Jibu nalijua, lipo ndani ya lile swali ambalo umelikwepaNasikitika kusema bado unakwepa kujibu swali Mkuu.
Kama unalijua jibu naomba uniambie/utuambie.
Kama haujui jibu pia naomba uniambie/utuambie.
Nashukuru, Najifunza; Ila bado Nina maswali hapa; Kwanini Mungu Aruhusu Distortion; Yeye ni muweza wa Yote(Ikiwemo hata uwezo wa kuzuia uharibifu)Madhara makubwa yaliyotokea baada ya uharibifu(dhambi) kuingia duniani kumesababishwa na kiumbe binadamu mwenyewe ikiratibiwa na mpango kazi wa shetani
Hapa ndipo Mashaka yananijaa; hata nikisiaga Wahubiri wanasema; Ivi Kwanini aamue tu vyoyote? hata vitu vinavyoumiza aliotuumba yeye mwenyewe? Believe me Hii mijadala imekuja kwasababu kumekuwa na side mbili tangu mwanzo; Kama Mungu ahata anguko angelizuia; Kusingekuwa na Mtu wa kuwaza kinyume maana angezuia pia watu kuwaza kinyume, Asingekuwepo mtu mingoni mwetu anyewaza kuuwa mtu, Infact hata ukimuua Mtu hafi etc. Maswali haya nimekuwa nikijiuliza sana; Ivi kweli Binadamu wote tunajua kwamba tunahitaji kuwa na wapendwa wetu wanafariki wengine wakiwa na Umri mdogo sana, Wanatoweka Duniani ili hali iko katika uweza wa Mungu kuwafanya waendelee kuwa nasi? Je Mungu yeye anapenda Huzuni yetu? anapenda kutuona sisi tunahuzunika kwa kupoteza watu ambao tunawapenda? Kwa kuruhusu watu wa taifa moja kupigana na kuuwa watu wa taifa jingine; kitu ambacho si kizuri, na kwa uwezo wake ambao nimefundishwa anaweza kuzuia lakini hafanya hivyo, hapa ndipo wakati mwigne napata mashaka ndugu; How comes mambo mabaya yaje asizuie? Dini kadhaa wa kadhaa zinapingana kuhusu tabia za Mungu, kwanini asifanaye namna kwamba Watu wote tumwelewe bila support ya Dini? kiasi kwamba Tunadanganywa kwamba Mungu yupo ivi au Yupo vile; Kweli napata shidaMWISHO, mkuu aonavyo Mungu au atakavyo yeye kifanyike au kisifanyike kitabaki kuwa ni maamuzi yake yeye mwenyewe
Prove kwanza kwamba 'time is illusion' na tunaposema 'the earth is estimated to be 4.54 billion years old, plus or minus about 50 million years' ni nini hiki? How about seconds, minutes, hours, days, weeks, months and years we use? Are these mere illusions, aren't they? Then, why do we use them to measure the duration of a particular event or situation?Kama kutumia theories za watu ni kitu kibaya, mbona wewe unatumia alphabet ya watu, hujatunga yako?
Wewe unayekataa kutumia theories za watu, kwanza andika maswali yako kwa alphabet yako uliyoitunga wewe mwenyewe, halafu uyatume kwenye internet yako ya mabua uliyoigundua mwenyewe.Prove kwanza kwamba 'time is illusion' na tunaposema 'the earth is estimated to be 4.54 billion years old, plus or minus about 50 million years' ni nini hiki? How about seconds, minutes, hours, days, weeks, months and years we use? Are these mere illusions, aren't they? Then, why do we use them to measure the duration of a particular event or situation?
Kaka Mungu ni muweza wa yote; Je anahitaji Dini imsaidie ili sisi watu wake tumuelewe? Uweza wake uko kwenye kitu gani hasa kama anahitaji dini ili watu wamjue? Yaani kwa nilivyofundishwa uweza wake, naamini kabisa kwamba angeweza Kuwafanya watu wamjue bila support ya Dini..!! Hapa ndipo Mashaka yanaingia ndugu yangu; Wewe unachotakiwa ni kunieleweshe.Utawezaje kumwelewa bila support ya Dini ?
Sawa Ndugu ngoja nikubaliane na wewe kwa sasa huku nikiendelea kujifunza; Je Dini gani sasa ili mtu aifahamu kwamba hii ndio inmuelezea Mungu kwa usahihi? Maana Dini zote zinashutumiana tena shutuma zinatoka kwa Viongozi ambao zinaambukizwa kwa waamini na kuwashambulia watu wengine; Huku kila Mtu akijinasibu kwamba Dini yake iko sawa; Huoni hapo pia kutakuwa na ukakasi wa Mtu kumuelewa? Mchanganyiko wote wa Dini hizi na madhehebu mbali mbali kwa kila dini, Huoni kama mtu amepewa challnge ya kuchagua Dini ambayo itamsaidia kumueleza Mungu vizuri? Mtu lazima afahamu vigezo?Moja ya sababu ya kuamua kueneza ukuu wake kupitia dini ni ili tumuabudu..
1. Mimi naikubali sayansi na nakubali pia imani watu waliyonayo juu ya kuwepo kwa Mungu.Wewe unayekataa kutumia theories za watu, kwanza andika maswali yako kwa alphabet yako uliyoitunga wewe mwenyewe, halafu uyatume kwenye internet yako ya mabua uliyoigundua mwenyewe.
Hapo nitajua kweli hutaki theories za watu.
Kabla ya hapo utakuwa unajishaua tu kwa maneno usiyoyajua mwanzo wala mwisho, na kuji contradict kila sehemu.
Wewe hutaki theories za watu, unajua hayo maandishi unayotumia ni theories za watu?
Mambo kama haya ndio yanafanya ukakasi kwangu uwepo; Mtihani ni kitu kinachowekwa kwa kusudi la Kumjaribu Mtu/ kumpima uwezo wake kwenye jambo fulani; Ina maana Mungu hatujui Sisi watu wake kiasi cha kutaka kutujaribu kwanza ndipoa tujue? Wakati huo huo nimefundishwa kwamba Mungu anajua yote, naweza yote Je anashindwa kujua kwamba akinipa hili Nitaweza hili sitaweza? Tena unamjaribu vipi tena hata kwa mabaya? na ikitokea ameshindwa majaribu basi unamuadhibu? Huoni huu utakuwa ni uonevu.Hio ni baadhi ya mitihani ya Mola
Unaikubali vipi sayansi bila kukubali theories za watu?1. Mimi naikubali sayansi na nakubali pia imani watu waliyonayo juu ya kuwepo kwa Mungu.
2. Wewe umekuwa ukidai wanaoamini kuwepo kwa Mungu wathibitishe kisayansi kuwa Mungu yupo.
3. Mimi nimekuwa nikisema kwamba sayansi haiwezi kuthibitisha kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu, isipokuwa kuwepo kwa Mungu kunaweza kuthibitishwaa na disciplines zingine kama natural theology au metaphysics.
4. Wewe umekuwa ukidai kuwa ukikomalia methodolojia ya kisayansi ku'prove' kuwepo kwa Mungu.
5. Ndiyo maana na mimi baadaye nimesema sasa na wewe uthibitishe hizo theories za wanasayansi kama Einstein juu ya general au special relativity. Hapa ndipo tumeshindwana - maana wewe unataka mimi ni'prove', lakini wewe hutaki ku'prove' na badala yake umekuwa ukitumia maneno kama 'upumbavu', 'ujinga', 'ngumbaru wewe','obstructionist bullshit' etc - yote haya ni ushahidi wa kuishiwa/kutoweza kujenga hoja kwa sababu siyo sehemu ya mjadala.
Unajua kwamba experience ni personal?,sio lazima experience yako iwe sawa na ya wengine?.Kama hujakariri weka theory yako au version yako ya special or general relativity, according to Einstein . Mimi naweza kuongelea mambo ya Mungu kwa jinsi alivyonigusa (experience yangu) na kwa kutumia maneno yangu tofauti kabisa na watu wengine. Lakini wewe na wenzako hamwezi. Hamna uhuru wa kujadili kitu, isipokuwa kurudia rudia vitu ambavyo wengine walishavisema hata kama havileti maana au maana yake haieleweki.
Kwahiyo kwasabu wewe "Mungu " amekusaidia,basi "Mungu " yupo?,vipi ambao hawajasaidiwa?Ndiyo. Mungu amenigusa na amenisaidia katika nyakati ambazo sikuwa na mtu wa kunisaidia. Nilipokuwa nimeshindwa kusamehe, nimeweza kusamehe, nilipokuwa nakosa upendo nimeweza upendo na hata kutotumia lugha inayoweza kuwaudhi wengine katika michango yangu ni kwa sababu ya Mungu. Nikisoma maandiko matakatifu napata inspiration na naona vitu kwa namna mpya na bora zaidi.
Hapo Qur'aan imesema au imeuliza swali?Vipi yawe mahubiri na si uthibitisho ?
Mathalani Qur'aan inasema :
35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji? (at-Tur : 35)
Hii aya imethibitisha uwepo wa Allah. Sasa thibitisha kama huu si uthibitisho na ujibu swali hilo.
Lazima uthibitishe kwa namna ambayo kila mtu anaweza kuelewa."Ukithibitisha" kwa namna unayoelewa wewe tu,watu wengine wataelewaje?Mzee unataka nikuthibitishie Mungu kwa namna upendavyo wewe na sio nipendavyo wala utaratibu ulivyo. Umejifunga fikra bro hutaki mawazo mbadala. Leo ndio nimejua tatizo lako. Ebu ndugu yangu@kiranga acha moyo wako wazi bro naamini Mungu atajifunua kwako. Mimi nilikuwa kama wewe. Nimekulia Lutheran, nimeshiriki sakrament zote za Kilutheli ila Dunia ikaja niyumbisha na nikakana uwepo wa Mungu tokana na baadhi ya fikra za kibinadamu zilizokuwa zinanitatiza na hoja za kisayansi kwa elimu yangu ya kidunia wakati huo. Lakini pamoja na yote niliachilia moyo wangu wazi na Mungu kujifunua kwangu hadi sasa namtumikia.
Nakushauri Mpendwa, ebu acha moyo wako wazi ili Mungu aseme nawe. Wewe ni wa thamani sana mbele yake. Anakupenda na kuthamini. Maswali na vigezo unavyotumia kutaka uthibitisho wa Mungu ni vya kitoto zaidi kwani ulimwengu wa Roho ni tofauti na ulimwengu wa Mwili.
Hata sayansi kuna watu haijawasaidia. Mfano, watu wengi wanaougua kansa au hata magonjwa kama kisukari, TB, malaria nk. Je, unaweza kusema waliopoteza maisha huku wakitibiwa na kutegemea kupona sayansi imewasaidia? Je, kusema sayansi haijawasaidia (kwa mfano) ina maana kwamba sayansi haisaidii?Kwahiyo kwasabu wewe "Mungu " amekusaidia,basi "Mungu " yupo?,vipi ambao hawajasaidiwa?
Sijasema kama experience yangu ni wengine pia. Hiyo ni starting point tu kwamba kila mmoja wetu ana experience fulani katika maisha yake.Unajua kwamba experience ni personal?,sio lazima experience yako iwe sawa na ya wengine?.
Wewe ni vitu vingapi umeweza kuthibitisha 'kwa namna ambayo kila mtu anaweza kuelewa'? Mfano, thibitisha kwamba from nothing then the universe became.Lazima uthibitishe kwa namna ambayo kila mtu anaweza kuelewa."Ukithibitisha" kwa namna unayoelewa wewe tu,watu wengine wataelewaje?
Hakuna namna.Kwasababu Mungu ni imani na imani ni binafsi. Ndio maana hakuna dini moja wala Mungu mmoja.Ni namna gani hiyo ambayo kila mtu ataweza kuelewa ?
Mkuu maelezo yako yote ambayo yame-base kwenye kuhoji matokeo ya dhambi na madhara mbalimbali, nimeyajibu vizuri, Dhambi ndio imepelekea anguko la binadamu na kusababisha hayo yoote.Nashukuru, Najifunza; Ila bado Nina maswali hapa; Kwanini Mungu Aruhusu Distortion; Yeye ni muweza wa Yote(Ikiwemo hata uwezo wa kuzuia uharibifu)
Inamaana Sisi wanadamu ambao ametuumba tuna uwezo Mkubwa zaidi yake? Kwamba yeye ametutengeneza kamili sisi tumeweza kupinga uwezo wake wa kutukamilisha na kuamua kujiingizia uharibifu.
Inatia mashaka kwa mimi ninayemwamini uwepo wake; Huku kukiwa na Maswali mengi sana, maumivu mengi, vurugu nyingi ambayo yako ndani ya uwezo wake kutoa Suluhisho; Hata kama sisi wanadamu ndio tumeleta, Naamini kwa uwezo wake ambao tumekuwa tukijifunza, bado yuko kwenye nafasi na uwezo wa Kuondoa kuliko sasa ivi machafuko duniani yanazidi watu wanauana; Anashindwa Kuzuia hawa waharibifu kwa njia iliyo nzuri na kuhakikisha uharibifu hautokei? Hatufiwi na wapendwa wetu? Imagine tu Rais wetu amefariki juzi kati wengi walimlilia? ivi kweli Haoni maumivu ya watu achilia mbali taifa; Familia yake je? Walipenda kuendelea kuwa naye, lakini inasemekana Mungu amemchukua? Sasa kulikuwa n haja gani anatuumba then anatuchukua? tena wengine wanachukuliwa akiwa na miaka michache sana? wengine wakati wa kuzaliwa wanakufa? Kweli kaka huwa napata shida sana kwenye kuamini kwangu.
Kuna kitu natamani nikielewe hapo ili kuondoa mashaka;
Unaweza kunisaidia Dini moja wapo ambayo Itaniongoza vyema kuhusu Mungu; Kama kweli unataka kunisaidia ili nianze kusoma na kuchambua kutoka kwenye hiyo Dini? Maana sasa kwa namna ilivyo Mungu kutuachia sisi Tuchambue, dini ipi nzuri ya kumjua, wakati dini almost nyingi zinamuelezea kwa namna tofauti, wakati huo huo ukikosea Dini anaenda kukuadhibu huoni hapo Kuna uonevu? Mungu aliyetufanya kutupa Akili, na logic kwanini asizuie mkanganyiko? kusema kwamba Anachoamua yeye ndio sahihi, unahisi Ni mwenye upendo, mwenye haki kama ambavyo tumekuwa tukifundishwa? Nia yangu nifike mahali nitoe shaka niliyonayo juu yake. usione nakusumbuaKila unachokiona kipo na kinatokea ni ushahidi wa kwamba Mola ni muweza wa yote.