Kipindi hiki cha mvua Tandika siyo sehemu ya kwenda kabisa

Kipindi hiki cha mvua Tandika siyo sehemu ya kwenda kabisa

Kwahiyo watu wanaishi humo bandarini , Veta , uwanja wa taifa na CBE?

Mtu anakuja kuzungumzia maeneo wanayoishi watu wewe unaleta uwepo wa bandari na uwanja wa taifa. Una akili za kijinga sana.

Hivi unaweza kulinganisha Mbagala na Tegeta. Au Ununio na Tandika.

Nyie ndio mnajenga madaraja na matreni mnaacha watu hawana hata madawati darasani.
 

Attachments

  • carbide-tips-500x500.jpg
    carbide-tips-500x500.jpg
    9 KB · Views: 3
sio temeke yote mkuu.kama kuanzia hapa changombe ni sehem imejaa national housing na pamepangika
 
Hata kama lakini ni haki ya kila mtu kuishi sehemu nzuri yenye mpangilio na sio bora sehemu tu...na ni kazi ya serikali kurekebisha na kuweka huduma zote sawa
Ngoja ukiwa mkubwa utaelewa kwanini watu wanaishi maeneo yale. Sasa hivi bado hauwezi ukaelewa.
 
Sijui mkuu ujanja unaouzungumzia wewe ni upi,Ujanja wa watu wa Dar huko ndiko ulikoanzia,Kariakoo,Temeke,Tandika,Ilala yote ndio kulikuwa na viwanja vya kujirusha vya hatari...
Mkuu, hakika wewe unaijua vema sana Dar. Enzi za akina TMK Wanaume, Bosco Cool J, Ukumbi wa Emasco ni disco la kufa mtu, etc
 
Dar ni wilaya ya Kinondoni na Ilala tu huko kwingine hauna tofauti na mtu alieko Namtumbo tu sema wanajiita wako Dar.

Njoo uishi zako Tegeta, Bunju, Goba, Mbezi , Madale , Makongo juu , Chuo kikuu ( changanyikeni) n.k

Huwa nashangaa mtu anaenda kununua kiwanja Mbagala hahaha.
Wa Sea view nae anashangaa inakuaje unaenda kujenga Goba, wa Goba nae anamshamgaa wa mbagala, wa mbagala nae anamshangaa wa Tandale Popobawa, wa Tandale nae anamshangaa wa Tandika, na wa Tandika nae anamshangaa wa bonyokwa nae anamshamgaa wa Mwanamyama mchanga mweusi… ni mwendo wa kushangaa tu
 
Watu wa jf kwa kujikuta na maisha... So mtoa mada na wapambe wake mnataka watu wote wa temeke wahame wahamie kwenu au..?? Et watu wa temeke maskini bla bla.. matajir wana mda wa kuandika pumba kama hiizi
 
Watu wa jf kwa kujikuta na maisha... So mtoa mada na wapambe wake mnataka watu wote wa temeke wahame wahamie kwenu au..?? Et watu wa temeke maskini bla bla.. matajir wana mda wa kuandika pumba kama hiizi
Hapo chacha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani mtu unatoka mkoani kwenye Hali ya hewa nzuri unakuja kuishi Tandika , Mbagala au Buza, matumizi mabaya ya nauli.


Njoo uishi Mbezi , Tegeta, Makongo juu, Bunju n.k sio huko uswekeni.


Siwez ishi wilaya ya temeke Mimi Bora nirudi mkoani Kuna Hali ya hewa nzuri.
Ila hiyo makongo juu barabara yake ikiisha patapendeza Sana.


Husisahau wilaya ya ubungo ndo kuna sinza,kimara,mbezi,changanyikeni,Makabe,mbezi Luis.

Kuna kibamba na kiluvya kuna majumba hatari
 
Temeke si kila Sehemu ni pabaya,Kuna maeneo ya Ushuani kama Chang'ombe, kijichi, Tuangoma n.k.
 
Watu wa jf kwa kujikuta na maisha... So mtoa mada na wapambe wake mnataka watu wote wa temeke wahame wahamie kwenu au..?? Et watu wa temeke maskini bla bla.. matajir wana mda wa kuandika pumba kama hiizi
Uwe unaelewa mada wewe zwazwa wapi tunaongelea utajiri na umasikini humu.


By the way temeke ndio Kuna watu wa hali ya chini kuliko wilaya zingine zote. Simaanishi wilaya zingine hakuna watu wenye Hali ya chini ila temeke low class ni wengi Sana kuliko wilaya zingine. Usilete ubishi Kama huna la kuongea kwa facts kaa kimya.
 
Ila hiyo makongo juu barabara yake ikiisha patapendeza Sana.


Husisahau wilaya ya ubungo ndo kuna sinza,kimara,mbezi,changanyikeni,Makabe,mbezi Luis.

Kuna kibamba na kiluvya kuna majumba hatari
Yes makongo juu Safi sana. Hali ya hewa nzuri.
 
Wa Sea view nae anashangaa inakuaje unaenda kujenga Goba, wa Goba nae anamshamgaa wa mbagala, wa mbagala nae anamshangaa wa Tandale Popobawa, wa Tandale nae anamshangaa wa Tandika, na wa Tandika nae anamshangaa wa bonyokwa nae anamshamgaa wa Mwanamyama mchanga mweusi… ni mwendo wa kushangaa tu
Rugemalila mwenyewe anakaa Makongo juu.


Raisi wa kongo mstaafu (Kabila) amejenga makongo juu.

Acha kulinganisha makongo juu na huo uchafu wa Tandika.


Shwaini.
 
Yaani mtu unatoka mkoani kwenye Hali ya hewa nzuri unakuja kuishi Tandika , Mbagala au Buza, matumizi mabaya ya nauli.


Njoo uishi Mbezi , Tegeta, Makongo juu, Bunju n.k sio huko uswekeni.


Siwez ishi wilaya ya temeke Mimi Bora nirudi mkoani Kuna Hali ya hewa nzuri.
Mkuu unakaa maeneo gani hapa Dar?
 
Rugemalila 'mwenyewe'… mwenyewe kwny nini?

Nyie mnaotoka porini mkifika mjini ili muingizwe mkenge huwa mnatajiwa majina ya watu maarufu ili muone hilo eneo ni la hadhi!

Ukiambiwa utaje maeneo bora na ya hadhi hapa Dar kwa kiwango chako cha ufahamu utataja makongo juu!
Rugemalila mwenyewe anakaa Makongo juu.


Raisi wa kongo mstaafu (Kabila) amejenga makongo juu.

Acha kulinganisha makongo juu na huo uchafu wa Tandika.


Shwaini.
 
Dar ni wilaya ya Kinondoni na Ilala tu huko kwingine hauna tofauti na mtu alieko Namtumbo tu sema wanajiita wako Dar.

Njoo uishi zako Tegeta, Bunju, Goba, Mbezi , Madale , Makongo juu , Chuo kikuu ( changanyikeni) n.k

Huwa nashangaa mtu anaenda kununua kiwanja Mbagala hahaha.
Sehemu zote ambazo ni unsurveyed ni mavi. Mbagala kuna sehemu na sehemu lkn Kwa ujumla ni mavi
 
Ndio ndio mkuu wilaya ambazo zinatoa picha ya Dar ni kinondoni na ilala huko kwingine ni Upuuzi tu.

Mtu Yuko Tandika, Buza, Mbagala nk anajiita Yuko dar. Wewe uko Somalia maana hata mikoani Hakuna sehemu za ajabu Kama Tandika au Mbagala.

Jichanganye wilaya ya kinondoni au ilala mkuu kwanza Temeke hata kuweka familia huko inakuwa ya kiswahili. Unakaa na waswahili waswahili tu
Mbagala ipi? Maana siyo yote. Historia inasema kuwa mbagala ni ya watu toka Lindi na Mtwara na wenyeji wazaramo. Kama unatoka Lindi na mtwara nawe ni wa hovyo
 
Yaani mtu unatoka mkoani kwenye Hali ya hewa nzuri unakuja kuishi Tandika , Mbagala au Buza, matumizi mabaya ya nauli.


Njoo uishi Mbezi , Tegeta, Makongo juu, Bunju n.k sio huko uswekeni.


Siwez ishi wilaya ya temeke Mimi Bora nirudi mkoani Kuna Hali ya hewa nzuri.
Mbona unatumia tecno simu ya masikini kama wewe ni wa maana
 
Back
Top Bottom