Kipigo cha F-35 za Israel husikika kama ndege zishajiondokea, hamna radar huzigundua

Kipigo cha F-35 za Israel husikika kama ndege zishajiondokea, hamna radar huzigundua

Etiee. Huo ubishi niliwasikia hata wa Houthis wakidai hivyo. Mtengenezaji ni Lockheed Martin's. Sasa ww nenda kamwambie ni makopo ya siku nyingi tu. Atakusikiliza, hanaga shida yule mzee.
Ndege imetoka 2006,unadhani ilianza lini kusanifiwa Kama siyo 1990!?
 
Ndege imetoka 2006,unadhani ilianza lini kusanifiwa Kama siyo 1990!?
Hebu jaribu kuzisoma sifa za F-35 kama zilivyotolewa na Lockheed /Israel mwenyewe. The Jerusalem Post
Separator
Israel-Hamas War
Mkuu; mbona hata nyumba ya kuishi binadamu huchukua muda mrefu kukamilika kutegemea na jinsi tajiri anavyotaka iwe.
 
Hebu jaribu kuzisoma sifa za F-35 kama zilivyotolewa na Lockheed /Israel mwenyewe. The Jerusalem Post
Separator
Israel-Hamas War
Mkuu; mbona hata nyumba ya kuishi binadamu huchukua muda mrefu kukamilika kutegemea na jinsi tajiri anavyotaka iwe.
Hizi sifa hata Abraham tanks tuliambiwa hivi hivi,slobodan alibutua ndege zilizoaminika hazipigiki kipindi hicho,ikawa habari duniani
 
Hizi sifa hata Abraham tanks tuliambiwa hivi hivi,slobodan alibutua ndege zilizoaminika hazipigiki kipindi hicho,ikawa habari duniani
Lakini kwa hili, mm naamini hizo sifa ni za ukweli mana mwamba kaenda, kaacha moto ukiendelea kuwaka na yy akajirudia salama huku ma-air defense systems yao yakiwa yamesimama dede -hayakuziona.
 
Lakini kwa hili, mm naamini hizo sifa ni za ukweli mana mwamba kaenda, kaacha moto ukiendelea kuwaka na yy akajirudia salama huku ma-air defense systems yao yakiwa yamesimama dede -hayakuziona.
Houthi hawana state of the art defence systems,halafu Hilo shambulizi ni kolabo
 
F35 ni za mmarekani na pamoja na kupewa silaha zote hizo uwezo wa vita ni mdogo sana kama hadi leo anahangaishana na mgambo wa hamas ambao wana silaha hafifu na kashikilia mateka wa kizayuni
Huku hezbollah kamkalia kooni na sasahivi mizigo inatua hadi tel aviv, hakuna mtalii ataenda tena
Hiv unafikir Hamas lingekuwa ni jesh kwa jeshi wanapamban bila kukaa nyuma ya watoto na wanawake ungekuta hii vita bado inaendelea? Wapigane kama yale mataifa sita watume jeshi likutane na jeshi usikilizie huo moto. Wapigane kama urusi invyopigana na Ukraine uone ushoga wa Israel Chief.
 
Hiv unafikir Hamas lingekuwa ni jesh kwa jeshi wanapamban bila kukaa nyuma ya watoto na wanawake ungekuta hii vita bado inaendelea? Wapigane kama yale mataifa sita watume jeshi likutane na jeshi usikilizie huo moto. Wapigane kama urusi invyopigana na Ukraine uone ushoga wa Israel Chief.
Unamaanisha Kama Hamas nao wangekua na silaha walizonazo Israel!?
 
Hiv unafikir Hamas lingekuwa ni jesh kwa jeshi wanapamban bila kukaa nyuma ya watoto na wanawake ungekuta hii vita bado inaendelea? Wapigane kama yale mataifa sita watume jeshi likutane na jeshi usikilizie huo moto. Wapigane kama urusi invyopigana na Ukraine uone ushoga wa Israel Chief.
Style yao ya mapambano ndo hiyo ya kujificha nyuma ya watoto, wazee na makalio ya wanawake huku wao wenyewe wakiwa wamevaa baibui tena wakiimba kale kamwimbo kao Takbiiiir.
 
Hiv unafikir Hamas lingekuwa ni jesh kwa jeshi wanapamban bila kukaa nyuma ya watoto na wanawake ungekuta hii vita bado inaendelea? Wapigane kama yale mataifa sita watume jeshi likutane na jeshi usikilizie huo moto. Wapigane kama urusi invyopigana na Ukraine uone ushoga wa Israel Chief.
Hakuna mataifa sita na hawakupigana kihivyo ni mfalme wa morocco alitoa siri kwa israel wakawahiwa, ukitaka kuona hawa mazayuni weupe hadi leo wameshindwa kukomboa mateka pamoja na kusaidiwa kila aina ya vifaa na magharibi
Nini kilitokea 2006 walivyopambana jeshi kwa jeshi na hezbollah? Si waliambulia aibu tu hapo ndio wanasaidiwa na marekani , wangekuwa wenyewe hawa hakuna kitu wanaweza zaidi ya propaganda
 
Najiuliza kama wanadema
Mwamba ataongeza dozi tu ikiwa hayo magaidi ya Houth yatakua kichwa ngumu.
Uzuri Netanyahu na cabinet yake wanajua lugha nzuri ya kuongea na magaidi
Najiuliza kama wanasema myahudi anasaidiwa...kwanini wasiamue moja tu nchi zote mashariki ya kati wapige mitulinga kuelekea nazareth...maana mzayuni pamoja kuwa kadogo kuna kipindi wataacha hata kumchokoza....siwapendi Israel ila nafurahia dozi wanayogawa...
 
Hao jamaa kwa sasa wamewekeza bidii zote kuwataka mabikira 72 wa pepo ya Allah

Naona wameweka nguvu zote, sielewi pengine kumepigwa simu huko kuwajulisha kwamba, kuna hatari ya wao kukosa mabikira na hivyo wafanye juu chini ili waambulie 😂😂

Ila kuna ahadi zingine ni za kizembe sana aisee, zingine ahadi kama hizo, unaamua kuzikataa tu na kuzipuuza maana ni uwongo wa mchana kweupe kabisa
Hahaha hahaha bikra 72
 
Back
Top Bottom