Kipindi hiki cha mvua Tandika siyo sehemu ya kwenda kabisa

Kipindi hiki cha mvua Tandika siyo sehemu ya kwenda kabisa

Buza Temeke
IMG_20201112_084007_828.JPG
View attachment 1624593
 
Ulimbukeni unawatesa hawa wala chips mayai.

Yaani mtu anaetoka Kisemvule,Mbande au Chamazi ana uhakika wa kufika K/koo kuliko mtu anaetoka Magomeni kwenda K/koo kwa Kipindi hiki cha mvua.
Ni lazima atakwama tu Jangwani.,licha ya ukaribu.
Lkn alietoka Chamazi anafika kwa uhakika kabisa.
Ulimbukeni unawatesa wengi.
Kutokupangika kwa Dar kupo karibia asilimia 70.
Miundo mbinu,sasa hivi ukiingia ubungo terminal, utafikiri uko shamba la mpunga.
Afu bado mtu anajiona Mjanja kuwa Dar.
Kajieneo anakoishi ndo utacheka uchoke.
Hahaha issue imekuwa kuwahi kufika kariakoo hahaha


Soma lengo la mada sio kulialia. Hizo daladala zenyewe Hadi uje kuzipanda tayari inabidi uwe unabeba chuma kwa purukushani.

Huwezi kukuta Daladala za Bunju/Boko kwenda katikati ya mji watu wanazichapa kavukavu kugombania Daladala ila nenda Mbagala uone wanawake wanavyopita madirishani na juu ya roof ya zile Eicher kugombania siti.


Uswazi wa huko watu sio wastaarabu kabisa. Hata wewe unavyoandika hapa unaonekana kabisa ustaarabu ni zero ila sikulaumu ni mazingira yamekufanya hivyo.

Njoo hapa Makongo juu mkuu Toka huko uswahilini.Unajiona mjanja kula utumbo,vichwa na miguu ya kuku[emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16]

Nikisema watu wa Buza hamna akili mnasema tuna dharau Sasa wewe huwa unalala kwenye hicho kituo Cha afya.


Mmeambiwa hapa tunazungumzia miundombinu na maisha ya ujumla ya huko uswekeni wewe unaleta vituo vya afya Mara bandari.


Haya nendeni mkalale hapo sabasaba au uwanja wa taifa
 
Dar ni wilaya ya Kinondoni na Ilala tu huko kwingine hauna tofauti na mtu alieko Namtumbo tu sema wanajiita wako Dar.

Njoo uishi zako Tegeta, Bunju, Goba, Mbezi , Madale , Makongo juu , Chuo kikuu ( changanyikeni) n.k

Huwa nashangaa mtu anaenda kununua kiwanja Mbagala hahaha.
Tegeta.


Bunju


Mbezi Beach


Mikocheni


Sinza


Kawe


Hivi na wewe unajisifia Uko Dar.
Hahahahhahahahahha....
 
watu wa Temeke tumeyapokea matusi yako . Bado tunasubiri na zamu ya wa mkoani ifike maana wengi wetu huku ni wanaume wa mkoani pia
 
Dar ni wilaya ya Kinondoni na Ilala tu huko kwingine hauna tofauti na mtu alieko Namtumbo tu sema wanajiita wako Dar.

Njoo uishi zako Tegeta, Bunju, Goba, Mbezi , Madale , Makongo juu , Chuo kikuu ( changanyikeni) n.k

Huwa nashangaa mtu anaenda kununua kiwanja Mbagala hahaha.
Ilala sehemu inaitwa mchikichini unapajua au unapasikia
 
Tegeta.


Bunju


Mbezi Beach


Mikocheni


Sinza


Kawe


Hivi na wewe unajisifia Uko Dar.
Hahahahhahahahahha....
Hii ni Mbagala!


Sasa hapa una tofauti Gani na mtu alieko CHITOHOLI kwa wakina harmonize au Nanjilinji.


Yaani mtu unajikuta anaishi huku uswekeni anajiona Yuko Dar Es Salaam


Hamia hata Mji Mwema tukupe passport ya Dar huko mlipo ni nchi nyingine maana tukisema ni mikoani Hakuna mkoa wenye huo upuuzi. Naomba mjipe jina la mkoa wenu tumpelekee magufuli awape hadhi ya mkoa na muwe mnaingia Dar kwa passport.[emoji16]
IMG_20201112_091428.jpeg
IMG_20201112_091455.jpeg
IMG_20201112_091518.jpeg
IMG_20201112_091611.jpeg
 
Study zinaonesha mnaoishi huko Ushuani mnaongoza kwa kufa kwa msongo wa mawazo na mi shinikizo ya damu kuliko sie wa uswahilini

Maisha ni furaha ukiikosa hiyo hata uishi manhattan umeliwa
Endelea kukaa na MKE wako hapo kibarazani miikaanga mihogo na kula chachandu wakati wenzenu wanakula mema ya nchi.


Toka huko uswekeni acha kulialia na kutia huruma.


Tunakaa uswahilini kwasababu Hakuna namna. Hakuna mtu anakaa Kwa Aziz Ally hatamani kuishi Mbweni au Mbezi beach labda uwe na kichaa.
 
Dar ni wilaya ya Kinondoni na Ilala tu huko kwingine hauna tofauti na mtu alieko Namtumbo tu sema wanajiita wako Dar.

Njoo uishi zako Tegeta, Bunju, Goba, Mbezi , Madale , Makongo juu , Chuo kikuu ( changanyikeni) n.k

Huwa nashangaa mtu anaenda kununua kiwanja Mbagala hahaha.
Ilala sehemu inaitwa mchikichini unapajua au unapasikia
 
Study zinaonesha mnaoishi huko Ushuani mnaongoza kwa kufa kwa msongo wa mawazo na mi shinikizo ya damu kuliko sie wa uswahilini

Maisha ni furaha ukiikosa hiyo hata uishi manhattan umeliwa
Study za nyoko
 
Hii ni Mbagala!


Sasa hapa una tofauti Gani na mtu alieko CHITOHOLI kwa wakina harmonize au Nanjilinji.


Yaani mtu unajikuta anaishi huku uswekeni anajiona Yuko Dar Es Salaam


Hamia hata Mji Mwema tukupe passport ya Dar huko mlipo ni nchi nyingine maana tukisema ni mikoani Hakuna mkoa wenye huo upuuzi. Naomba mjipe jina la mkoa wenu tumpelekee magufuli awape hadhi ya mkoa na muwe mnaingia Dar kwa passport.[emoji16]View attachment 1624613View attachment 1624614View attachment 1624615View attachment 1624617
Kupitia hizo picha nionyeshe ulichokuwa unazumza,
Majitaka,Mafuriko na Mitaro kuziba.

Punguani.
Kukakaa kwa shemeji yako kuna kufanya kua msahaulifu.
 
Ulimbukeni unawatesa hawa wala chips mayai.

Yaani mtu anaetoka Kisemvule,Mbande au Chamazi ana uhakika wa kufika K/koo kuliko mtu anaetoka Magomeni kwenda K/koo kwa Kipindi hiki cha mvua.
Ni lazima atakwama tu Jangwani.,licha ya ukaribu.
Lkn alietoka Chamazi anafika kwa uhakika kabisa.
Ulimbukeni unawatesa wengi.
Kutokupangika kwa Dar kupo karibia asilimia 70.
Miundo mbinu,sasa hivi ukiingia ubungo terminal, utafikiri uko shamba la mpunga.
Afu bado mtu anajiona Mjanja kuwa Dar.
Kajieneo anakoishi ndo utacheka uchoke.
Umesema kweli. Maeneo uliyoyasema hakna adha yoyote ya maji wala mitalo michafu. usafiri wa rahsi kutoka na kuingia kwao.
 



Mazingira hayo ☝️ wilaya ya Temeke ni kawaida sana. Msitetee ujinga tmk ni mbovu karibia yote
 
Endelea kukaa na MKE wako hapo kibarazani miikaanga mihogo na kula chachandu wakati wenzenu wanakula mema ya nchi.


Toka huko uswekeni acha kulialia na kutia huruma.


Tunakaa uswahilini kwasababu Hakuna namna. Hakuna mtu anakaa Kwa Aziz Ally hatamani kuishi Mbweni au Mbezi beach labda uwe na kichaa.
🤣🤣🤣🤣🤣✔️🙌
 
Back
Top Bottom