Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kweli kabisa Mkuu, ndio maana Atheism ni imani kama imani zingine tu. Unajua wanachojidanganya ni kitu kimoja tu, wengi wao wanakua wanaamini katika sayansi (Eti kwamba ulimwengu wote hasa huu unaoonekana kwa macho(limited to time, space and matter) ni kwamba umejiunda wenyewe NATURAL). Hapa ndipo wanapokosea, ukweli wote wanaujua kwamba THE FORMATION OF THE UNIVERSE IS BEYOND HUMAN ABILITY. Hiyo sayansi yenyewe wanayoiamini ni Mungu ndie alieasisi na kuiumba.
Maneno haya kaandika mtu ambaye hata maana ya imani haijui
 
ukisema "kutokua na imani" maana yake hakuna dhana ya imani ya kuamini chochote au kinyume chake vinginevyo dhana ya kutokua na imani iwekwe pembeni.
Kwahiyo mkuu, umewezaje kusema hakuna uwepo wa Mungu bila kuamini dhana yako hiyo kwanza kwa muda wote huo? Tangu uwe Atheist

Maneno hayo yote kwa kiswahili yanawakilishwa na neno moja "IMANI" ila yanatofautiana kimaana, na kama yanatofautiana kimaana basi hata kimatumizi vile vile lazima yatofautiane
Mkuu bado unajichanganya sana maneno (Belief, faith, trust) yote yana maana sawa ya Imani. Anyway labda niliweke swali langu hivi kama unavyotaka wewe na kama ulivyoikariri.

3. Do you believe in science?
 
Umeanza kwa msingi kwamba yupo, ila hawezi kuthibitishwa na sayansi tu.

Unajuaje yupo?

Sayansi haiwezi kuthibitisha joka lenye macho matatu na kofia ya dhahabu linaishi au haliishi juu ya mlima Kilimanjaro.

Chochote utakachosema kuhusu sababu za kisayansi za kutoweza kuthibitisha joka hilo lipo au halipo hakitabadilisha ukweli kwamba sayansi haiwezi kuthibitisha joka hilo lipo au halipo.

Unaweza kusema joka hilo linajua sana kukimbia kukamatwa na wanasayansi.

Unaweza kusema joka hilo linaishi nje ya time and space.

Sasa, kuweza kupiga hii hadithi hakuthibitishi joka hilo lipo.

Kunathibitisha unaongelea vitu ambavyo huwezi kuthibitisha.

Sasa wewe unayeanza kusema kwamba Mungu yupo, ila yupo nje ya time and space, unawezaje kuthibitisha hiyo si hadithi tu kama ya joka la ajabu lenye macho matatu na kofia ya dhahabu linaloishi juu ya mlima Kilimanjaro.

Ukikubali uwepo wa Mungu, mantiki hiyo hiyo ya kukubali uwepo wa Mungu inakufunga ukubali uwepo wa joka hili.

Na hapo hapo itabidi ukubali kila mtu atakayekuambia "Mimi ni bilionea wa US dollars, ila ubilionea wangu uko nje ya time and space huwezi kuuthibitisha".

It is a ridiculously lazy Deus ex Machina non argument.
Tulikuwa tunaongelea kuwepo kwa Mungu na jinsi sayansi isivyoweza ku'prove' au ku'disprove' kuwepo kwake. Joka unalolizungumzia kama lipo au lingekuwepo Mlima Kilimanjaro ni tofauti na Mungu. Lenyewe liko subject to laws of nature na kama lingekuwepo sayansi ingeweza kulifanyia utafiti na kujiridhisha kuwepo kwake. Kwa Mungu ni tofauti. He's not confined to the laws of nature. Hapa unaongelea the transcendent (at the same time immanent) being, the unmoved mover and source of life and existence of all other beings animate and inanimate.

Kitu cha kushangaza kwa Mungu ni kwamba kila jamii ya watu duniani wanaamini yupo na haiwekani watu watu wote wakawa na imani kwa Mungu for nothing/in vain. Hilo joka lako ni wewe tu unayelizungumzia. Hivyo, huwezi kuzungumzia sayansi kutoweza ku'prove' au 'disprove' kuwepo kwa joka Mlima Kilimanjaro sawa na kuwepo kwa Mungu.
 
Umeanza kwa msingi kwamba yupo, ila hawezi kuthibitishwa na sayansi tu.

Unajuaje yupo?

Sayansi haiwezi kuthibitisha joka lenye macho matatu na kofia ya dhahabu linaishi au haliishi juu ya mlima Kilimanjaro.

Chochote utakachosema kuhusu sababu za kisayansi za kutoweza kuthibitisha joka hilo lipo au halipo hakitabadilisha ukweli kwamba sayansi haiwezi kuthibitisha joka hilo lipo au halipo.

Unaweza kusema joka hilo linajua sana kukimbia kukamatwa na wanasayansi.

Unaweza kusema joka hilo linaishi nje ya time and space.

Sasa, kuweza kupiga hii hadithi hakuthibitishi joka hilo lipo.

Kunathibitisha unaongelea vitu ambavyo huwezi kuthibitisha.

Sasa wewe unayeanza kusema kwamba Mungu yupo, ila yupo nje ya time and space, unawezaje kuthibitisha hiyo si hadithi tu kama ya joka la ajabu lenye macho matatu na kofia ya dhahabu linaloishi juu ya mlima Kilimanjaro.

Ukikubali uwepo wa Mungu, mantiki hiyo hiyo ya kukubali uwepo wa Mungu inakufunga ukubali uwepo wa joka hili.

Na hapo hapo itabidi ukubali kila mtu atakayekuambia "Mimi ni bilionea wa US dollars, ila ubilionea wangu uko nje ya time and space huwezi kuuthibitisha".

It is a ridiculously lazy Deus ex Machina non argument.
Nathibitisha uwepo wa MUNGU, kwa ushahidi wa uumbaji wake alioufanya wa kuumba ulimwengu usioonekana kwa macho(Unlimited to time, space and matter) kama malaika na ulimwengu unaoonekana kwa macho (Limited to time, space and matter) kama Sayari zote, jua,mwezi na nyota zote, mito, maziwa na bahari, ardhi na madini ardhini, gesi ardhini, mafuta ardhini, ndege, mimea, wanyama, samaki na binadamu.
 
Kwahiyo mkuu, umewezaje kusema hakuna uwepo wa Mungu bila kuamini dhana yako hiyo kwanza kwa muda wote huo? Tangu uwe Atheist
Kwanini umehisi kusema hakuna mungu ni lazima kuhusishe imani

kwanza tumalizane na hiyo fikra potofu ambayo unaishikilia
Mkuu bado unajichanganya sana maneno (Belief, faith, trust) yote yana maana sawa ya Imani. Anyway labda niliweke swali langu hivi kama unavyotaka wewe na kama ulivyoikariri.
Hapana hayako sawa kimaana na kimatumizi, ila nacho kiona hapa ni wewe kulazimisha yaonekane sawa ili yakupe urahisi wa ku penetrate hoja zako za kizushi


3. Do you believe in science?
what is believe by definition?
 
Wakuu mimi ninaswali hivi kwa nini Hospitali kuna Mochwari. Ningependa nipate majibu toka kwa wanasayansi wa hii dunia.
 
Kwanini umehisi kusema hakuna mungu ni lazima kuhusishe imani
Ili useme/uwe na mtizamo wa hakuna Mungu ni lazima uamini kwanza hakuna Mungu. Wewe unafikiri kwanini kwa muda wote huo umekua ukisema hakuna Mungu ni kwasababu unaamini hivyo.

what is believe by definition?
Bado nasisitiza unajua ninachokuuliza hapa ila kwa makusudi unajaribu kuondoa lengo la swali, kwenye Atheism umesema ni lack of beliefs, unaweza kuniambia kinyume cha neno lack of beliefs?
 
Ni kama wewe Atheist, alafu nimekuuliza Do you believe in science? nijibu tuendelee
sayansi ni knowledge sio imani labda kama imani unayoi-refer hapa ni ile ya kumaanisha hope au to have a confidence in the truth
 
sayansi ni knowledge sio imani labda kama imani unayoi-refer hapa ni ile ya kumaanisha hope au to have a confidence in the truth
Ok kwahiyo unayo hiyo knowledge ya sayansi? kama wewe ni Atheist ningependa nifahamu una knowledge ya sayansi. Maana kama unasema hakuna uwepo wa Mungu lazima utakua unajua ulimwengu ulipoanzia.
 
Tulikuwa tunaongelea kuwepo kwa Mungu na jinsi sayansi isivyoweza ku'prove' au ku'disprove' kuwepo kwake. Joka unalolizungumzia kama lipo au lingekuwepo Mlima Kilimanjaro ni tofauti na Mungu. Lenyewe liko subject to laws of nature na kama lingekuwepo sayansi ingeweza kulifanyia utafiti na kujiridhisha kuwepo kwake. Kwa Mungu ni tofauti. He's not confined to the laws of nature. Hapa unaongelea the transcendent (at the same time immanent) being, the unmoved mover and source of life and existence of all other beings animate and inanimate.

Kitu cha kushangaza kwa Mungu ni kwamba kila jamii ya watu duniani wanaamini yupo na haiwekani watu watu wote wakawa na imani kwa Mungu for nothing/in vain. Hilo joka lako ni wewe tu unayelizungumzia. Hivyo, huwezi kuzungumzia sayansi kutoweza ku'prove' au 'disprove' kuwepo kwa joka Mlima Kilimanjaro sawa na kuwepo kwa Mungu.
Unajuaje joka liko subject to laws of nature, lipo nje ya time and space.
 
Ili useme/uwe na mtizamo wa hakuna Mungu ni lazima uamini kwanza hakuna Mungu. Wewe unafikiri kwanini kwa muda wote huo umekua ukisema hakuna Mungu ni kwasababu unaamini hivyo.
Sasa hili swali kawaulize wanaosema wanaamini hakuna mungu

Mimi sina hicho kitu kinachoitwa imani ya kuamini hakuna mungu
Bado nasisitiza unajua ninachokuuliza hapa ila kwa makusudi unajaribu kuondoa lengo la swali, kwenye Atheism umesema ni lack of beliefs, unaweza kuniambia kinyume cha neno lack of beliefs?
kwanza unakubaliana na hiyo definition niliyoiweka kua ni sahihi na yako ni potofu?
 
Nathibitisha uwepo wa MUNGU, kwa ushahidi wa uumbaji wake alioufanya wa kuumba ulimwengu usioonekana kwa macho(Unlimited to time, space and matter) kama malaika na ulimwengu unaoonekana kwa macho (Limited to time, space and matter) kama Sayari zote, jua,mwezi na nyota zote, mito, maziwa na bahari, ardhi na madini ardhini, gesi ardhini, mafuta ardhini, ndege, mimea, wanyama, samaki na binadamu.
Unajuaje Mungu kaumba ulimwengu na hiyo si hadithi tu uliyosimuliwa?
 
Sasa hili swali kawaulize wanaosema wanaamini hakuna mungu

Mimi sina hicho kitu kinachoitwa imani ya kuamini hakuna mungu
Kama hauna imani ya kuamini hakuna Mungu, BASI UNAWEZAJE KUSEMA HAKUNA MUNGU?

kwanza unakubaliana na hiyo definition niliyoiweka kua ni sahihi na yako ni potofu?
Hiyo definition yako ndio potofu, unawezaje kusema (Lack of beliefs/siamini) uwepo wa Mungu ikiwa huamini?
 
Unajuaje joka liko subject to laws of nature, lipo nje ya time and space.
Kwa sababu wewe mwenyewe umeweza kuli'locate' kuwa liko Mlima Kilimanjaro (kama kweli lipo). Mungu huwezi kum'locate' kwa sababu he's beyond space and time.
 
Ok kwahiyo unayo hiyo knowledge ya sayansi?
Sijajua umeichukua hiyo definition na kuipima katika angle ipi, ila nachoweza kusema ni tofauti kabisa na kusudi langu

Sayansi ni wigo mpana kusema tu nina knowledge ya sayansi in general nitakua najihukumu mwenyewe kwa kujifungia uzio kua hakuna kilichopo katika sayansi sikijui, hivyo kusema sayansi ni knowledge hakuna maana kua ni mjuzi wa sayansi kiujumla, kwasababu yapo mengi yahusuyo sayansi ambayo siyajui
kama wewe ni Atheist ningependa nifahamu una knowledge ya sayansi. Maana kama unasema hakuna uwepo wa Mungu lazima utakua unajua ulimwengu ulipoanzia.
Nani kakuambia kua sayansi ina majibu yote?
 
Back
Top Bottom