green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Mwanamgambo wa Israelendeleeni kujifariji na mapicha yenu ya kuokoteza na maandishi ya kupachika.
Mbona KILA siku makao makuu ya MOSSAD yanapigwa. Mara Hesbollah kapiga tena Iran kapiga. Hayaharibiki yakaisha? It's too much.Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4
Hizi ndizo habari huwa nazipenda. Ukipata nyingine kama hizi please tag me.Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4
Wewe huoti?Unaota?
Uislam ni mmoja tu.Shia au Suni?
Shia wanawapiga Suni hujui hilo kwani wanaovujisha siri kupeleka Israel huwajui ni akina nani Suni, kwa hio jichunguzeUislam ni mmoja tu.
Mimi ni Mkristo napenda utaratibu wa waislam kwa kuwa na msikiti mmoja wa madhehebu yote.
Sisi wakristo hatuwezi
Kwani Catholic hawawapigi Orthodox?Shia wanawapiga Suni hujui hilo kwani wanaovujisha siri kupeleka Israel huwajui ni akina nani Suni, kwa hio jichunguze
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei amezitaka nchi zote za kiarabu kuungana Ili wamshughulikie AduiHezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4
Kwa hio unakubaliana na mimiKwani Catholic hawawapigi Orthodox?
Kuhusu nini? Maana zote ulizotoa ni claims. Unataka nikubaliane na tuhuma unazozitoa?Kwa hio unakubaliana na mimi
Shia na Suni kila mmoja anajiona ndie mwenye dini ya kiislamuKuhusu nini? Maana zote ulizotoa ni claims. Unataka nikubaliane na tuhuma unazozitoa?
Bado hizi ni claims zako. Upo na uhuru wa kutuhumu na kuwaza uonavyo. But facts nimekupatia kuwa:Shia na Suni kila mmoja anajiona ndie mwenye dini ya kiislamu
Suni na Shia unawajua?Bado hizi ni claims zako. Upo na uhuru wa kutuhumu na kuwaza uonavyo. But facts nimekupatia kuwa:
Waislam madhehubu yote huwa wanakusanyika kwenye msikitini mmoja. Hii unabisha?
wewe kafir ni mkristo wa dhehebu ganKwani Catholic hawawapigi Orthodox?
Waislam madhehubu yote huwa wanakusanyika kwenye msikitini mmoja. Hii unabisha?Suni na Shia unawajua?
Ngoja niweke utani kidogo japo sio mzuri maana Maisha ya wasio na hatia yanateketea bureeee.Tatizo hadi sasa hakuna anayekubari kushindwa
kama utani WW3
Mimi kafiri ni mkiristo wa AdventistWe
wewe kafir ni mkristo wa dhehebu gan
HAKUNA Adventist popoma kama weweMimi kafiri ni mkiristo wa Adventist