Gaganiga
Senior Member
- Nov 13, 2022
- 168
- 376
Tuendelee na mada zetu za kukera you know how much you know hahahahaha nyie si wazazi wenu si waliamini mjini msingi kiuno? Miaka Ile DDC Mlimani Park walikuwa hawakosekani?
Niwaambie kile kipindi wazazi wa wenzenu walikuwa wananunua Maplot huko kedekede hahahahaha.
Kwangu mimi sina haja hata ya kujenga kwasababu hizo ni fikra za kimaskini aisee wazazi walitafuta mali kwa ajili ya nani? Si watoto wao? Kwahiyo mimi nijenge ili iweje? Au nigundue nini hasa?
Nyie ambaye wazazi wenu nhawakuwatafutia mali ndio pambaneni na umasikini na ufukara wenu huo hahahaha kwenye account mahela yamejaa kedekede na ma plot yapo kutosha.
Kwahiyo nyie mijitu acheni mi stress,wivu na chuki za hovyo ambazo hazina msingi wowote muwalaumu wazazi wenu kutowatengenea future zenu wao si walikuwa wanajifanya mabraza men? Kwahiyo pambaneni kulipa hiyo karma ya umasikini na ufukara.
Mali za wazazi zipo tena mzizima hapa hapa bandari salama sio huko kwenu bara ambapo hamjastaarabika.
NB: Huu ni uzi wa watu wa mzizima au bandari salama kama wewe ni mtu wa bara pita hivi.
Niwaambie kile kipindi wazazi wa wenzenu walikuwa wananunua Maplot huko kedekede hahahahaha.
Kwangu mimi sina haja hata ya kujenga kwasababu hizo ni fikra za kimaskini aisee wazazi walitafuta mali kwa ajili ya nani? Si watoto wao? Kwahiyo mimi nijenge ili iweje? Au nigundue nini hasa?
Nyie ambaye wazazi wenu nhawakuwatafutia mali ndio pambaneni na umasikini na ufukara wenu huo hahahaha kwenye account mahela yamejaa kedekede na ma plot yapo kutosha.
Kwahiyo nyie mijitu acheni mi stress,wivu na chuki za hovyo ambazo hazina msingi wowote muwalaumu wazazi wenu kutowatengenea future zenu wao si walikuwa wanajifanya mabraza men? Kwahiyo pambaneni kulipa hiyo karma ya umasikini na ufukara.
Mali za wazazi zipo tena mzizima hapa hapa bandari salama sio huko kwenu bara ambapo hamjastaarabika.
NB: Huu ni uzi wa watu wa mzizima au bandari salama kama wewe ni mtu wa bara pita hivi.