Hapo ndipo ilipo tofauti ya Kazi, Ajira na kibarua. Hilo kundi la kwanza hao 13 and above wamepata kazi, hao wa million 3-5 wana ajira. Chini ya hapo hao ni vibarua tu πHakika kuna watu wanalipwa aisee, sisi tuendelee kupambana. Nimeona salary slip ya Jamaa yangu nimejiona mie bado kabisa.
Kuna pisi pale naijua inajiskia hatari miaka karibia 40 lakini kuolewa hatakiK
Kweli mkuu. A google JTI jobs.
Ila kwa upande wa girls pale TCC ni pisi tupu [emoji1][emoji1]
Je kuna jitihada yeyote uliyoweza kuifanya katika mshahara unaoupata katika uwekezaji wako wa baadae, au utakuwa unaendelea kushangaa hivyohivyoHakika kuna watu wanalipwa aisee, sisi tuendelee kupambana. Nimeona salary slip ya Jamaa yangu nimejiona mie bado kabisa.
Kuna jamaa yangu analipwa 3.2 M pamoja na kodi hakosi 26 au 2.8 roughly, lakini yeye ndio mtu asiye na ela mfukoni au ndio mtu wakulialia kila siku, jinsi mshahara wake unvyoongezeka ndivyo matatizo yanavyo ongezeka kwakeKulipwa hela nyingi ni kitu kimoja, halafu kuweza kuzitunza na kuzizungusha hizo pesa ni kitu kingine.
Watu wengi wanapolipwa hela nyingi, matumizi yao yanaongezeka pia.
Kwa hivyo, unaweza kukuta mtu analipwa kidogo halafu ana uwezo wa ku save na ku invest sana, wakati kuna mtu mwingine analipwa zaidi, lakini maisha yake yana matumizi mengi sana ndiyo kwanza analipa madeni, hata ku save hawezi.
Kwa hivyo, mnavyoangalia wanaolipwa zaidi, na hili nalo mkaliangalie π€£π€£π€£
kha... hawa mnaowataja ni watanzania au foreigner maana ukoo wangu jumlisha na mtaa au mitaa niliyokaa hadi umri huu sijawahi kusikia jirani au ndugu analamba mamilioni kama hayo zaidi ya wabunge na wanasiasa..
Mkuu,Kuna jamaa yangu analipwa 3.2 M pamoja na kodi hakosi 26 au 2.8 roughly, lakini yeye ndio mtu asiye na ela mfukoni au ndio mtu wakulialia kila siku, jinsi mshahara wake unvyoongezeka ndivyo matatizo yanavyo ongezeka kwake
Ninao na ninawajua wa hali kama hiyo na kila wakati unaona wana shida ya hela kwa lawama zao ila ndinga wanazopeleka ni mashindano na kujionyeshaItβs called money management.
The core principles of personal finances are: income, savings, spending, and investment.
Ukiishi ndani ya uwezo wako kulingana na kipato chako, halafu ukawa na nidhamu ya kujiwekea akiba hata kama ni kidogo kidogo, huku pia ukiwa na nidhamu katika matumizi yako, utajiweka katika nafasi nzuri [sana] kiuchumi.
Kuna mtu namjua anafanya kazi kwenye hizi payday loans places.
Huwa ananiambia kuwa baadhi ya watu ambao huenda kuchukua hizo payday loans, huwezi kuamini kazi zao!
Kuna mawakili, wahasibu, manesi, n.k., watu ambao kazi zao kwa wastani, ni za vipato vya juu.
Cha msingi zaidi, ni jinsi unavyozi manage hela zako kuliko kiasi ambacho unakipata.
Unafurahia kulipwa , akili zako ndogo SanaHakika kuna watu wanalipwa aisee, sisi tuendelee kupambana. Nimeona salary slip ya Jamaa yangu nimejiona mie bado kabisa.
Unaumizwa na ujinga! Tosheka na unachopata! Mimi nimeridhika na 4.5m yangu maana kuna watu niliwaacha Halmashauri bado hawajafikisha 6 digits na degree zao!Hakika kuna watu wanalipwa aisee, sisi tuendelee kupambana. Nimeona salary slip ya Jamaa yangu nimejiona mie bado kabisa.
Kuna pisi pale naijua inajiskia hatari miaka karibia 40 lakini kuolewa hataki
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Aise umetisha boss. Naomba uwe rafiki angu, nitakucheki pmUnafurahia kulipwa , akili zako ndogo Sana
Hio pesa tunalipa watu jiulize tunabaki na pesa ngapi
Njoo tulime mkuuNa sisi ambao tumesoma na hatujapata ajira hata ya mshahara wa laki mbili tufanyeje?
Pisi hazifuto sigaraUzungu mwingi sana pale TCC.ila kwann wana ajiri Pisi tu?π
πππPisi hazifuto sigara
Economic perspective, na ndo ukweli!Kulipwa hela nyingi ni kitu kimoja, halafu kuweza kuzitunza na kuzizungusha hizo pesa ni kitu kingine.
Watu wengi wanapolipwa hela nyingi, matumizi yao yanaongezeka pia.
Kwa hivyo, unaweza kukuta mtu analipwa kidogo halafu ana uwezo wa ku save na ku invest sana, wakati kuna mtu mwingine analipwa zaidi, lakini maisha yake yana matumizi mengi sana ndiyo kwanza analipa madeni, hata ku save hawezi.
Kwa hivyo, mnavyoangalia wanaolipwa zaidi, na hili nalo mkaliangalie π€£π€£π€£
Mwaka 2019 nilikuwa taasisi fulani nilikuwa mgeni ...Kuna jamaa alikuwa principal wetu pale alikuwa mtu poa sana na haraka haraka alikuwa anakuja kama mil 5.4 na posho za cheo.Mkuu,
Haya mambo mimi nishayaona kwa watu wa karibu hivyo naandika kutokana na uzoefu.
Kuna kipindi bosi wangu mmoja alipiga mingo ya nguvu, akala bata ile ya kimataifa, ila akawa hana savings. Madeni kibao, kila siku akawa analalamika anataka kumaliza madeni.
Halafu kipindi kingine akapata mingo nzuri lakini si kubwa kama ile ya kwanza, akaweza kuondoka kwenye madeni, kufanya savings na investments kubwa tu.
MsicommentNa sisi ambao tumesoma na hatujapata ajira hata ya mshahara wa laki mbili tufanyeje?