Watu hao watufundishe nasi tuweze kutengeneza hiyo teknolojia. Kama hawataki basi tunaouwezo WA kuzuia baadhi ya malighafi tulizonazo ambazo wanazihitahi Kutoka kwetu.

Mambo yako Hivyo.

Kuomba Mungu sio rahisi kama hivyo. Ni utovu WA adabu tuu.
Kwa maelezo yako ni kwamba hawezi kutusaidia vitu ambavyo vinapatikana kwa wengine?

Na kama Mungu sio wa miujiza je ni kwa njia gani anaweza kudhihirika?

Je nisitarajie chochote kutoka kwa Mungu nikiwa duniani?
 
Kwa maelezo yako ni kwamba hawezi kutusaidia vitu ambavyo vinapatikana kwa wengine?

Na kama Mungu sio wa miujiza je ni kwa njia gani anaweza kudhihirika?

Je nisitarajie chochote kutoka kwa Mungu nikiwa duniani?

😂😂😂
Mungu keshakusaidia ndio maana kuna chochote unachohitaji kwenye Maisha yako.
Ukitaka mabaya yapo, ukitaka mazuri yapo. Ni wewe kuchukua. Ndio maana ya kupewa mamlaka ya kutawala.
Hii nitaiandikia ufafanuzi Kwa mapana zaidi.

Mungu anataka tuheshimiane, tupendane iwe Kwa hiyari au lazima. Ili tutegemeane.
Wewe unapewa hiki, mwingine kile, na Mimi hiki.
Ili tusaidizane, mwingine kapewa uzuri lakini Hana maarifa, mwingine kapewa nguvu lakini hana Upeo wala Akili. Mwingine kapewa karama Hii mwingine Ile.

Wapo wenye karama za kutibu na kutafuta madawa, hao kazi Yao ni utabibu.
Sasa wewe huwezi kumuomba Mungu uponyaji Wakati tayari Mungu alishawapa wenzako uwezo wa kutibu. Nenda katibiwe na matabibu alafu yakiwashinda ndio umfuate Mungu.

Nakupa Mfano WA Musa,
Musa anatumwa na Mungu Aende Kwa Farao, Musa anamuambia Mungu yeye anaulimi mzito hivyo hawezi kuongea.
Badala ya Mungu kumponya Musa na kumfanya aweze kuongea vizuri, yeye anamwambia Musa kuwa atamtumia Kaka yake Haruni Kwa sababu Haruni anaulimi mwepesi.😊😊 Bado hujapata somo hapo.

Musa aliyepasua bahari, aliyebadilisha fimbo kuwa nyoka, aliyebadilisha maji machungu kuwa matamu, aliyeongea na mwamba, na miujiza mingi lakini alishindwa kuufanya Ulimi wake kuwa mwepesi, na hivyo alimtegemea Haruni Kwa kazi hiyo.
Hivyo ndivyo mambo yalivyo Mkuu.

Ndimi, Taikon wa Fasihi, mtoto wa Wakuu wa Tibeli
 
Tukiachana na hadithi nzuri tunazosimuliwa kuhusu nguvu za Mungu, nahitaji kufahamu ni kipi anachoweza kunisaidia maana kila kitu nafanya peke yangu.

Naamka asubuhi naenda kupambana nikipata pesa namshukuru Mungu, kwanini Mungu asinipe pesa mimi nikae? Je, hawezi? Au hataki?

Kuna kipindi niliugua sana nikaomba Mungu sikupona mpaka nilipotibiwa na wahindi. Je wahindi wanamzidi Mungu akili?

Kama ameshindwa kunipa ninachokitaka nikiwa hai, je nikifa atanipa uzima alioahidi?

SWALI: JE, NI KIPI MUNGU ANAWEZA KUNISAIDIA KIKAONEKANA?
Astaghfirullah
 
Mungu anaweza kukusaidia na binadamu anaweza kukusaidia. You must combine the two. Usimuombe Mungu pekee na usimwombe binadamu pekee.
Mungu akiridhia ndio binadamu anakuwa na mandate ya kukusaidia.
 
Mkuu hv unadhan Mungu angekuwa na nguvu tunavyoaminishwa watu wangeteseka hv!!?? Ebu angalia vipofu, vilema, viziwi, mayatima, hata waliozaliwa na virusi vya HIV je unadhan wanafurahia maisha? Yani mtu maisha yke yote ya huzuni halafu useme nguvu za Mungu zipo!!, Nashangaa watu wanaosema ushukuru kwa uzima wakati Kuna watu wanasema bora wasingezaliwa.
NB:Mungu hana maajabu mpaka Sasa maana kuna watu wengi wasio kuwa na hatia wanateseka, Au labda tuseme tunamwabudu Mungu asiye sahihi
 
Tukiachana na hadithi nzuri tunazosimuliwa kuhusu nguvu za Mungu, nahitaji kufahamu ni kipi anachoweza kunisaidia maana kila kitu nafanya peke yangu.

Naamka asubuhi naenda kupambana nikipata pesa namshukuru Mungu, kwanini Mungu asinipe pesa mimi nikae? Je, hawezi? Au hataki?

Kuna kipindi niliugua sana nikaomba Mungu sikupona mpaka nilipotibiwa na wahindi. Je wahindi wanamzidi Mungu akili?

Kama ameshindwa kunipa ninachokitaka nikiwa hai, je nikifa atanipa uzima alioahidi?

SWALI: JE, NI KIPI MUNGU ANAWEZA KUNISAIDIA KIKAONEKANA?
maombi yako ndo yamefanya ukapata kukutana na hao wahindi wako kama sio Mungu usingekutana nao
Au wewe ulikua unataka uponyaji wa from nowhere
 
Tukiachana na hadithi nzuri tunazosimuliwa kuhusu nguvu za Mungu, nahitaji kufahamu ni kipi anachoweza kunisaidia maana kila kitu nafanya peke yangu.

Naamka asubuhi naenda kupambana nikipata pesa namshukuru Mungu, kwanini Mungu asinipe pesa mimi nikae? Je, hawezi? Au hataki?

Kuna kipindi niliugua sana nikaomba Mungu sikupona mpaka nilipotibiwa na wahindi. Je wahindi wanamzidi Mungu akili?

Kama ameshindwa kunipa ninachokitaka nikiwa hai, je nikifa atanipa uzima alioahidi?

SWALI: JE, NI KIPI MUNGU ANAWEZA KUNISAIDIA KIKAONEKANA?


Hivi tu ulivyoandika na sisi tukasoma huo ni msaada mmoja kati ya misaada mingi isiyo hesabika kutoka kwa Mungu.

Hewa unayovuta bure, macho unayotumia kuonea,.nguvu alizokupa nk, hiyo ni baadhi ya misaada kutoka kwa Mungu.

Pia misaada mingine ya Mungu hupitia kwa watu, mfano ulipougua na ukamuomba Mungu upone ndipo Wahindi wakakuponyesha basi hao wahindi waliletwa na Mungu.

Basi usichoke na kukata tamaa kumuomba kwani Mungu anazo njia nyingi za kumsaidia mtu.
 
Mariam(Bikira Maria)alikuwa ni wakufanya ibada mpaka ikafika mahali baba yake mlezi akiingia chumbani kwa Mariam anakuta Mariam Yuko na matunda na vyakula tofauti tofauti.Akimuuliza anasema Mungu ndio mmbora wa kuruzuku.Kwa ushuhuda wangu binafsi,nimekaa miezi SITA na Shekhe Salim Mbarak(Mti mkavu),huyu ni babake yule Abdul Razaq(mume wake Diva wa kipindi Cha Malavidavi pale wafasi FM radio).Kwa muda wote huo nlokaa nae haletewi pesa na mtu na ni miaka kwa miaka ni hivo,ila pakiwa na shida anatia mkono mfukoni(mfuko wa kanzu)anatoa pesa.Hii imekuwa ajabu kwa watu wengi lkn pia Kuna shekhe mwingine kama hivo hivo miaka nane nyuma amefariki kwa uzee huko Handeni lkn nae ilikuwa akihitaji pesa anafunua mkeka wake anao kalia(mana mda mwingi Yuko kwenye huo mkeka kufanya ibada)na kuchukua pesa.Katika maongezi yake huyu Shekhe mkubwa baba mkwe wake Diva alisema kwamba Kuna kiwango Cha ibada na Darja zake ukifika....basi Mungu anakupa tamanio la nafsi Yako hata kabla hujaomba.Hii miujiza ipo na itaendelea kuwepo mpaka kiama kifike.Ishu ni kuwa tu watakao kuwa na Hali hiyo watapungua wingi wao lkn wataendelea kuwepo.Kwa hiyo HATA WEWE WAWEZA KUFIKIA KIWANGO CHA IMANI AMBAPO KILE UPENDACHO NI KISEMA TU IWE NA INAKUWA NI JUHUDI TU.Huko India na china na nchi nginyine za mashariki ya mbali......mtu anaweza kuwa hoiii afya mbayaaa,lkn aka kaaa meditation wiki au mwezi tu maradhi yote yakaisha.Kama ni ngumu kwako Si na kwa wengine.
 
😂😂😂
Mungu keshakusaidia ndio maana kuna chochote unachohitaji kwenye Maisha yako.
Ukitaka mabaya yapo, ukitaka mazuri yapo. Ni wewe kuchukua. Ndio maana ya kupewa mamlaka ya kutawala.
Hii nitaiandikia ufafanuzi Kwa mapana zaidi.

Mungu anataka tuheshimiane, tupendane iwe Kwa hiyari au lazima. Ili tutegemeane.
Wewe unapewa hiki, mwingine kile, na Mimi hiki.
Ili tusaidizane, mwingine kapewa uzuri lakini Hana maarifa, mwingine kapewa nguvu lakini hana Upeo wala Akili. Mwingine kapewa karama Hii mwingine Ile.

Wapo wenye karama za kutibu na kutafuta madawa, hao kazi Yao ni utabibu.
Sasa wewe huwezi kumuomba Mungu uponyaji Wakati tayari Mungu alishawapa wenzako uwezo wa kutibu. Nenda katibiwe na matabibu alafu yakiwashinda ndio umfuate Mungu.

Nakupa Mfano WA Musa,
Musa anatumwa na Mungu Aende Kwa Farao, Musa anamuambia Mungu yeye anaulimi mzito hivyo hawezi kuongea.
Badala ya Mungu kumponya Musa na kumfanya aweze kuongea vizuri, yeye anamwambia Musa kuwa atamtumia Kaka yake Haruni Kwa sababu Haruni anaulimi mwepesi.😊😊 Bado hujapata somo hapo.

Musa aliyepasua bahari, aliyebadilisha fimbo kuwa nyoka, aliyebadilisha maji machungu kuwa matamu, aliyeongea na mwamba, na miujiza mingi lakini alishindwa kuufanya Ulimi wake kuwa mwepesi, na hivyo alimtegemea Haruni Kwa kazi hiyo.
Hivyo ndivyo mambo yalivyo Mkuu.

Ndimi, Taikon wa Fasihi, mtoto wa Wakuu wa Tibeli
Point, sasa ikitokea nataka kitu na kuna kikwazo? Mfano nataka tiba na hakuna pesa?
 
Back
Top Bottom