Kipigo cha F-35 za Israel husikika kama ndege zishajiondokea, hamna radar huzigundua

Aisee huwa namkubali Benjamin Netanyahuu hacheki na kima linapokuja swala la usalama wa israel
 
SAsa zimewapiga watu ambao hawana hata radar unasema hainajoneoana? Kwanini zisipelekwe Ukraine tuone ubora wake.?

By the way ile drone iliyo shusha kichapo tel aviv ilionekana na radar? Au zile iron dome ni makopo?

Msalimie zelensky muulize safari ya crimea imeishia wapi?
 
Hivi ile oparesheni ya pamoja ya Uingereza na Marekani walikuwa wanatania nadhani kwa maana Israel amepiga mara moja tuu lakini kishindo na maumivu yake siyo mchezo kabisa....
 
Hivi ile oparesheni ya pamoja ya Uingereza na Marekani walikuwa wanatania nadhani kwa maana Israel amepiga mara moja tuu lakini kishindo na maumivu yake siyo mchezo kabisa....
Wale walikua wanapapasa tu ikabidi myahudi aje kufunga kazi kabisa kwa kupiga kwenye Mshono. 😁😁

Kama mnanyojua Netanyahu huwa hacheki na magaidi.
 
Mimi ninampa "Shikamoo mzee Neta." Huwa anawaambia atakachofanya na kweli anatekeleza tena kwa weledi wa kiwango cha juu kabisa.
Namkubali sana Netanyahu na cabinet yake ya ulinzi. Wakitoa dozi wanahakikisha mpaka mgonjwa anapona.

Hawana shughuli ndogo
 
Ila wavaa Kobazi mnajua kulalamika.

Mkifanya ujinga mnavimba, mkila kipigo mnalalamika mnaoweza 😅 😅 😅

Yaani mtu kama wewe unakaa unategemea makubwa kwa mateja, labda kama mwehu

Tafuta video yoyote inayohusu Yemen usioona mtu ana mirungi natoka JamiiForums
 
Ni hatari sana Israel anapiga kaskazini kusini mashariki na magharibi.
Muda si mrefu utasikia pray for Yemen.
 
Vita haipiganwi uwanjani we kijana. Uwanjan watu wanaenda kumalizia kilichopangwa nje ya uwanja.Jew's wana wayahud nchi karibu zote za kiarabu na wanawayahud kwenye korido za maamuz kwenye nchi zote nene so wakati wewe unaona ni msaada wenzio walishatanguliza watu wao huko miaka mingi kwenye mifumo yote muhim so wakat unafikir unapigana na Israel unajikuta unapigana na waarabu wenzio au wazungu coz mwenzio alishakuwahi. Na usisahau Israel anapigana vita ya jihad akishindwa vita ni taifa linafutika so vita yake ni lazima ashinde ndio maana yupo hadi leo. Angekuwa ameshindwa usingeona taifa pale.
 
Zama hizi mambo ya kufut taifa hakuna mkuu kwani kuna sheria nyingi za kimataifa zinazolinda mambo kama hayo yasitokee karne hizi ndio maana unaona bwana netanyahu anavyohangaika na icc na icj, usipoenda sawa na jumuia ya kimataifa utajikuta umetengwa au watu wako wanashindwa kuwa huru kwenye movement zao, au hujui kwanini marekani anahangaikia normalization ya israel na nchi za kiarabu?
unajua tabu waisrael wanayoipata wakienda kushiriki matamasha au michezo ya kimataifa?
Olympic soon inafanyika france ,unajua vuguvugu linaloendelea huko watu wamejipanga kuwazomea na kuwanyima ushirikiano wanamichezo wa israel,
Cheki news hapo wanavyoteseka , kwao vita wakienda nchi nyingine wanawindwa kama kuku sasa ndio maisha gani hayo
 

Attachments

  • Screenshot_20240722-231227_Chrome.jpg
    315.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240722-231132_Chrome.jpg
    402.5 KB · Views: 2
Waisrael wanateseka? Mzee usidanganywe na Media uchwara za propaganda nenda kwao ndio utajua mateso yao. Hiv unajua waisrael %80 wana uraia pacha. Dunia inaendeshwa kutoka gizan Chief sio kutoka live kama unavyoiona. Kile unachofikiria ndivyo kilivyo wapo wenye dunia yao washapanga siku nyingi jins itakavyokuwa. Sheria Israel kashavunja ngapi na amefanywa nini mpaka sasa.
 
Hizo media zilizoreport ni za kwao mzee jerusalem post na times of israel, it seems hata international news hufuatilii ndio maana huelewi nini kinachoendelea duniani
 
Hizo media zilizoreport ni za kwao mzee jerusalem post na times of israel, it seems hata international news hufuatilii ndio maana huelewi nini kinachoendelea duniani
Bro hujui jins lugha ya picha inavyosemwa.
 
Mambo ya Zelesky yanaingiaje hapa
 
Hivi mbona kipigo cha israel kwa wayemen kimeuma sana kuliko cha operation ya pamoja ya uingereza na marekani?
 
Banned 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…