Kipi unatakiwa ufanye endapo mkeo akikunyima unyumba?

Kipi unatakiwa ufanye endapo mkeo akikunyima unyumba?

Nani alishamtoa mwenza wake wakaendabali kidogo huko hotelini mkajifungia huko mkawasha mshumaa mkaweka wine pembeni hoteli yenye hadhi ya five star au hata middle class mkakaa huku siku moja au mbili aisehhhhhh hata kama penzi lilikufa miaka mitano nyuma pale litachipua na uganzi utapotea, mkifika huko mnakulanaa yani mnakesha kwa kifupi, mkichoka kuwa na big screen tv humo mnaangalia movie mpo watupu kama mlivyozaliwa, kwa ufupi penda kitu Mungu amekupa mpaka mmefika kanisani mkawachangishwa watu na harusi mkafunga iweje hakua katoka kwa Mungu, wanaume tuwe wabunifu maisha mafupi sana kuwa na stress za kipuzi, kula chombo Mungu kakupa kula vizuri mpaka udenda ukutoke
 
Ni kweli, sabb yaweza kuwa nzuri au mbaya, mfano labda kapata penzi jipya nje, nk. Ila hata kukiwa na sabb nzuri labda ME anyimwe mara 1, 2 au 3, basi. Sio siku zote. Hata andiko linasema "Msinyimane.."

1 Wakorintho 7:5​

Msinyimane haki zenu, isipokuwa kama mnaafikiana kufanya hivyo kwa kitambo tu...
Si ndiyo maana lipo kwenye andiko maana shetani pia anajua weakness ya mwanadamu, anajua mgogoro wa ndoa unaanzia hapo na akipagusa hapo ni lazima ilete impact
 
Wanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.

Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimlazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
Mjie usiku mnene na mhuduma wa bar na umwombe awapishe chumbani
 
Wanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.

Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimlazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
usihangaike nae huyo yawezekana kuna mwanaume mwingine anamfua, we tafuta dem mwingine gonga huko ukirudi home salam uliza anaendeleaje vuta shuka lala, ahsubuh kazin Acha pesa mezan . Simple
 
Wanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.

Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimlazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
unaingia tinda, hitwe, badoo huko watakwambia hela yako tuu
 
Wanaume wa huu Uzi 😂😂😂🙌🙌🙌
Ngoja Nile nishibe

Kama mna tofauti Jitahidi kuzitatua kwanza, kisha mfanye akuone kama vile ndo unamtongoza tongoza, maneno matam , ukitoka mletee vizawadi, ukifika home mkute mkiss, yote ili arudishe hisia zake kwako.... Ukikaa nae cheza nae kama mtoto, mshike taratibu hapa na pale.... Sio jiwe huyo ana hisia zitakuja atakuhitaji tu......... Sasa huo mwendo uwe kila mara ukitoka mtext msifie mwambie jinsi gani unafurahia mnavopeana mambo, mwambie unatamani kila siku awe anakupa...... Hehehehe bwana we kwa ufupi ni hivyo na vingine vingi nshachoka kuandika.

Ngoja nikupe mbinu mkuu naona unateseka mwanaume mwenzangu,

dawa na mbadala wa hili ni moja tu jaribu kuwa mbunifu kwenye mapenzi na ujanja mwingi kwa mkeo, sio kila siku unaombea mechi nyumbani kwako jaribu kubadilisha mazingira, mtoe outing nyingi pia mwambie unatamani makalale nje ya nyumba hasa weekend mkainjoi huko mbebe na wine [emoji485] hakika utakuja kunishukuru sana mzee iceberg hapa, mazingira pia huleta penzi kuchipua na outing nyingi mnapotoka mnapata nafasi kuzungumza kila mmoja changamoto zake

Daah, yaani mke wangu mwenyewe kakubali yeye mwenyewe kuolewa nami akiwa na akili zake timamu, majukumu yake Kama mke wa mtu anayajua haki za ndoa anazijua alafu leo nifanye kazi ya kumtongoza upya kila siku yani mimi kila siku nifanye kazi ya kutongoza tu!!!?

Yaani nitoke kazini nimechoka niko ovyo kichwani kwa stress za kazi na mizinguo ya awamu ya 5 alafu nifike nyumbani nianze kazi nyingine ya kutongoza mke wangu wa ndoa!!?

Nasemajee kazi hiyo sifanyi we Kama unahisi huo uchi ndio silaha ya kunikomoa kisa tu unajua kuwa tukilala kwa bedi lazima tu mi Kama mwanaume nitakuwa na uhitaji basi ndo utumie nafasi hiyo kunikomesha, jua kwamba sijakuoa ili uje kunikomesha na kunitesa kihisia kwenye nyumba yangu mwenyewe.

We Kama una tatizo na mimi liseme tulimalize na sio huo upuuzi wa kuniwekea mgomo ukifanya hivyo tayari ushakosa sifa za kuwa mke wa mtu na hustahili kukaa na mume tena.

Mimi ukifanye hivo ujue kabisa tunaachana asubuhi tu mapema yani, sihangaiki kutafuta mchepuko wala nini nakuacha naoa mwingine usifikiri we ndo una uchi tu peke yako dunia nzima heboo!!!

Mkuu, yaani mke wangu kabisa hizo pesa za kukupeleka kwenye mahoteli huko eti kisa hutaki kunipa unyumba si ni bora nikampe mjomba wangu huko akafanye biashara ya kuku mara kumi.
Yani nitumie gharama zote hizo kisa mke wa ndoa kagoma kutoa utamu aah waapii!! Sifanyi hicho kitu ng'o.

Akisubutu kunifanyia hivo wallah atavuna anacho kipanda.
 
Tatizo ni nini mpaka mkeo akunyime unyumba? Ujue kuna tatizo hapo! Inawezekana unataka kufanya sex naye kila siku hata kwenye siku zake. Kuna nini hapo?
 
Kwahiyo unataka ufike akupanulie uingize tu si ndio? Nyie ndo mnatumia mate kulainisha k za wake zenu
Daah, yaani mke wangu mwenyewe kakubali yeye mwenyewe kuolewa nami akiwa na akili zake timamu, majukumu yake Kama mke wa mtu anayajua haki za ndoa anazijua alafu leo nifanye kazi ya kumtongoza upya kila siku yani mimi kila siku nifanye kazi ya kutongoza tu!!!?

Yaani nitoke kazini nimechoka niko ovyo kichwani kwa stress za kazi na mizinguo ya awamu ya 5 alafu nifike nyumbani nianze kazi nyingine ya kutongoza mke wangu wa ndoa!!?

Nasemajee kazi hiyo sifanyi we Kama unahisi huo uchi ndio silaha ya kunikomoa kisa tu unajua kuwa tukilala kwa bedi lazima tu mi Kama mwanaume nitakuwa na uhitaji basi ndo utumie nafasi hiyo kunikomesha, jua kwamba sijakuoa ili uje kunikomesha na kunitesa kihisia kwenye nyumba yangu mwenyewe.

We Kama una tatizo na mimi liseme tulimalize na sio huo upuuzi wa kuniwekea mgomo ukifanya hivyo tayari ushakosa sifa za kuwa mke wa mtu na hustahili kukaa na mume tena.

Mimi ukifanye hivo ujue kabisa tunaachana asubuhi tu mapema yani, sihangaiki kutafuta mchepuko wala nini nakuacha naoa mwingine usifikiri we ndo una uchi tu peke yako dunia nzima heboo!!!

Mkuu, yaani mke wangu kabisa hizo pesa za kukupeleka kwenye mahoteli huko eti kisa hutaki kunipa unyumba si ni bora nikampe mjomba wangu huko akafanye biashara ya kuku mara kumi.
Yani nitumie gharama zote hizo kisa mke wa ndoa kagoma kutoa utamu aah waapii!! Sifanyi hicho kitu ng'o.

Akisubutu kunifanyia hivo wallah atavuna anacho kipanda.
 
Wanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.

Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimlazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
Unajiita Msukuma halafu unanyimwa unyumba hujui cha kufanya ?

Wasukuma huwa hatunyimwi unyumba mkuu
 
Kwahiyo unataka ufike akupanulie uingize tu si ndio? Nyie ndo mnatumia mate kulainisha k za wake zenu
Hakuna kitu Cha namna hiyo kadada tusidanganyane hapa, hakuna mtu wa kutoka tu huko afikie kumvamia mtu mkewe hakuna kitu kama hicho na mapenzi ya namna hiyo hayapo.
Unataka kunambia kabla ya huo mgomo kila siku jamaa alikuwa anakuja nakuchomeka tu hadi mwanamke kafikia hatua ya kugoma??

Acheni kutaka kutumia miili yenu Kama silaha ya kutaka kumchapa mtu kihisia.

Mke Kama kaamua kugoma maana yake kwamba kadhamiria kufanye hivyo kwa akili zake timamu.

Kwanini umnyime, ok kakuudhi sawa sasa unadhani kumyima ndio suluhisho la tatizo kwa mumeo? Kama sio ujinga kumbe ni nini?
Kwanini usimueleze hicho alicho kuudhi ili muongee yaishe maisha yaendelee??
Yeye mbona hakukususia bado upo kwake na anakutunza kwa kila kitu Kama mke wake inamaana we ni malaika humkwazi hata kidogo au!!?
 
Kama mna tofauti Jitahidi kuzitatua kwanza, kisha mfanye akuone kama vile ndo unamtongoza tongoza, maneno matam , ukitoka mletee vizawadi, ukifika home mkute mkiss, yote ili arudishe hisia zake kwako.... Ukikaa nae cheza nae kama mtoto, mshike taratibu hapa na pale.... Sio jiwe huyo ana hisia zitakuja atakuhitaji tu......... Sasa huo mwendo uwe kila mara ukitoka mtext msifie mwambie jinsi gani unafurahia mnavopeana mambo, mwambie unatamani kila siku awe anakupa...... Hehehehe bwana we kwa ufupi ni hivyo na vingine vingi nshachoka kuandika.
Hayo yote umfanyie mtu alievuta domo mpaka ukiwa unaingia ndani unakutana nalo getini,tena kwa saabu ya kifala tu,ukute una wiki na zaidi unajitahidi muongee.Ila wanawake wengine sometimes wanakuaga kama vitoto aisee
 
Wanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.

Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimlazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
Acha kumwomba jifanye huna haja nae atakuomba yeye
 
Back
Top Bottom