Kipindi hiki cha mvua Tandika siyo sehemu ya kwenda kabisa

Kipindi hiki cha mvua Tandika siyo sehemu ya kwenda kabisa

Haha mkazi wa Mbagala huyo, hapo anawaza kudandia Mabasi ya Eicher afike uswekeni kwake.


Wazee maeneo yanaakisi Sana welfare ya familia yako. Huwezi kukaa uswekeni uwe na familia yenye maadili. Kuna maeneo ukiiweka familia yako unakuwa na amani sio unaweka familia yako buguruni au tandika ndani ndani huko.
Hata kufanikiwa tu inakua kazi kama unaishi eneo ambalo watu wa eneo hilo maisha yao ni duni

Ni vizuri kuishi kwenye maeneo yatakayokupa kiu ya kutafuta maendeleo zaidi kila siku sema ndio hivyo watu hawaelewi kabisa hii
 
Kijana acha kutaja maeneo ya uswekeni huko. Nimekwambia tafuta eneo Bora wilaya ya kinondoni you'll thank me later.


Aridhi ya kinondoni hata thamani Yake Ni kubwa.


Endelea kuandaa familia na ukoo wako kuja kuishi kifukara huko mbeleni kwa kuendelea kukaa Uswekeni.

You'll end up dying poor
Unajua thamani ya ardhi eneo la kurasini au chang'ombe waporipori mna shida mkiingia mjini mnajifanya mnajua zaidi ya wenyeji
 
Tembea Dar uijue vzr kuna maeneo Temeke iko vzr kuliko hata ununio na Tegeta.Nenda Kijichi,Tuangoma ,Mgeni nani.Tandika ni mji Mkongwe Toka Uhuru,usifananishe na Tegeta imejengwa juzi
Asisahau kutembelea kwa mpalange mkuu.
 
Dar ni wilaya ya Kinondoni na Ilala tu huko kwingine hauna tofauti na mtu alieko Namtumbo tu sema wanajiita wako Dar.

Njoo uishi zako Tegeta, Bunju, Goba, Mbezi , Madale , Makongo juu , Chuo kikuu ( changanyikeni) n.k

Huwa nashangaa mtu anaenda kununua kiwanja Mbagala hahaha.
Mkuu mbona namtumbo pako bomba sana....
 
Wilaya masikini kabisa kwa mkoa wa Dar es Salaam ni Temeke, wilaya yenye watu duni kabisa ni Temeke, wilaya iliyochelewa kabisa kimaendeleo ni Temeke.

Hata mipango na miundombinu duni kabisa ni Temeke. Inaongoza kwa uchafu pia.

Jambo la kushangaza nimepita soko Tandika kuna mitaa imepangwa mingi ni michafu sana ni michache ina lami lakini hakuna mitaro ya maji hata m1.

Hata barabara inayokatiza kwenda Buza japo ni njia kuu lakini hakina mitaro. Kukosekana kwa mitaro kumefanya maji yatuame sehemu moja na kuchimba hapo na kukaa muda mrefu kutoa harufu mbaya na kuaribu barabara yenyewe.

Ukitoa soko la Kariakoo linafuata la Tandika lakini hakuvutii kabisa. Sehemu pekee unayoweza kukaa kwenye wilaya hii ni Mtoni Kijichi tu lakini Tandika na Mbagala zimechelewa sana kuendelea.

Serikali inapaswa kuangalia maeneo haya kwa mbele zaidi kwani ni miji na masoko yanayokuwa kwa kasi sana lakini miundombinu inaweza kuwakatisha tamaa wawekezaji wanaotaka kuwekeza maeneo hayo.S
sawa
 
Dar ni wilaya ya Kinondoni na Ilala tu huko kwingine hauna tofauti na mtu alieko Namtumbo tu sema wanajiita wako Dar.

Njoo uishi zako Tegeta, Bunju, Goba, Mbezi , Madale , Makongo juu , Chuo kikuu ( changanyikeni) n.k

Huwa nashangaa mtu anaenda kununua kiwanja Mbagala hahaha.
wilaya ya ubungo pia pio vizur ...
 
Nimecheka sana baada ya kusoma hii posti na nikasema moyoni aliyepost atakuwa haijui Dar es Salaam. Bandari ya Dar es salaam ipo Temeke, Tazara ipo Temeke, Uwanja wa Taifa upo Temeke, CBE ipo Temeke, Veta ipo Temeke, Daraja la kigamboni lipo Temeke. Kumbuka tu kila sehemu wapo Matajiri na maskini na maskini ndiyo hufa zaidi.

Mvua ya octoba kinondoni 8 ilala 4.Maeneo athirika vingunguti, kigogo na kinondoni, Mwananyamala ,Kinondoni. Hata kikija kipindupindu jibu Ilala na Kinondoni hupigwa zaidi. Fikiri tena njoo upost

Na Airport haipo temeke?
 
Sijui mkuu ujanja unaouzungumzia wewe ni upi,Ujanja wa watu wa Dar huko ndiko ulikoanzia,Kariakoo,Temeke,Tandika,Ilala yote ndio kulikuwa na viwanja vya kujirusha vya hatari...
Watu wengi hawajui, wanachoandika, humu mitandaoni, mtu anajisifu ujanja, bila kujali nchi mzima inasoma anachoandika.

Lakini ukimuona live huyo anaejisivu ujanja, kwenye Simu kuliko watu wote, wanaishi wilaya temeke ni kituko hata chai asbuhi hanywi.
 
Kwahiyo watu wanaishi humo bandarini , Veta , uwanja wa taifa na CBE?

Mtu anakuja kuzungumzia maeneo wanayoishi watu wewe unaleta uwepo wa bandari na uwanja wa taifa. Una akili za kijinga sana.

Hivi unaweza kulinganisha Mbagala na Tegeta. Au Ununio na Tandika.

Nyie ndio mnajenga madaraja na matreni mnaacha watu hawana hata madawati darasani.
👏👏👏Bora hata umenitangulia kumjibu,sa anataka tukaishi kwenye uwanja,au ndani ya chuo? Hao ni wale wanaoona uzuri wa mji ni migorofa kumbe ni mipango na huduma bora tu
 
Kijana acha kutaja maeneo ya uswekeni huko. Nimekwambia tafuta eneo Bora wilaya ya kinondoni you'll thank me later.


Aridhi ya kinondoni hata thamani Yake Ni kubwa.


Endelea kuandaa familia na ukoo wako kuja kuishi kifukara huko mbeleni kwa kuendelea kukaa Uswekeni.

You'll end up dying poor
Ulofa ni kujivunia maendeleo ya watu, alafu mbele ya jamii, kujiona wewe uko juu, kuliko wengine wote wa aina fulani au wanaishi eneo fulani.

Ila ingekuwa ni jambo linalowezekana, wana jamii forums, tukodi bus, tutembeleane, makazi ya kila mmoja wapo, kuna wengine watapatwa na tumbo la kuhara.
 
Yaani mtu unatoka mkoani kwenye Hali ya hewa nzuri unakuja kuishi Tandika , Mbagala au Buza, matumizi mabaya ya nauli.


Njoo uishi Mbezi , Tegeta, Makongo juu, Bunju n.k sio huko uswekeni.


Siwez ishi wilaya ya temeke Mimi Bora nirudi mkoani Kuna Hali ya hewa nzuri.
Karibu Buza mkuu
 
Wilaya masikini kabisa kwa mkoa wa Dar es Salaam ni Temeke, wilaya yenye watu duni kabisa ni Temeke, wilaya iliyochelewa kabisa kimaendeleo ni Temeke.

Hata mipango na miundombinu duni kabisa ni Temeke. Inaongoza kwa uchafu pia.

Jambo la kushangaza nimepita soko Tandika kuna mitaa imepangwa mingi ni michafu sana ni michache ina lami lakini hakuna mitaro ya maji hata m1.

Hata barabara inayokatiza kwenda Buza japo ni njia kuu lakini hakina mitaro. Kukosekana kwa mitaro kumefanya maji yatuame sehemu moja na kuchimba hapo na kukaa muda mrefu kutoa harufu mbaya na kuaribu barabara yenyewe.

Ukitoa soko la Kariakoo linafuata la Tandika lakini hakuvutii kabisa. Sehemu pekee unayoweza kukaa kwenye wilaya hii ni Mtoni Kijichi tu lakini Tandika na Mbagala zimechelewa sana kuendelea.

Serikali inapaswa kuangalia maeneo haya kwa mbele zaidi kwani ni miji na masoko yanayokuwa kwa kasi sana lakini miundombinu inaweza kuwakatisha tamaa wawekezaji wanaotaka kuwekeza maeneo hayo.
Aiseeee !!!
 
Ulofa ni kujivunia maendeleo ya watu, alafu mbele ya jamii, kujiona wewe uko juu, kuliko wengine wote wa aina fulani au wanaishi eneo fulani.

Ila ingekuwa ni jambo linalowezekana, wana jamii forums, tukodi bus, tutembeleane, makazi ya kila mmoja wapo, kuna wengine watapatwa na tumbo la kuhara.
Huna unalojua wewe. Acha kutia huruma toa facts.
 
[emoji122][emoji122][emoji122]Bora hata umenitangulia kumjibu,sa anataka tukaishi kwenye uwanja,au ndani ya chuo? Hao ni wale wanaoona uzuri wa mji ni migorofa kumbe ni mipango na huduma bora tu
Labda seriali imempa ruhusa ya kuweka kitanda hapo uwanja wa taifa kwenye nyasi za uwanja analala bure.
 
Dar ni wilaya ya Kinondoni na Ilala tu huko kwingine hauna tofauti na mtu alieko Namtumbo tu sema wanajiita wako Dar.

Njoo uishi zako Tegeta, Bunju, Goba, Mbezi , Madale , Makongo juu , Chuo kikuu ( changanyikeni) n.k

Huwa nashangaa mtu anaenda kununua kiwanja Mbagala hahaha.
Kila mtu huishi kulingana na uwezo wa kipato chake
 
Back
Top Bottom