saw super womaniNa vijana walioachiwa mali nao wakizubaa na kuzitapanya bila maarifa watakuja kutukanwa na vizazi vyao kwamba walikaa kizembe. Mzazi akikuachia mali ni kwamba amekupa kianzio ili na wewe utafutie wanao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
saw super womaniNa vijana walioachiwa mali nao wakizubaa na kuzitapanya bila maarifa watakuja kutukanwa na vizazi vyao kwamba walikaa kizembe. Mzazi akikuachia mali ni kwamba amekupa kianzio ili na wewe utafutie wanao.
Mimi nishajisemea namaliza mwaka bila mabishano😅 niachesaw super womani
Wasukuma bado watoto wanakunya kuzunguka nyumba na watu wazima vichakani,au we unaelewa ustaarabu ni kukaa apartment!?Hivi wanaoishi tandale mbagala au vingunguti nao wamestaarabika tofauti na walioko bara?
Hata bati au jero zote pesaKwani pesa huanzia shilingi ngapi?
kwani Mimi nimekubishia🤣🤣🤣au nimeomba tubushane?🤣🤣 hio ndio shida yenu masupa womanMimi nishajisemea namaliza mwaka bila mabishano😅 niache
Kabisa cute,this is too muchNkajua sion vzuri kiza hadi kweny kiswawadu changu.
Ila ccy tuwafunze vyema vijana wetu.
Sawa mie leo mpole😆kwani Mimi nimekubishia🤣🤣🤣au nimeomba tubushane?🤣🤣 hio ndio shida yenu masupa woman
mnakuaga waelewa Sana🤩🤩
huyo dada ulomweka kwenye avator unaweza kunipa miongozo yake?au ndio wewe!Sawa mie leo mpole😆
Ni supawumani😅huyo dada ulomweka kwenye avator unaweza kunipa miongozo yake?au ndio wewe!
😄😄Haina shida nitajitahidi..Ni supawumani😅
Mkuu basi inatosha msamehee bure Kijana wangu wa Mzizima United hatorudia tena kulingishia Mirathi yake!![emoji38][emoji38][emoji3][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Kwani Kuna mtu anakuomba kula wewe ?halafu kwa akili yako ya kizibo Cha soda unafikiri kila mtu anataka kubanana huko mzizima,Kama unapesa kuwa na nidhamu usidharau wengine wengine hayo magorofa yameyapata kwa kulawitiwa
😂😂😄😄Haina shida nitajitahidi..
Anatafuta bwanaKabisa cute,this is too much
Mkuu ulijipima ubavu ukaona huu uzi ni size yako?🤣🤣🤣🤣Mali zipi hizo? Zile mlizowauzia Wachagga na Wakinga kariakoo,magomeni au?